funzadume
JF-Expert Member
- Jan 28, 2010
- 13,650
- 21,522
Wadau kuna liquid soap fulani wanatumia kwenye mahoteli makubwa ambazo wanazijaza kadiri zinapopungua. Kwa walioishi ulaya mtakuwa mnazijua maana kule ni kila hoteli zinapatikana. Swali naweza kuzipata wapi hapa Bongo?
Sikufanikiwa kuuliza hotelini wanazitoa wapi. Najua humu kuna wengi mnajua vingi. Nataka nizitafute kwa ajili ya home. Uchumi wa kati
Sikufanikiwa kuuliza hotelini wanazitoa wapi. Najua humu kuna wengi mnajua vingi. Nataka nizitafute kwa ajili ya home. Uchumi wa kati