bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
Shida Simba wakikosa matokeo wanayoyataka wao ni lazima watafute mtu wa kumfunga kengele, badala ya kula kile kichapo cha goli tano toka kwa Yanga mpaka leo naona bado dishi linasearch.
Kile kipigo cha goli tano alifungwa kengele Tinyo boy mwisho wa siku wakaishia kumla kichwa hilo halitoshi bado wakaenda kwa Mangungu ila uzuri kwa Mangungu walikwaa kisiki, kwenda mbaki zaidi bado wakalia na refa Aragija.,
Simba kama hawataki kufungwa au kutoa droo ni vyema wakahamia ligi ya South Sudan wakakutane na Zalan au ligi ya Somalia, Nlitaka kusema ligi ya Zanzibar nikakumbuka kule kuna Mlandege na mambo ya Akandawana kule.
Kubwa zaidi leo wamekuja na kali kwa kutishia kumsomea Albadiri refa wa mchezo wa leo Ramadhan Kayoko hakika kuna mambo yapo kwenye mpira wa Tanzania tu huwezi kuyakuta popote pale Ulimwenguni hata kule kwenye visiwa vya greenland.
Gemu ijayo na Geita Gold wakipoteza au kutoa droo sijui nani ataangukiwa na Jumba bovu je ni Benchinka au Matola lets wait and see.
Simba chezeni mpira wacheni longolongo.
Kile kipigo cha goli tano alifungwa kengele Tinyo boy mwisho wa siku wakaishia kumla kichwa hilo halitoshi bado wakaenda kwa Mangungu ila uzuri kwa Mangungu walikwaa kisiki, kwenda mbaki zaidi bado wakalia na refa Aragija.,
Simba kama hawataki kufungwa au kutoa droo ni vyema wakahamia ligi ya South Sudan wakakutane na Zalan au ligi ya Somalia, Nlitaka kusema ligi ya Zanzibar nikakumbuka kule kuna Mlandege na mambo ya Akandawana kule.
Kubwa zaidi leo wamekuja na kali kwa kutishia kumsomea Albadiri refa wa mchezo wa leo Ramadhan Kayoko hakika kuna mambo yapo kwenye mpira wa Tanzania tu huwezi kuyakuta popote pale Ulimwenguni hata kule kwenye visiwa vya greenland.
Gemu ijayo na Geita Gold wakipoteza au kutoa droo sijui nani ataangukiwa na Jumba bovu je ni Benchinka au Matola lets wait and see.
Simba chezeni mpira wacheni longolongo.