Wadau wenye kujua napoweza kupata hii hand cream anielekeze. Wife alipewa na ndugu yake from USA
Cream inakaribia kuisha ina harufu nzuri sana tena ya kishua kweli kweli. Naitafuta aweze kuwa nazo za kutosha
Wadau kuna liquid soap fulani wanatumia kwenye mahoteli makubwa ambazo wanazijaza kadiri zinapopungua. Kwa walioishi ulaya mtakuwa mnazijua maana kule ni kila hoteli zinapatikana. Swali naweza kuzipata wapi hapa Bongo?
Sikufanikiwa kuuliza hotelini wanazitoa wapi. Najua humu kuna wengi mnajua...
TUACHIE SIMBA YETU...............
1. Kijana Haji Manara, Maneno yangu sikia,
Kwanza zuia hasira, Pindi unapoomgea,
Haya mambo ya mpira, Wengi watakuchukia,
Tuachie Simba yetu, Na wewe kafanye yako.
2. Umezaliwa mjini, Ni nani wa kukataa,
Mambo yote ya kihuni, Haji wewe wayajua,
Simba...
Nilijenga nyumba ya shambani maeneo ya Mkuranga ambayo nikiwa naenda kufanya kilimo nafikia pale. Tatizo limetokea nilipoweka madirisha ya alluminium yalikuja na zile tapes za kuzuia yasichunike ambazo zina nembo ya kampuni iliyotengeneza.
Nilipoyaweka fundi alishauri tusiyabandue mpaka siku ya...
Wadau nimeagiza begi mtandaoni na limenifikia yapata wiki sasa. Kwenye mkono wa kubebea kuna USB port. Hivi kazi yake ni nini kwa wenye utaalam? Nimeuliza ofisini hamna anayejua
Je, utaratibu ukoje?
Je, wafugaji wa wanyama wengine vipi?
Kusajili ni vizuri ila uwekwe utaratibu kwa mifugo yote wafugaji wasajiliwe kuwe na database na sio wafuga kuku wa nyama na mayai. Kuna mifugo mingi nchini
Natafuta ile board ya kuchezea darts pamoja na ile mishale yake yaani full set. Nataka nitumie kama pambo ukutani na pia kuwafundisha watoto michezo tofauti na waliyozoea.
Sehemu gani wanayouza hapa jijini Dar es Salaam.
Wakati nasoma kulikuwa na dada mmoja class (chuo) aliniazima calculator yake akaenda nayo chumbani kwake kwa minajili ya kwamba ataniletea usiku saa tatu kwenye discussion (tulikuwa na test ya QMS kesho yake).
Ilipofika usiku tumepiga discussion demu hajatokea mpk saa tano usiku na mie...
Wataalam wa hizi kazi nataka nimchukulie wife Nissan Dualis baada ya kukaa sana kwenye Toyota.
Je, wajuvi mnasemaje kuhusu uimara na ubora au udhaifu wa hizo gari?
Katika pilika pilika za mapenzi kuna makossa ambayo tunayafanya na kujuta sana baadae na kutamani hata wakati urudi nyuma ili uweze kurekebisha makosa.
Mie nilikuwa na demu mmoja alinipenda sana na mimi pia nilimpenda mnoo na nilitegemea ndio atakuja kuwa mke wangu baadaye.
Yule demu alikuwa...
Kuna dada aliniomba nimsaidie kazi ofisini mie nimeoa naye kaolewa. Nilimsaidia na katikati wakati tunafanya kazi alininunulia vichocolate Fulani hivi vya kula na baadae juice.
Tulipiga kazi mpaka nikamaliza kumwelewesha ila mwisho wake akanishukuru sana na kusema I love you so much...
Wadau wapenzi wa mazoezi je ni chata gani kali ya jezi unaipenda Zaidi na kwa sababu gani? Mie napenda Under Armour au Nike yaani nikivaa wakati nafanya jogging najihisi kupendeza na kwenda na wakati. Wewe unapebnda sport brand gani?
Wajuzi wa sheri.a naomba mnisaidie kuhusu yafuatayo yanayohusu mirathi haswa kwa ndoa za kikristo za mme mmoja mke mmoja:
1) Je mali mlizochuma ndani ya ndoa umiliki wake ukoje? mfano tuna nyumba tatu na zote zimeandikwa jina la baba je mama hana umiliki katika mali hizo na je kama baadhi ya...
Ndugu wakulima na wananchi kwa ujumla, kama una eneo dogo katika nyumba yako usiridharau linaweza kukusaidia ukaweka mimea michache ambayo itasaidia kukupatia chakula kama nyanya, vitunguu, pilipili, spinachi, mchicha, nyanya chungu, bamia n.k. Sio kazi ngumu maana hata mtu anayefanya kazi...
Nimekua na urafiki wa karibu na binti ambaye nimempita miaka zaidi ya 15 yeye ni mwanachuo mimi ni mfanyakazi. Amenizoea mpk imefikia anaomba tutoke lunch na sometimes dinner
Mimi nimeoa ila yeye pia ana bf wake but she is so close to me. Nimemuomba unyumba anakataa ila anasema tubaki kuwa...
Kama kichwa cha habari kinavyosema. Enzi zile tunasoma kulikuwa na list ya wakali wa masomo darasani (kumi bora)ambayo ilikuwa official na pia kulikuwa na list ya wababe katika kupigana kuanzia wa kwanza mpk wa mwisho.
Sasa mie nilikuwa mkali sana darasani ila kwenye kupigana nilikuwa kama wa...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.