bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Yanga kacheza na KMc Morogoro kapata ushindi karudi Dar kacheza na Polisi Tz kapata ushindi then leo kamnyuka Mwarabu goli 4.
Tofauti na Simba, Yanga hawakwenda kulia pale Tff kuomba michezo yao ipigwe kalenda la hasha wao walicheza michezo yao yote kama ratiba ilivyotaka.
Simba wao walikuja na Propaganda feki Ivory Coast ni mbali na kuwataka Tff kusogeza michezo yao mbele.
Uzuri Tff walikubali Ombi lao na mwisho wa siku wameambulia sare, Kama walivyokua wazee wa malalamiko, Tff wasingekubali ombi lao na ile droo ya juzi lazima Jumba bovu lingewaangukia Tff.
Nawashauri waandike barua nyingine kuomba maandalizi dhidi ya Jwaneng Galaxy wasije kufungwa wakasema Tff hawakuwapa muda wa kujiandaa.
Tff mtoto wenu pendwa akileta barua ya kuomba asicheze mchezo wowote hata kwa mwezi mzima plse mpeni ruksa.
Tofauti na Simba, Yanga hawakwenda kulia pale Tff kuomba michezo yao ipigwe kalenda la hasha wao walicheza michezo yao yote kama ratiba ilivyotaka.
Simba wao walikuja na Propaganda feki Ivory Coast ni mbali na kuwataka Tff kusogeza michezo yao mbele.
Uzuri Tff walikubali Ombi lao na mwisho wa siku wameambulia sare, Kama walivyokua wazee wa malalamiko, Tff wasingekubali ombi lao na ile droo ya juzi lazima Jumba bovu lingewaangukia Tff.
Nawashauri waandike barua nyingine kuomba maandalizi dhidi ya Jwaneng Galaxy wasije kufungwa wakasema Tff hawakuwapa muda wa kujiandaa.
Tff mtoto wenu pendwa akileta barua ya kuomba asicheze mchezo wowote hata kwa mwezi mzima plse mpeni ruksa.