Search results

  1. ichumu lya

    Makosa ya Mwalimu Nyerere ya kushindwa kutupatia katiba bora inalighalimu Taifa

    CCM INAMTAFUTA MCHAWI. Ukisikiliza hotuba ya Rais wakati akipokea Report ya CAG unaona CCM ilivyochoka akili mpaka Mh.Rais anataka kulia machozi kabla ya kutafakali kauli Rais Samia kwanza turudi kwa Mwl.Julius Kambarage Nyerere kama kiongozi aliyekandamiza demokrasia kutokana na uamuzi wa...
  2. ichumu lya

    Ni kweli TANESCO Kagera mmeshindwa kununua Transfoma inayotosha mahitaji ya wateja wenu?

    **BUKOBA Baadhi ya wakazi wa Mtaa Mafumbo na Rwome Kata Kashai Maniapaa ya Bukoba Mkoani Kagera wameendelea kuteseka na umeme maana msimu wa senene mwaka huu baada ya furaha imegeuka kuwa karaha. Wachuuzi wa senene wa usiku wanafunga taa zao za senene ili kujitafutia kipato chao ili kupata...
  3. ichumu lya

    Ujenzi wa njia nne Bukoba uendane na mitaro na kingo za mto kanoni

    Mto KANONI una historia yake ambayo kama watawala wangeamua kuifuatilia uenda ufumbuzi wa kudumu ungeishapatikana tumeshuhudia kila nyakati za masika watu wanahama kutoka Omukigusha kwenda maeneo mengine kupisha maji ambayo yamekuwa yakijaa kwenye majumba ya watu, kuziba njia za kupita na...
  4. ichumu lya

    Wabunge wa wasiojua majukumu yao ya kazi wapumzike

    Wabunge wasiojua majukumu yao yaani kazi kupiga makofi na kupitisha makablasha bila kusoma wanapitisha nini wabunge waasi kwa wananchi wanaofunga ndoa na serikali kuwabagaza wananchi. Ninyi wabunge njoo mniambie majukumu yenu Je ni kutetea serikali? Mnajua maana ya uakilishi? Je, sheria...
  5. ichumu lya

    January Makamba na Byabato wametuingiza chaka umeme ni mwendo wa ratiba sio mgao

    Awa ni watu waliokataa mapendekezo ya wananchi juu ya utunzaji wa mazingira nchini katika kipindi chao tumeshuhudia matumizi ya kuni na mkaa yakiongezeka kwa kasi uku matumizi ya umeme asa majumbani yakipungua kutokana na bei ya umeme (bill) kuwa juu na umeme kubaki kuwasha taa na kunyoosha...
  6. ichumu lya

    Afrika uwanja wa mapambo, Vijana acha kutumika kuua ndugu zenu

    Ndugu zangu siku zote uwa nawauliza mnaotaka tuombee DRC mnataka tuombee nini? Wengi wenu ukimbilia kuombe amani uwa nauliza sababu za kutokuwepo kwa Amani mnazijua? Leo nataka kuwasaidia mnaotaka kumsumbua Mungu kwa maombi ya makelele miaka yote ukiona Wazungu wanakuunga mkono katika uharifu...
  7. ichumu lya

    Kijana tambua nguvu uliyonayo katika maamuzi ya nchi yetu

    Vijana nguvu ya mabadiliko dunuani Kuna kazi ya kutumia nguvu kubeba viroba vya unga na mahindi vyenye uzito wa 100kg kwa Bakhresa kwa siku wanalipa elfu 10, ila unalipwa kila baada ya wiki. Kula na nauli unajitegemea, ukipiga hesabu hapo kuanzia nauli Tsh. 1, 500/+maji Tsh. 1, 000/+Chai 1...
  8. ichumu lya

    Mnabagua Watanzania kisiasa mnawanyima umeme wapinzani mnadhani mtakaa madarakani milele?

    Hili shirika linaendeshwa kisiasa hali inayopelekea tulione genge la CCM. Tangu 2004 mpaka sasa ni miaka 19 inakaribia 20 bado kuna vijiji havina umeme kabisa sasa mtaanzaje vitongoji wakati vijiji vingine havijawahi kufikiwa na umeme? Mmebuni teknolojia gani ya kufikisha umeme kwenye Vitongoji...
  9. ichumu lya

    UHAINI unatamkika lakini kuuthibitisha ni vigumu kama ilivyo UCHOCHEZI Mahakani

    TLS tumewasikia japo nia yao ya kukutana na Rais bado iko pale, LHRC tumewasikia chini ya Anna Henga, Amnesy tumewasikia jumuhia pana ya kimataifa tumeisikia wote wanalaani kukamatwa na kufunguliwa shitaka la UHAINI kwa AD. Mwabukusi, Mwanahakati Mdude na Dr.Slaa pamoja na Adv.Peter Madeleka...
  10. ichumu lya

    SOKO LA VANILLA KAVU BADO KIZUNGUMKUTI KAGERA

    Maonyesho ya kilimo 2023 yamehitishwa jana nimeshuhudia mazao kadhaa yakipigiwa chapuo kama ilivyokuwa nyuma kwa zao la Vanilla tuliaminishwa bei mpaka Tsh.100, 000/@ lakini mwaka huu imenunuliwa bei sawa na bure Tsh.3, 000/@ wakulima wameamua kutokuirudisha nyumbani maana matumaini ya kupata...
  11. ichumu lya

    Napendekeza wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji kulipwa mshahara

    Kwa mujibu wa taarifa ya Tamisemi 2014 Tanzania bara ina jumla ya mitaa 3, 741 Vijiji 12, 423 Vitongoji 64, 616 ukijumlisha vyote unapata jumla 80, 780 idadi hii nisawa na wenyeviti wa mitaa, vijiji na vitongoji kama kutakuwepo na utashi wa kisiasa tukaamua wenyeviti awa kuwalipa mishahara Tsh...
  12. ichumu lya

    Kwanini Kagera isijiondoe kwenye koti la Tanzania?

    Leo naandika kwa masikitiko makubwa sana baada ya Wakulima wa Vanilla Mkoani Kagera kulia kilio cha samaki na machozi yao kuondoshwa na maji. Nimepitia maeneo tofauti tofauti mkoani Kagera nimekutana na wakulima wengi waliong'oa mikahawa baada ya anguko la bei na kupanda Vanilla leo vanilla...
  13. ichumu lya

    Bei ya Vanilla yaporomoka kwa kasi Mkoani Kagera, sasa kilo ni Tsh. 3,000

    Kama kichwa kilivyo yaani hii ni zaidi ya hatari, Mkulima ni chombo cha kudharauliwa nchini. Serikali ilitangaza bei ya soko Tsh. 15, 000/ lakini wanunuzi wanalipa Tsh. 3,000/ (elfu tatu)kwa kilo moja na kwakua Vanilla hailiwi kama chakula inabidi wauze vyovyote ili kuondoa mzigo ndani. Ni...
  14. ichumu lya

    Natafuta soko la vanilla mbichi na kavu popote litakapopatikana

    Narudi tena kwenu wanajamvi kutaka kupata connection ya SOKO LA VANNILLA mbichi na kavu. Kagera tuna kilio kikubwa VANILLA imekosa wanunuzi wakulima wanapoteza matumaini kabisa mwaka huu ikumbukwe ata mwaka jana VANILLA ilishuka toka Tsh.70, 000/@1kg hadi Tsh.30, 000/@1kg hali hii ilitokana na...
  15. ichumu lya

    Hali ya wakulima wa Vanilla inatisha Kyerwa, Karagwe na Bukoba Vijijini

    Hali ya wakulima wa Vanilla inatisha Kyerwa, Karagwe na Bukoba vijijini leo nimepata taarifa kuwa wakulima wameanza kung,oa zao hili kutokana na ukosefu wa wanunuzi nimeambiwa mwaka jana waliuza kilo moja kwa Tsh.25, 000/ mwaka huu hakuna wanunuzi kabisa ata aliyejitokeza anataka kununua kilo...
  16. ichumu lya

    Utata wa mkataba wa DP World na Serikali na ufafanuzi usio na mwisho

    Mkataba ulifichwa walitaka tusijue lakini Mungu akaufichua haraka wakasema ni feki tukawadai mkataba original wakaleta ule walioita feki, tukasema hauna ukomo wa muda wakasema tunapotosha Waziri Makame Mbarawa akasema ukomo ni mpaka shughli za bandari zikiisha wakadai hawataki maoni tukawabana...
  17. ichumu lya

    Mkoa wa kagera kuongoza kwa umaskini tanzania sio bahati mbaya ni njama za serikali kudhoofisha wanakagera

    Pato la mtu mmoja mmoja kwa mwanaKagera bado ni kizungumkuti elimu kwa wakulima, wafugaji na wajasiriamali ni kuhimu sana wataalamu wetu mnafanya nini kwenye maeneo yenu? Mnawashauri vipi wakulima na wafugaji ili wabadili kilimo mazoea waende kilimo biashara? Kwanini kulazimisha zao lisilostawi...
  18. ichumu lya

    Kuna haja gani kutoa taarifa katika vyombo vyetu vya ulinzi na usalama?

    Nchi hii hovyo sana mnaangaika na wakosoaji wa serikali, vyombo vya ulinzi na usalama vinatafuta wakosoaji wa CCM na mwenyekiti wake lakini taarifa za mawaziri majizi, makatibu wakuu wezi, wakurugenzi wezi hazifanyiwi kazi. Kuna haja gani kuamini vyombo hivi?
  19. ichumu lya

    Maboresho ya elimu ni pamoja na Walimu

    Good morning. MABORESHO YA ELIMU BILA WALIMU[emoji1787] Kinachotushinda nini! Nimatumizi mazuri ya akili. Sioni sababu ya kuagiza mitungi hii India na china? Ni kukosa ubunifu na Elimu mbovu inayotolewa nchini inayomfanya kijana kuwa tegemezi anasoma ili afaulu mitihani na kuajiriwa ajira pekee...
  20. ichumu lya

    Uchambuzi na Marekebisho ya Rasimu ya Mtaala wa Elimu: Kuondoa Mambo ya Dini na Masuala Mengine ya Kukinzana na Katiba

    Mimepitia na kufanya uchambuzi katika rasimu ya mtaala wa elimu iliyotangazwa na Waziri wa Elimu inahitaji marekebisho kabla ya kupitishwa rasmi na kuwa mtaala unaofaa. Ni muhimu kuondoa kabisa mambo ya dini yanayoweza kusababisha machafuko. Nakumbuka mwaka 2014 tulipopendekeza kuondolewa kwa...
Back
Top Bottom