Game mlimani cityWadau mnisaidie please
Ukipata ni tag mkuuokay ngoja nipitie leo nikaangalie na naahidi kuleta taarifa hapa jamvini
Nimepita Mlimani City Kama nilivyo ahidi. Kweli nimezikuta ziko za aina mbili ya kwanza ni lile duara tupu lenye namba bila mishale linauzwa 147,000/= na vile vimishale set inauzwa 67,000/=. Aina ya pili ni Puma hiyo inakuwa Pamoja na mishele inauzwa 260,000/=Ukipata ni tag mkuu
kesho unakutana na sale ya black Friday itakuwa cheapSikununua kwa kuwa nilicheck AliExpress nimeona ni cheap kuagiza. Nitaagiza kesho Inshallah
Asante sana mkuu kwasasa niko mbali na jiji ila nikirud ntajaribu kufatilia hapoNimepita Mlimani City Kama nilivyo ahidi. Kweli nimezikuta ziko za aina mbili ya kwanza ni lile duara tupu lenye namba bila mishale linauzwa 147,000/= na vile vimishale set inauzwa 67,000/=. Aina ya pili ni Puma hiyo inakuwa Pamoja na mishele inauzwa 260,000/=
Asante kwa taarifa nitaenda pia kuangalia. Inaonekana hapo ni cheap kuliko kuagizia nje. Asante sana. Kama kawaida nikienda nitaleta mrejeshoKariakoo wanauza sh elfu 60.
Pale tahfif stationeries.
Asante kwa taarifa nitaenda pia kuangalia. Inaonekana hapo ni cheap kuliko kuagizia nje. Asante sana. Kama kawaida nikienda nitaleta mrejesho
Uzuri wa ile board ni kama pambo nyumbani na pia ni mchezo mzuriView attachment 1635599
Sikununua kwa kuwa nilicheck AliExpress nimeona ni cheap kuagiza. Nitaagiza kesho Inshallah
Poa mkuuSijaenda niko safarini nikirudi Dar nitaenda na kuleta mrejesho