Tuliosoma chuo tukatoka patupu tukutane

Troubleshooter

Senior Member
Mar 30, 2016
103
95
Wakuu habari? Mimi mwenzenu nikiri wazi kuwa nilisoma chuo kikuu cha Taifa cozi ikiwa ni Computer Science lakini nilitoka half cooked sikuwa nimeiva kabisa na hii ikanipa wakati mgumu sana kwenye kusaka ajira.

Sababu:
Waalimu wengi waliokuwa wakitufundisha walikuwa wanatufundisha katika mfumo wa kutukaririsha zaidi kuliko kutufanya tuelewe na kulifurahia somo. Kama vile walikuwa wakitukomoa na kututishia ku-sup, niliishia kukariri ili nisifeli au kupata alama za chini.

Tunafundishwa mambo mengi kwa wakati mmoja tena ndani ya semister moja mnaweza kuwa na cozi zaidi ya 6 main, hivyo mwisho wa siku unajikuta unakariri zaidi badala ya kuelewa.

Ukosefu wa vitendea kazi kama laptop nayo ilikuwa tatizo kwasababu vifaa kama computer ni lazima, Computer lab ya chuo ilikuwa hoi computer nyingi zikiwa mbovu na hakukuwa na utaratibu maalum wa wanachuo kuzitumia zile zilizopo.

Walimu wetu kuwa shallow baadhi walikuwa wanatufundisha vitu ambavyo hata wao wenyewe hawavijui mpaka nikawa najiuliza hivi wamefikaje pale? unakuta mtu anakufundisha programing let say Java halafu hata yeye mwenyewe haijui na hakuambii utaiapply wapi?

Maisha magumu wakati mwingine Boom linaisha, pia wakati mwingine lilikuwa linachelewa sana kutoka hivyo kunifanya kuwa na wakati mgumu wa kufuatilia masomo halinikiwa na njaa, muda mwingi nilikuwa nautumia kuwaza nimpigie nani simu nimpige kizinga.

Mpaka unafika mwaka wa tatu nagraduate nilikuwa najiuliza nimevukaje na vipi nagraduate halikuwa hata kuprogram "Hellow world!" sijui ndio ikawa hivyo. Mambo mengi nimejifunza baada ya kumaliza chuo ikiwemo website designing na PC mainternace.
 
Kimsingi ulipaswa kupenda course husika kwanza, walimu tulionao ni tatizo kwa namna flani
Nakumbuka tulifundisha "Concrete design " mwl hakutenda haki kabisa, muda mwingi haji chuo, kama anakuja basi anakuja na biashara yaan maembe au machungwa na anataka mununue,
Lile somo nililielewa kwa rafiki yangu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
 
Wewe ni kilaza, usie jitambua na wanaokusapoti ni vilaza vilevile.Chuo kikuu sio mahala pa kufundishwa kama darasa la kwanza bali ni sehemu ya kujifunza.Ukiwa chuo lazima ujitambue vinginevyo utaona maluweluwe tu.GURU wa İt duniani wamejifunza komputer science hawakufundishwa na mtu.Wenzio walisoma tu vitabu vya komputer science wakaunda na programu za komputer, mfano Elon mask aliunda computer game kwa kusoma tu vitabu sembuse wewe na mwalimu ulikua nae, wanafunzi wenzio nk.Ni ajabu kusikia mtu analalama kuwa mwalimu wake sio mahili hali ana smart ya kisasa ambayo ina internet ambapo kuna lecture mbalimbali, kuna vitabu vya kila aina.Udhaifu wako usiwe lawama kwa wengine'Self defensive mechanism'.Najiuliza tu ukisoma open university utamlaumu nani?.
 
Wewe ni kilaza, usie jitambua na wanaokusapoti ni vilaza vilevile.Chuo kikuu sio mahala pa kufundishwa kama darasa la kwanza bali ni sehemu ya kujifunza.Ukiwa chuo lazima ujitambue vinginevyo utaona maluweluwe tu.GURU wa İt duniani wamejifunza komputer science hawakufundishwa na mtu.Wenzio walisoma tu vitabu vya komputer science wakaunda na programu za komputer, mfano Elon mask aliunda computer game kwa kusoma tu vitabu sembuse wewe na mwalimu ulikua nae, wanafunzi wenzio nk.Ni ajabu kusikia mtu analalama kuwa mwalimu wake sio mahili hali ana smart ya kisasa ambayo ina internet ambapo kuna lecture mbalimbali, kuna vitabu vya kila aina.Udhaifu wako usiwe lawama kwa wengine'Self defensive mechanism'.Najiuliza tu ukisoma open university utamlaumu nani?.

Sidhani kama ni sahihi kuniita kilaza kumbe ndio maana Tanzania hatuendelei kiteknolojia kutokana na watu wenye muono kama wako.

Chuo kikuu ni mahali pa kupata knowledge yaani kuwa full proffesional hivyo ni lazima kuwepo na wakufunzi walio bobea kwenye fani husika.

Hao unao wasema kuwa walipata knowledge kwa kujisomea wao wenyewe huwezi jua siri yao kwani kuna vingine hawawezi kukwambia pia wengiwao wanamsingi mzuri wa elimu kuanzia ngazi ya chini.

Kuhusu open university pia ni sehemu nzuri lakini huwezi kushangaa kuona kuwa wengi wao wanahaha kusaka waalimu wa part time.

Kama unadhani kuwa internet na google ndio kila kitu nadhani bado unajidanganya.
Kuna umuhimu mkubwa kuwa na centralized system of learning.
 
Wakuu habari? Mimi mwenzenu nikiri wazi kuwa nilisoma chuo kikuu cha Taifa cozi ikiwa ni Computer Science lakini nilitoka half cooked sikuwa nimeiva kabisa na hii ikanipa wakati mgumu sana kwenye kusaka ajira.

Sababu:
Waalimu wengi waliokuwa wakitufundisha walikuwa wanatufundisha katika mfumo wa kutukaririsha zaidi kuliko kutufanya tuelewe na kulifurahia somo. Kama vile walikuwa wakitukomoa na kututishia ku-sup, niliishia kukariri ili nisifeli au kupata alama za chini.

Tunafundishwa mambo mengi kwa wakati mmoja tena ndani ya semister moja mnaweza kuwa na cozi zaidi ya 6 main, hivyo mwisho wa siku unajikuta unakariri zaidi badala ya kuelewa.

Ukosefu wa vitendea kazi kama laptop nayo ilikuwa tatizo kwasababu vifaa kama computer ni lazima, Computer lab ya chuo ilikuwa hoi computer nyingi zikiwa mbovu na hakukuwa na utaratibu maalum wa wanachuo kuzitumia zile zilizopo.

Walimu wetu kuwa shallow baadhi walikuwa wanatufundisha vitu ambavyo hata wao wenyewe hawavijui mpaka nikawa najiuliza hivi wamefikaje pale? unakuta mtu anakufundisha programing let say Java halafu hata yeye mwenyewe haijui na hakuambii utaiapply wapi?

Maisha magumu wakati mwingine Boom linaisha, pia wakati mwingine lilikuwa linachelewa sana kutoka hivyo kunifanya kuwa na wakati mgumu wa kufuatilia masomo halinikiwa na njaa, muda mwingi nilikuwa nautumia kuwaza nimpigie nani simu nimpige kizinga.

Mpaka unafika mwaka wa tatu nagraduate nilikuwa najiuliza nimevukaje na vipi nagraduate halikuwa hata kuprogram "Hellow world!" sijui ndio ikawa hivyo. Mambo mengi nimejifunza baada ya kumaliza chuo ikiwemo website designing na PC mainternace.
"Hello world" c++

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe ni kilaza, usie jitambua na wanaokusapoti ni vilaza vilevile.Chuo kikuu sio mahala pa kufundishwa kama darasa la kwanza bali ni sehemu ya kujifunza.Ukiwa chuo lazima ujitambue vinginevyo utaona maluweluwe tu.GURU wa İt duniani wamejifunza komputer science hawakufundishwa na mtu.Wenzio walisoma tu vitabu vya komputer science wakaunda na programu za komputer, mfano Elon mask aliunda computer game kwa kusoma tu vitabu sembuse wewe na mwalimu ulikua nae, wanafunzi wenzio nk.Ni ajabu kusikia mtu analalama kuwa mwalimu wake sio mahili hali ana smart ya kisasa ambayo ina internet ambapo kuna lecture mbalimbali, kuna vitabu vya kila aina.Udhaifu wako usiwe lawama kwa wengine'Self defensive mechanism'.Najiuliza tu ukisoma open university utamlaumu nani?.
Kama ingekuwa hivyo kusingekuwa na haja ya waalimu chuoni pia Kwa muda gani mtu mpaka atelewa ili afanye mtihani na kufauru, kumbuka hao walisoma nje ya darasa kama Elon musk hawakufanya mitihani , inawezekana walielewa computer baada ya muda mrefu
 
Sidhani kama ni sahihi kuniita kilaza kumbe ndio maana Tanzania hatuendelei kiteknolojia kutokana na watu wenye muono kama wako.
Chuo kikuu ni mahali pa kupata knowledge yaani kuwa full proffesional hivyo ni lazima kuwepo na wakufunzi walio bobea kwenye fani husika.
Hao unao wasema kuwa walipata knowledge kwa kujisomea wao wenyewe huwezi jua siri yao kwani kuna vingine hawawezi kukwambia pia wengiwao wanamsingi mzuri wa elimu kuanzia ngazi ya chini.
Kuhusu open university pia ni sehemu nzuri lakini huwezi kushangaa kuona kuwa wengi wao wanahaha kusaka waalimu wa part time.
Kama unadhani kuwa internet na google ndio kila kitu nadhani bado unajidanganya.
Kuna umuhimu mkubwa kuwa na centralized system of learning.

Sent using Jamii Forums mobile app
Uko sahihi sana mkuu
 
Back
Top Bottom