bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Huyu jamaa anayejiita Kazumari ni nani katika mpira wetu? Mbona naona Tff wanamhusudu sana.
Upande wangu namwona ni kati ya watu wanaoharibu mpira wa nchi hii mosi jamaa ameshindwa kuficha chuki zake dhidi ya Timu ya Yanga, Uongozi wake kaenda mbali mpaka kwa wachezaji wa Yanga.
Nafikiri kuna MTU/Watu pale Tff wanamtumia Kazumari unapatana na taarifa nyeti za Tff official Tff bado hawajazitoa Ila yeye tiyari keshapost.
Amejaa chuki sana, nakumbuka ishu ya Manara na rais Tff Karia pale Arusha yeye ndio aliikomalia mpaka manara akala mvua kutoka Tff.
Siku za karibuni naona mabandiko yake dhidi ya Kijana Mdogo anayejitafuta kwenye Soka Dickson Job kutoitwa T/Stars.
Anaripoti ishu kubwa ni Utovu wa nidhamu, kwangu sio kama ni ishu kwani mchezaji alijieleza siwezi kucheza namba flani iweze iwe tatizo la kinidhamu huwezi jua fitness ya mchezaji ilikuaje siku ile.
DRC ni kati ya timu iliyokua na winga wakali sana Afcon Kuna mwamba wakautwa Ben Wissa, Bangonda...nk Job aliona hana fitness nzuri ya kukabiliana nao then akaitwa mtovu wa Nidhamu.
Leo Kazumari anapata wapi nguvu ya kumsema Job wakati alikua wa kwanza kumponda kijana wa watu kwamba Yanga pamoja na T/stars zinafungwa kisa UFUPI wa Dickson Job.
Alifika sehemu anahoji mpaka uuambaji wa Mwenyezi Mungu sidhani kama Dickson Job alijiumba yeye.
Pamoja na kashfa za Kazumari dhidi ya Job Ila ukiangalia timu yake Simba wenye mabeki anaowaita warefu ligi ya ndani tu wamekula vyuma 18 achana na zile 5 za Yanga.
Tuamini vipi maneno ya Kazumari dhidi ya Job kama sio mwendelezo wake wa Chuki zake, Uzuri kijana kaamua kukaa kimya.
Wanasema akushindaye kwa maneno mshinde kwa kukaa kimya.
Upande wangu namwona ni kati ya watu wanaoharibu mpira wa nchi hii mosi jamaa ameshindwa kuficha chuki zake dhidi ya Timu ya Yanga, Uongozi wake kaenda mbali mpaka kwa wachezaji wa Yanga.
Nafikiri kuna MTU/Watu pale Tff wanamtumia Kazumari unapatana na taarifa nyeti za Tff official Tff bado hawajazitoa Ila yeye tiyari keshapost.
Amejaa chuki sana, nakumbuka ishu ya Manara na rais Tff Karia pale Arusha yeye ndio aliikomalia mpaka manara akala mvua kutoka Tff.
Siku za karibuni naona mabandiko yake dhidi ya Kijana Mdogo anayejitafuta kwenye Soka Dickson Job kutoitwa T/Stars.
Anaripoti ishu kubwa ni Utovu wa nidhamu, kwangu sio kama ni ishu kwani mchezaji alijieleza siwezi kucheza namba flani iweze iwe tatizo la kinidhamu huwezi jua fitness ya mchezaji ilikuaje siku ile.
DRC ni kati ya timu iliyokua na winga wakali sana Afcon Kuna mwamba wakautwa Ben Wissa, Bangonda...nk Job aliona hana fitness nzuri ya kukabiliana nao then akaitwa mtovu wa Nidhamu.
Leo Kazumari anapata wapi nguvu ya kumsema Job wakati alikua wa kwanza kumponda kijana wa watu kwamba Yanga pamoja na T/stars zinafungwa kisa UFUPI wa Dickson Job.
Alifika sehemu anahoji mpaka uuambaji wa Mwenyezi Mungu sidhani kama Dickson Job alijiumba yeye.
Pamoja na kashfa za Kazumari dhidi ya Job Ila ukiangalia timu yake Simba wenye mabeki anaowaita warefu ligi ya ndani tu wamekula vyuma 18 achana na zile 5 za Yanga.
Tuamini vipi maneno ya Kazumari dhidi ya Job kama sio mwendelezo wake wa Chuki zake, Uzuri kijana kaamua kukaa kimya.
Wanasema akushindaye kwa maneno mshinde kwa kukaa kimya.