bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Helicobacter Pylori ni bacteria ambao wanasadikika kusababisha vidonda vya tumbo na pia Kansa ya utumbo/tumbo, njia zake za kuambukizwa ni kupitia matumizi ya vitu vyenye vya H-Pylori kama vile maji au vyakula na pia kutoka kwa mtu mmoja kwenda kwa mtu mwingine.
Helicobacter Pylori ni kati ya bacteria ambao zamani hawakuwepo sana ila kwa sasa kati ya wagonjwa kumi wanaofika kwenye vituo vya afya na wenye dalili za kuumwa matumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kichwa, kuharisha...nk wakipimwa kutumia kipimo cha choo wengi wanakutwa positive kwa huyu bacteria.
Achana na wale wanaotaka kuuza Heligo-kit ila kiuhalisia watu wengi sana wanaopata huduma kwenyevituo rasmi vya afya ni wahanga wa hawa bacteria.
Je shida kubwa ni nini, watu hawana elimu juu ya hawa bacteria au mazingira yetu yamekua machafu au usafi kwenye uandaaji wa vyakula vyetu sio mzuri.
Helicobacter Pylori ni kati ya bacteria ambao zamani hawakuwepo sana ila kwa sasa kati ya wagonjwa kumi wanaofika kwenye vituo vya afya na wenye dalili za kuumwa matumbo, tumbo kujaa gesi, uchovu, kichwa, kuharisha...nk wakipimwa kutumia kipimo cha choo wengi wanakutwa positive kwa huyu bacteria.
Achana na wale wanaotaka kuuza Heligo-kit ila kiuhalisia watu wengi sana wanaopata huduma kwenyevituo rasmi vya afya ni wahanga wa hawa bacteria.
Je shida kubwa ni nini, watu hawana elimu juu ya hawa bacteria au mazingira yetu yamekua machafu au usafi kwenye uandaaji wa vyakula vyetu sio mzuri.