funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,559
- 21,040
Wajuzi wa sheri.a naomba mnisaidie kuhusu yafuatayo yanayohusu mirathi haswa kwa ndoa za kikristo za mme mmoja mke mmoja:
1) Je mali mlizochuma ndani ya ndoa umiliki wake ukoje? mfano tuna nyumba tatu na zote zimeandikwa jina la baba je mama hana umiliki katika mali hizo na je kama baadhi ya magari yameandikwa jina la mama je baba hana umiliki katika magari hayo?
2) Je kama mmoja wa wanandoa anataka kuandika mirathi atarithisha asilimia zake tu za umiliki wa mali au atarithisha mali yote? mfano tunamiliki nyumba na mke wangu je mimi kama mme nina uwezo wa kumwandika mrithi bila kumshirikisha mwanandoa mwenzangu?
3) Je kuna uwezekano wa kuandikisha mali zenu kwa majina ya wawili kwa pamoja ili kuonyesha kwambq mnamiliki kwa kushare?
Wataalam wa sheria na wenye uzoefu na hivi vitu naomba mnipe majibu ya maswali haya na nina uhakika wengi watapata elimu katika hili
cc Mshana Jr ,
1) Je mali mlizochuma ndani ya ndoa umiliki wake ukoje? mfano tuna nyumba tatu na zote zimeandikwa jina la baba je mama hana umiliki katika mali hizo na je kama baadhi ya magari yameandikwa jina la mama je baba hana umiliki katika magari hayo?
2) Je kama mmoja wa wanandoa anataka kuandika mirathi atarithisha asilimia zake tu za umiliki wa mali au atarithisha mali yote? mfano tunamiliki nyumba na mke wangu je mimi kama mme nina uwezo wa kumwandika mrithi bila kumshirikisha mwanandoa mwenzangu?
3) Je kuna uwezekano wa kuandikisha mali zenu kwa majina ya wawili kwa pamoja ili kuonyesha kwambq mnamiliki kwa kushare?
Wataalam wa sheria na wenye uzoefu na hivi vitu naomba mnipe majibu ya maswali haya na nina uhakika wengi watapata elimu katika hili
cc Mshana Jr ,