Kwenye spare nadhani nitamudu tu nina gari moja hata honi ikizingua inabidi uingie Aliexpress, kwa hiyo hii aitakuwa shida naaminiMuonekano iko poa ila kama unavyojua Nissan ni gari flani hivi ambayo Spear zake zina bei iliochangamka jiandae kisaikolojia tu.
Hahah unamiliki Skoda nini? 😂😂😂Kwenye spare nadhani nitamudu tu nina gari moja hata honi ikizingua inabidi uingie Aliexpress, kwa hiyo hii aitakuwa shida naamini
Uzuri spear zipo durable, ukishaweka lazima usahau maana sio bandika bandua kama gari zingine.Muonekano iko poa ila kama unavyojua Nissan ni gari flani hivi ambayo Spear zake zina bei iliochangamka jiandae kisaikolojia tu.
Muonekano iko poa ila kama unavyojua Nissan ni gari flani hivi ambayo Spear zake zina bei iliochangamka jiandae kisaikolojia tu.
Au mshauri amnunulie kama ile uliyoninunulia mimi babe, ile BMW X6🤷♀️Muonekano iko poa ila kama unavyojua Nissan ni gari flani hivi ambayo Spear zake zina bei iliochangamka jiandae kisaikolojia tu.
😍Thats huge my love...maybe amnunulie ile BMW x1 inafaa kwa first ownership af inaendana hivi na dualis!Au mshauri amnunulie kama ile uliyoninunulia mimi babe, ile BMW X6🤷♀️
Ooh, ok babe i got you, basi achukue hiyo X1 kwanza.😍Thats huge my love...maybe amnunulie ile BMW x1 inafaa kwa first ownership af inaendana hivi na dualis!
Yeah babe😍Ooh, ok babe i got you, basi achukue hiyo X1 kwanza.
Mkuu vipi upande wa BMW na Mercedes Benz kwenye suala la durability na spares?😍Thats huge my love...maybe amnunulie ile BMW x1 inafaa kwa first ownership af inaendana hivi na dualis!
Kwa Ranks ni Benz, Audi kisha BMW.Mkuu vipi upande wa BMW na Mercedes Benz kwenye suala la durability na spares?
Kuna jamaa alinishauri akasema wengi wenye BMW wanamiliki na Toyota pia hivyo hashauri gari ya kwanza kuwa BMW, AUDI na BENZ
Nomba mchango wako, thanks in advance
Nimekataa. Bimma ipo poa sana sema model uloochagua ndio mbovu. 3 series ni Tank.Kwa Ranks ni Benz, Audi kisha BMW.
Benz iko reliable kuliko zote 3!
sawa mkuuNimekataa. Bimma ipo poa sana sema model uloochagua ndio mbovu. 3 series ni Tank.
Nakujibu kwanini unakuwa na Toyota au gari yoyote ya pili. Ni kwasababu kinaweza kuharibika kitu ikabidi kiagizwe au kikawa ghali na kwa muda huo huna hela gari ya pili inakuokoa usipande daladala.Mkuu vipi upande wa BMW na Mercedes Benz kwenye suala la durability na spares?
Kuna jamaa alinishauri akasema wengi wenye BMW wanamiliki na Toyota pia hivyo hashauri gari ya kwanza kuwa BMW, AUDI na BENZ
Nomba mchango wako, thanks in advance
Kwenye gari za Kijerumani za kawaidaKwa Ranks ni Benz, Audi kisha BMW.
Benz iko reliable kuliko zote 3!
Kwenye gari za Kijerumani za kawaida
1st class Mercedes Benz na BMW
2nd class Audi na VW
Hata reliability iko hivyo hivyo.Nadhani anaongelea reliability
ni gari nzuri not sure ila nahisi inashare injini na extrail kwaio hutapata shida ni gari nzuriWataalam wa hizi kazi nataka nimchukulie wife Nissan Dualis baada ya kukaa sana kwenye Toyota.
Je, wajuvi mnasemaje kuhusu uimara na ubora au udhaifu wa hizo gari?