THIS MAN KAHALID AUCHO!!
Today, I choose to remember and celebrate Khalid Aucho.
There have been midfielders in the KPL and then there was one Khalid Aucho alias "Anti Da Lost One"
He was more than a midfielder. One of the players who gave their all to Gor Mahia – a player who took Gor as ‘his...
Huyu jamaa anayejiita Kazumari ni nani katika mpira wetu? Mbona naona Tff wanamhusudu sana.
Upande wangu namwona ni kati ya watu wanaoharibu mpira wa nchi hii mosi jamaa ameshindwa kuficha chuki zake dhidi ya Timu ya Yanga, Uongozi wake kaenda mbali mpaka kwa wachezaji wa Yanga.
Nafikiri kuna...
Ndio timu zetu mbili Yanga na Simba zinakibarua kigumu kwani zimepangwa na vigogo wa Soka la Afrika MasandawanaMamelod na Al Ahly mtawalia.
Ndio wakati wa Afrika na Dunia kuitambua Tanzania, ndio wakati wa mawakala kuja Tanzania na kusaka vipaji, ni wakati wa kuweka rekodi za Kidunia.
Kwenye...
Baada ya ushindi wa goli 3 Jana wa Simba dhidi ya wachovu Singida fountain gate zile kelele kwamba Gsm anasponsor timu zote za ligi kuu zimekwisha/zimepungua.
Kama watoto wa Tff Jana wangefungwa au kutoa droo pasingekalika humu na kwenye baadhi ya vipindi vya michezo wachambuzi feki wangepata...
Walianza KMC, wakaja JKT, wakaja Simba baba lao leo limewakuta Ihefu achana na wale waarabu wa Algeria.
Hizo timu zote tajwa walizikosea Yanga heshima wakataka kupishana na Yanga kilichowakuta imebaki historia.
Ziko timu nyingi zimecheza kwa Nidhamu kubwa sana na Yanga rejea Namungo mchezo wa...
Simba ni kama sikio la kufa tu hata uliwekee Boric Acid ear drops hamna kitu.Simba wamebaki kumpigia promo GSm na kuacha kumpigia Promo boss aliyenunua timu yao mo.
Kwanini Simba wanalia sana na ishu za Udhamini Jibu ni jepesi tu baada ya ligi yetu kukua na wenye pesa zao kuamua kumwaga mpunga...
Ft. Tz Prison 2 Simba 1(mwenyeji)
Ni kama Prison walisikia kilio cha Kocha wa Galaxy Morena Ramoreboli dhidi ya michezo michafu waliyofanyiwa na Simba anzia ulonzi mpaka uwizi wa vifaa vyao.
Baada ya dakika 90 pale Morogoro hatimaye Prison wameifunga timu bora ya Caf wakiwa na mchezaji wao...
Yanga kacheza na KMc Morogoro kapata ushindi karudi Dar kacheza na Polisi Tz kapata ushindi then leo kamnyuka Mwarabu goli 4.
Tofauti na Simba, Yanga hawakwenda kulia pale Tff kuomba michezo yao ipigwe kalenda la hasha wao walicheza michezo yao yote kama ratiba ilivyotaka.
Simba wao walikuja...
Watanzania hasa mashabiki wa mpira tunajificha kwenye kivuli cha utani wa jadi ila uhalisia watanzania tuna roho mbaya, wivu, kijicho, mtimanyongo, unafiki, majungu...nk
Full time Yanga 4 Waalgeria 0
Nakumbuka Yanga inacheza fainali za kombe la shirikisho na kupoteza kwa faida ya magoli ya...
Kati ya kauli tata za mkufunzi wangu ni hii Serikali yoyote ile duniani ni mafia ni jinsi tu wewe utakavyojiweka.
Ukiamua kuiona serikali kwa upole wake utaiona, ukiamua kuiona serikali kwa Umafia wake utaiona.
Serikali ipo kila sehemu hata kule kijijini ndani kabisa kwa bibi na babu zetu ipo...
John Nobble golikipa mnaijeria aliyefunga safari kutoka kilometa nyingi jimbo la Abba yalipo makao makuu ya timu ya Enyimba mpaka kwa warina asali wa Tabora united kaniachia maswali mengi sana.
Baada ya ile gemu ya Simba nikajipa muda wa kumsoma Nobble kwa gemu za mbeleni, ukiacha ile gemu ya...
Dawa haramu. hizi ni dawa zilizopigwa marufuku kutumika na wachezaji either wa Mpira wa miguu, riadha au hata masumbwi kwani dawa hizi zinavichocheo ambavyo huweza kumfanya mchezaji kucheza bila kuchoka kwa muda mrefu either kwa kumpa nguvu, kusisimua misuli na pia kupunguza utendaji kazi wa...
Ni documentary moja ya RAIA Wa Kiingereza anafanya utalii kwa nchi zenye risk kubwa, nazipenda hizi documentary kwani zinanisaidia kufahamu wenzetu wanaishi vipi.
Baada ya kuangalia mwanzo mpaka mwisho wa safari ya mwamba Afghanistan nami nimewiwa kwenda kutalii kule siku moja, kumbuka jamaa...
Mkufunzi wangu wa shule flani alipata kunijuza maana ya Agent Provocateur kwa kifupi hawa ni watu wanaoweza kuwa nje au ndani ya mfumo na wanatumika kuzima hot issues flani ambazo sizo rafiki kwa wakati huo kwa lengo la kufanya watu kutoelewana.
Kwanini Mayele
Ukiangalia mwezi huu Yanga...
Visanga vya mpira wa Tanzania havitakaa viishe, nimemsikia msemaji wa Simba akisema kuna majini wazuri na wabaya kwa Imani yangu ni Big No majini ni roho chafu zilizoasi mbinguni na kutupwa Motoni.
Swali la kujiuliza je msemaji wa Simba anatumia majini wazuri, kama kama msemaji anaishi kwa...
Haijawahi kutokea gemu rahisi kati ya Yanga na Prison ni either gemu itaenda droo, Prison Kufungwa au mtu kupata kadi nyekundu ndio imeisha hivo na leo muda mfupi uliopita pale Sokoine.
PRISON 1 YANGA 2
Asikwambie mtu haikua gemu rahisi hata kidogo kama nlivyotangulia kusema kwa Sasa Tanzania...
Helicobacter Pylori ni bacteria ambao wanasadikika kusababisha vidonda vya tumbo na pia Kansa ya utumbo/tumbo, njia zake za kuambukizwa ni kupitia matumizi ya vitu vyenye vya H-Pylori kama vile maji au vyakula na pia kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.
Helicobacter Pylori ni kati ya...
Shida Simba wakikosa matokeo wanayoyataka wao ni lazima watafute mtu wa kumfunga kengele, badala ya kula kile kichapo cha goli tano toka kwa Yanga mpaka leo naona bado dishi linasearch.
Kile kipigo cha goli tano alifungwa kengele Tinyo boy mwisho wa siku wakaishia kumla kichwa hilo halitoshi...
Ft Simba(mwenyeji) 1 Azam(Mgeni) 1.
Ndio matokeo ya mwisho pale dimba la CCM Kirumba Mwanza.Hatimaye baada ya danadana za muda mrefu leo kiporo kimeliwa pale Mwanza huku kukiwa hakuna wa kumtambia mwenzake.
Huu ni mchezo ambao uligubikwa na makandokando mengi tu kutoka kwa TFF kwa lengo la...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.