...The End of the Road..Gharama ya kuandaa daktari mmoja ni Tshs 30,000,000/= wakati mwalimu mmoja anaandaliwa kwa 3,000/= na polisi mmoja kwa 3/=. Kama tumefukuza madaktari wa 30,000,000/=, wajaribu kusema hao mapolisi wa 3/= waone.
"LIWALO NA LIWE"