bryan2
JF-Expert Member
- Jun 8, 2016
- 3,323
- 4,667
John Nobble golikipa mnaijeria aliyefunga safari kutoka kilometa nyingi jimbo la Abba yalipo makao makuu ya timu ya Enyimba mpaka kwa warina asali wa Tabora united kaniachia maswali mengi sana.
Baada ya ile gemu ya Simba nikajipa muda wa kumsoma Nobble kwa gemu za mbeleni, ukiacha ile gemu ya nyuma ya Yanga aliyoonyesha kiwango maridadi kabisa.
Baada ya kumsoma gemu mbili dhidi ya Namungo matokeo yalikua sare ya kutofungana na leo dhidi ya Azam pia sare ya kutofungana.
Hitimisho ile gemu ya Simba dishi lilichezeshwa gemu ile Nobble alikua na kiwango cha mashaka ukiangalia michomo anayookoa kwa hizo gemu tatu dhidi ya Yanga, Azam na Namungo kwa kifupi yale magoli ya Simba yalipikwa maabara/ artificial.
Baada ya gemu ile hebu jiulize wale washambuliaji wawili wa Simba waliotupia wamepotelea wapi? baki na jibu lako.
Mpira wetu una madudu mengi mnoo tunafahamu Tabora nani yupo pale asingekubali vijana wake wa zamani waondoke na aibu.
Baada ya ile gemu ya Simba nikajipa muda wa kumsoma Nobble kwa gemu za mbeleni, ukiacha ile gemu ya nyuma ya Yanga aliyoonyesha kiwango maridadi kabisa.
Baada ya kumsoma gemu mbili dhidi ya Namungo matokeo yalikua sare ya kutofungana na leo dhidi ya Azam pia sare ya kutofungana.
Hitimisho ile gemu ya Simba dishi lilichezeshwa gemu ile Nobble alikua na kiwango cha mashaka ukiangalia michomo anayookoa kwa hizo gemu tatu dhidi ya Yanga, Azam na Namungo kwa kifupi yale magoli ya Simba yalipikwa maabara/ artificial.
Baada ya gemu ile hebu jiulize wale washambuliaji wawili wa Simba waliotupia wamepotelea wapi? baki na jibu lako.
Mpira wetu una madudu mengi mnoo tunafahamu Tabora nani yupo pale asingekubali vijana wake wa zamani waondoke na aibu.