Na kwa nini kuku tu na sio mifugo mingine? Vipi ng'ombe, bata, mbuzi, kitimoto, inabidi ifanyike kwa mifugo yote na pia kwa kuwa ni suala linalogusa jamii yote basi watoe elimu na utaratibuWanasajili wapi??
Gharama za kusajili zikoje?
Kama nafuga kuku wawili je?
Kuku wa biashara?Au hata WA matumizi ya nyumbani?..
Deadline lin?
Na kwa nini kuku tu na sio mifugo mingine? Vipi ng'ombe, bata, mbuzi, kitimoto, inabidi ifanyike kwa mifugo yote na pia kwa kuwa ni suala linalogusa jamii yote basi watoe elimu na utaratibu
Hii imekaa ndivyo sivyo. Leo nasajili kuku 20 then inaingia kwenye database then mpaka February nimeshakula kuku 10. Je nitawapa taarifa kabla sijachinja kuku wangu? Kama jibu ni hapana je wata update vipi database. Kwa ufupi database ya kuku utakuwa highly unreliable maana stock ya kuku ni very volatile sijui wata monitor vipi.Na kwa nini kuku tu na sio mifugo mingine? Vipi ng'ombe, bata, mbuzi, kitimoto, inabidi ifanyike kwa mifugo yote na pia kwa kuwa ni suala linalogusa jamii yote basi watoe elimu na utaratibu
Tumesoma vizuri na kuelewa ila kwa nini asitoe utaratibu na anakuja kutishia? na je kibiashara ni idadi gani? mie mama yangu alinisomesha kwa kufuga kuku wa kienyeji na alikuwa anawauza (walifikia mpk 150) je mfugaji wa aina hiyo anapaswa kusajiliwa?Wafugaji kuku wa
BIASHARA na sio wa nyumbani
Someni basi hio Taarifa hapo
Nadhani ni jambo la busara mana watz tunakula kuku sana, kwahiyo ni vizuri wafugaji waratibiwe ili wananchi waweza kula chakula salama. Ni vizuri kwa serekali kuwa wazi na kuelimisha jamii na kuleta process rahisi kwa jambo hilo.Je utaratibu ukoje?
Je wafugaji wa wanyama wengine vipi?
Kusajili ni vizuri ila uwekwe utaratibu kwa mifugo yote wafugaji wasajiliwe kuwe na database na sio wafuga kuku wa nyama na mayai. Kuna mifugo mingi nchiniView attachment 1663632
Tumesoma vizuri na kuelewa ila kwa nini asitoe utaratibu na anakuja kutishia? na je kibiashara ni idadi gani? mie mama yangu alinisomesha kwa kufuga kuku wa kienyeji na alikuwa anawauza (walifikia mpk 150) je mfugaji wa aina hiyo anapaswa kusajiliwa?...
Asema Wallah tena unasema huna uhakika.Mimi Nadhani kikubwa hapo kinachotafutwa sio database wala taarifa za kuku nchini..
Kwanini kuku tu mkuu, tunafuga ng'ombe, mbuzi, kitimoto kibiasharaWafugaji kuku wa
BIASHARA na sio wa nyumbani
Someni basi hio Taarifa hapo