bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Ft Simba(mwenyeji) 1 Azam(Mgeni) 1.
Ndio matokeo ya mwisho pale dimba la CCM Kirumba Mwanza.Hatimaye baada ya danadana za muda mrefu leo kiporo kimeliwa pale Mwanza huku kukiwa hakuna wa kumtambia mwenzake.
Huu ni mchezo ambao uligubikwa na makandokando mengi tu kutoka kwa TFF kwa lengo la kuwapa faida Simba lakini bado wameishia kupata droo.
Since mchezo umehairishwa Simba wamebadili makocha, Simba wamefanya usajili wa baadhi ya wachezaji na hili ndio lilikua lengo kuu la Tff kuhakikisha Simba wanafanya sajili ili kuwaepusha na kipigo kingine kikali kama kile kutoka kwa Yanga na lengo lao limefanikiwa kwa Simba kuishia kupata droo.
Kwa sayansi yangu ya mpira nina hakika ile Simba waliotoka kula bakora tano wangekutana na Azam kipindi kile wangekula si chini ya goli 3, wawashukuru sana ndugu zao Tff.
Ninashauri kwa upendo walionao Tff kwa Simba mechi ya mzunguko wa pili Simba wapewe miezi 6 kabisa ya kujiandaa.
Ndio matokeo ya mwisho pale dimba la CCM Kirumba Mwanza.Hatimaye baada ya danadana za muda mrefu leo kiporo kimeliwa pale Mwanza huku kukiwa hakuna wa kumtambia mwenzake.
Huu ni mchezo ambao uligubikwa na makandokando mengi tu kutoka kwa TFF kwa lengo la kuwapa faida Simba lakini bado wameishia kupata droo.
Since mchezo umehairishwa Simba wamebadili makocha, Simba wamefanya usajili wa baadhi ya wachezaji na hili ndio lilikua lengo kuu la Tff kuhakikisha Simba wanafanya sajili ili kuwaepusha na kipigo kingine kikali kama kile kutoka kwa Yanga na lengo lao limefanikiwa kwa Simba kuishia kupata droo.
Kwa sayansi yangu ya mpira nina hakika ile Simba waliotoka kula bakora tano wangekutana na Azam kipindi kile wangekula si chini ya goli 3, wawashukuru sana ndugu zao Tff.
Ninashauri kwa upendo walionao Tff kwa Simba mechi ya mzunguko wa pili Simba wapewe miezi 6 kabisa ya kujiandaa.