Je wewe ni kijana mwenye kipaji na uwezo wa kutengeneza systems mbalimbali za kielektroniki kwa ubora wa hali ya juu?
Karibu ujiunge nasi GSTAR SERVICES ili tuweze kuunganisha mawazo na kutengeneza mfumo kwa malengo ya kibiashara, kama unakumbana na changamoto za kimfumo na kimtandao...
Habari sisi ni kampuni tuliobobea kwenye utengenezaji wa Computer, na kutoa huduma za ki ICT kwa bei rafiki. Karibu tukuhudumie huduma zetu zipo kwenye hiki kipeperushi chetu. Karibu tukuhudumie.
Habari GStar publishers ni kampuni inayojihusisha na uchapaji wa vitabu, mabango, brochures na business cards kwa bei nafuu. Tunapatikana Kariakoo mtaa wa Jangwani au tupigie kwa simu. 0719682352.
Unapata kazi kwa uharaka na kwaubora wa hali ya juu, vitabu tunaprinti kuanzia kopi 10 na...
Habari zenu, mimi ni mwandishi wa vitabu, natafuta mtafsiri wa vitabu vyangu kutoka Kiswahili kwenda lugha ya Kiingereza, malipo kwa makubaliano maalum.
Nicheki PM kwa mawasiliano zaidi.
JOB VACANCY TO BE FILLED
SCHOOL BACKGROUND
Helasita Secondary School is a boys’ secondary school located at Mtoni Kijichi, in Temeke Municipality, Dar Es Salaam, Tanzania. The school is registered with registration Number S. 4891 and follows the Tanzania’s National Curriculum. Helasita...
Wakuu habari? Mimi mwenzenu nikiri wazi kuwa nilisoma chuo kikuu cha Taifa cozi ikiwa ni Computer Science lakini nilitoka half cooked sikuwa nimeiva kabisa na hii ikanipa wakati mgumu sana kwenye kusaka ajira.
Sababu:
Waalimu wengi waliokuwa wakitufundisha walikuwa wanatufundisha katika mfumo...
Kichwa cha habari chahusika nauza dstv decorder set kwa Tsh. 70,000/- but inapungua kwa maelewano kwa anayehitaji anicheki kwa namba 0625544781
Napatikana Dar es Salaam
Nahitaji mdau ambaye ataniungamkono katika hili. Mimi ni IT specialist ninauwezo wa kutengeneza website ya online store itakayo weza kufanya mauzo ya haraka kwa bidhaa mbalimbali hapa nchini Tanzania.
Kama umependa hili wazo njoo tuunganishe nguvu wewe utoe finance mimi nitoe ujuzi then mwisho...
Habari wakuu, Nina mdogo wangu ana diploma ya kilimo hivyo nilikuwa nawaomba wadau kama kuna mtu au kampuni binafsi ambaye anaweza kumuajiri kwa namna yoyote ile anaweza akafanya ofisini shambani au dukani kuuza bidhaa za kilimo jinsia yake ni ya kike kwa atakaye hitaji kumsaidia tuwasiliane inbox.
Muda wowote Mwalimu anapatikana kufundisha part time ama full time.
Wale kwenye watoto majumbani, mwanao atafundishwa level zote za matumizi ya computer na program zake
Anapatikana Dar es Salaam
Watu wengi wanasumbuliwa na virus kwenye computer zao. Zipo njia nyingi za kujiepusha na virus vinavyo shambulia computer moja ya njia hizo ni kitumia mfumo endeshi wa UBUNTU.
UBUNTU ni mfumo kama ilivyo windows (window 7, xp nk) Faida kubwa ya Ubuntu ni kuwa haiathiriwi kabisa na virus, faida...
Wadau kwa ambaye anafahamu mtu anayejua lugha ya kichina na kiswahili kuna kazi ya kutafsiri katika maeneo ya migodini.
Tafadhali ni pm kwa maelezo zaidi.
Habari wakuu, hopefully mko vizuri na mnaendelea na michakariko ya maisha sehemu mbalimbali za nchi yetu mkilisukuma gurudumu lamaendeleo.
Mimi ni kijana mwenzenu ninaye tafuta ajira. nina degree ya Computer Science kutoka udsm, nimesha wahi kuajiriwa kama ICT officer kwenye institution kadhaa...
Habari wana JF,
Mimi ni kijana wa kitanzania niliyejitokeza kwenye jukwaa hili nikiamini kuwa upo uwezekano mkubwa wa kukutana na life partner katika jukwaa hili.
Sababu kubwa iliyo nifanya nitumie jukwaa hili ni kuwa wapo watumiaji wengi wa aina tofauti na wengine wenye uhitaji wa kupata...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.