Baada ya hii documentary nimevutiwa kwenda kutalii Afghanistan

bryan2

JF-Expert Member
Jun 8, 2016
3,323
4,667
Ni documentary moja ya RAIA Wa Kiingereza anafanya utalii kwa nchi zenye risk kubwa, nazipenda hizi documentary kwani zinanisaidia kufahamu wenzetu wanaishi vipi.

Baada ya kuangalia mwanzo mpaka mwisho wa safari ya mwamba Afghanistan nami nimewiwa kwenda kutalii kule siku moja, kumbuka jamaa ameenda kipindi hiki Taliban wakiwa wameshika nchi.

Kikubwa nlichokiona Taliban wanaogopeka sana Afghanistan ila jamaa walimpa Uhuru wa kupiga picha maeneo mbalimbali Ila alipewa warning na Dreva Tax asipige picha kwenye maeneo ya kimkakati kama vile kambi za jeshi, vituo vya polisi...nk

Ilifika mahali mpaka jamaa anawauliza wewe ni Taliban, Wanajeshi wa Kitaliban wanamjibu Yes, kuna sehemu wanakula msosi pamoja na askari wa kitaliban ila jamaa wanatisha anzia mavazi yao mpaka userious wao.

Kuna vivutio vingi vya utalii, nyanda mbalimbali za milima, chui wa kwenye barafu, mito, majengo ya kale pamoja na tamaduni zao.

Pia RAIA wengi wa Afghanistan ni maskini kwani kila sehemu alipokua anapita watu wengi wanamfwata na kumwomba hela kuna sehemu iliwapa hela aisee waligombania mnoo hata ukiangalia nyuso zao hazina matumaini kabisa.

Ukitua tu pale Kabul international Airport na shirika la ndege la Kam airways unapatana na kibao I love Afghanistan.

Kuna mji unaitwa Jalalabad watu wanauza silaha kama bamia zinavyouzwa soko la usiku Mbagala tena ni mashine haswa na kuna fundi wa kurepair vinu kabisa silaha nyingi ni made in China na Urusi.

Hapo ndipo nliposhangaa silaha kuuzwa kweupe, Wamarekani wameacha vifaa vyao Vingi sana Afghanistan sijui ni mtego au maji yalizidi unga asilimia kubwa ya wanamgambo wa Talibani wameachana na AK 47 za mrusi na sasa wanamiliki vinu vya kimarekani, magari ya Humvee ni mengi sana mengine yakiwa mazima yanatumika na Taliban mengine ni Mikweche.

Next time nikizichanga I hope miezi kama hii ntambeba my Valentine tukale Bata mitaa ya Kabul Pale.
 
Na jina ujiite Mujahideen kama ni John imekula kwako
Mbona yule jamaa wa Kiingereza hajabadili jina na bado wanamgambo wa Taliban hawakumpa kashkash.

Sema Elimu sio ishu kwao vitoto vidogo vinapiga misele tu sokoni
 
Ni documentary moja ya RAIA Wa Kiingereza anafanya utalii kwa nchi zenye risk kubwa, nazipenda hizi documentary kwani zinanisaidia kufahamu wenzetu wanaishi vipi.

Baada ya kuangalia mwanzo mpaka mwisho wa safari ya mwamba Afghanistan nami nimewiwa kwenda kutalii kule siku moja, kumbuka jamaa ameenda kipindi hiki Taliban wakiwa wameshika nchi.

Kikubwa nlichokiona Taliban wanaogopeka sana Afghanistan ila jamaa walimpa Uhuru wa kupiga picha maeneo mbalimbali Ila alipewa warning na Dreva Tax asipige picha kwenye maeneo ya kimkakati kama vile kambi za jeshi, vituo vya polisi...nk

Ilifika mahali mpaka jamaa anawauliza wewe ni Taliban, Wanajeshi wa Kitaliban wanamjibu Yes, kuna sehemu wanakula msosi pamoja na askari wa kitaliban ila jamaa wanatisha anzia mavazi yao mpaka userious wao.

Kuna vivutio vingi vya utalii, nyanda mbalimbali za milima, chui wa kwenye barafu, mito, majengo ya kale pamoja na tamaduni zao.

Pia RAIA wengi wa Afghanistan ni maskini kwani kila sehemu alipokua anapita watu wengi wanamfwata na kumwomba hela kuna sehemu iliwapa hela aisee waligombania mnoo hata ukiangalia nyuso zao hazina matumaini kabisa.

Ukitua tu pale Kabul international Airport na shirika la ndege la Kam airways unapatana na kibao I love Afghanistan.

Kuna mji unaitwa Jalalabad watu wanauza silaha kama bamia zinavyouzwa soko la usiku Mbagala tena ni mashine haswa na kuna fundi wa kurepair vinu kabisa silaha nyingi ni made in China na Urusi.

Hapo ndipo nliposhangaa silaha kuuzwa kweupe, Wamarekani wameacha vifaa vyao Vingi sana Afghanistan sijui ni mtego au maji yalizidi unga asilimia kubwa ya wanamgambo wa Talibani wameachana na AK 47 za mrusi na sasa wanamiliki vinu vya kimarekani, magari ya Humvee ni mengi sana mengine yakiwa mazima yanatumika na Taliban mengine ni Mikweche.

Next time nikizichanga I hope miezi kama hii ntambeba my Valentine tukale Bata mitaa ya Kabul Pale.
Maelezo ni mengi.Nenda.
 
Nimeamini Kila unachowaza kuna mtu anakifanya hii imekuwa ndoto yangu kufanya documentary afghan as naamini Kuna maisha ambayo movie hazioneshi Kisha nakutana na hii documentary
Mbona documentary kuhusu Afghanistan zipo nyingi tu masta tafuta mitandaoni utaziona,
Hii dunia kuna kuna nchi au watu wanavutia sana kufahamu undani wa maisha yao nimeangalia za Haiti, Yemeni, Afghanistan, kuna nchi inaitwa Papua new Guinea, Iraq, Syria, Somalia, South Sudan, Cuba, next ntaangalia ya cape verde
 
Jina la documentary...?
Check hizo
Screenshot_20240213-221032.jpg
View attachment 2903303
 
Black ukienda kule kwanza lazma wakuhisi wew ni jasusi wa Marekani kwa vyovyote vile.. ukijichanganya kidogo tu lazma ule machine haha
Hamna kitu kama hicho!
Kuna jamaa mmoja ni black tena nywele zake amebana vitunguu ni maarufu sana Afghanistan na Pakistan. Halafu si raia wa huko wala nini.

Jamaa anapewa heshima kubwa sana. Anajiita Blackman da Traveller. Ingia Youtube safu hilo jina utaona umaarufu wake. Tena huwa anakula msosi mpaka na Taliban.
 
Hamna kitu kama hicho!
Kuna jamaa mmoja ni black tena nywele zake amebana vitunguu ni maarufu sana Afghanistan na Pakistan. Halafu si raia wa huko wala nini.

Jamaa anapewa heshima kubwa sana. Anajiita Blackman da Traveller. Ingia Youtube safu hilo jina utaona umaarufu wake. Tena huwa anakula msosi mpaka na Taliban.
Zote hizi nimeshapitia kuna jamaa mwingine tena Black anaishi safi tu pale Kabul ndio anapokea wageni hata wazungu kuna mawasiliano nimepata jamaa amekubali kunifanyia booking ya hoteli na kunitafutia vibali vyote muhimu.
 
Back
Top Bottom