Search results

  1. fakhbros

    Fikra yangu sio dini yangu

    Katika maisha ya kawaida jamii inakuwa na watu wa kila tabia na tabia ndio zinazoweza kuitambulisha jamii husika Hivi karibuni mkuu wa mkoa wa Dar es Salaam alianzisha kampeni yake yakupambana na wamiliki wa Madangulo katika viunga vya jiji la Dar Kwa hulka za waungwana ni kweli ukahaba sio...
  2. fakhbros

    Shule baada ya Corona

    Baada ya kufunguliwa kwa shule za msingi na secondary wizara ya elimu imetoa muongozo wa kuongeza muda wa masomo katika shule na vyuo mbalimbali nchini Jambo la kuongeza muda wa kujifunza ni jambo jema kabisa lakini changamoto ni uamuzi huo kutolewa pasina kuzingatia mazingira halisi ya...
  3. fakhbros

    NITAKUJA KUMHOJI SIRO

    Kamanda Saimon Siro hakuwahi kuwa mwinjiristi.. Kamanda Saimon Siro hakuwahi kuwa diwani au mwenyekiti wa Kijiji.. Siro akiwa amezaliwa Katika nyumba yenye maadili ya mungu siku chache katika maisha ya utoto wake alipitia katika mafunzo ya kipaimala kabla ya Kupokea Sakrament iliyotoa nafasi...
  4. fakhbros

    Nani huwapatia pingu shirikishi?

    Imekuwa ni kawaida katika jamii kuwaona watu ambao hujiita askari shirikishi Wakifanya kazi yakuwakamata raia katika mitaa ya Dar Es salaam na maeneo mengineyo katika nchi ya Tanzania. Pamoja na rais wa jamhuri kukemea uwepo wa jesshi hili halamu lakini bado limeendelea kufanya kazi pasina...
  5. fakhbros

    Chonde MCL Tutawamis

    Huyu Rais Mgufuli MCL akisoma hii amini Tutawamis kweli jamani Haya makosa madogo lakini ya effect yake nikubwa kwa mustakbari wa nchi na Tasnia ya uandishi wa habari Kumbukeni Rais Mgufuli hapendi masikhara katika taaluma anaamini kuwa magazeti ni chombo kinachoweza kuleta faida kubwa...
  6. fakhbros

    Natamani history kama ingeliandikwa hivi..

    Kila uchao history umuhukumu mtu mweusi History humdhalili mtu mweusi History uwapa watu weupe uungu wakutawala fikra zetu History hutuumbia Malaika na shetani katika ngozi tofauti tofauti huku ikibaliki utakatifu wa manabii na mitume katika ngozi nyeupe History inatupokonya Uhuru wetu...
  7. fakhbros

    Maajabu ya genetics

    Ni miaka kumi na sita sasa tokea nitengane na baba Kalunde mwanaume niliempenda katika uhai wa maisha yangu Ugomvi wangu na baba kalunde ni Mimi kuzaa mtoto wa kike mtoto wa kizungu Baba kalunde hakuwa mzungu wala Mimi sikuwa mzungu jambo ambalo lingewezesha kuzaliwa mtoto wa kizungu...
  8. fakhbros

    Tanzania ya viwanda kwa watanzania material

    Hii Tanzania mpya ya ndugu Charles Mwijage Tanzania inayo pewa sifa kedekede yakujikomboa kutoka nchi Maskini nakuwa nchi ya viwanda na uchumi wa kati Tanzania ambayo watu wake hawajawa tayari kuwa sehem ya uchumi endelevu Tanzania ambayo huvithamini vitu vilivyotengenenzwa nje ya Tanzania...
  9. fakhbros

    TFS- Njiti zimelowa mkaa utapanda bei

    Wananchi wa nchi ya Zimbabwe waliwahi kuandamana mitaani kwa kupanda bei ya `Mkate Wananchi wa nchi ya Kenya Leo hii watapiga kura ya kumkataa Uhuru Kenyatta kwa kushindwa kudhibiti mfumko wa bei katika bidhaa ya SEMBE Hapa kwetu nchini Tanzania pamoja nakuwepo kwa Sheria inayo ratibu mazao...
  10. fakhbros

    Criminal case iliyotesa hisia zangu

    Haikuwa mkoa wa Mara au mkoa wa Shinyanga mikoa ambayo ina record ya matukio ya kinyama hasa matukio ya mauaji kwa vikongwe na albino Mikoa ambayo ukiishi huwezi kukosa story za matukio ya vifo vya kinyama ambavyo hutendwa na wakazi wa maeneo hayo. Ilikuwa ni mwaka 2004 baada ya kumaliza...
  11. fakhbros

    Yanga FC kimataifa zaidi

    Kumbe mfumo wa vilabu vyetu ni mfumo wa kijamaa toka enzi Wana yanga Nguvu moja ushindi mbele daima.
  12. fakhbros

    Siku 120 gerezani Uyui: Magereza zimejaa mahabusu na wafungwa kupitia sheria mbovu

    UYUI ni miongoni mwa Magereza makubwa yaliopo nchini Tanzania, lipo katika mkoa wa Tabora. Gereza hili huchukuliwa kama gereza la kanda ya Magharibi yani hujumuisha magereza ya Kigoma, Shinyanga, na Tabora yenyewe. UYUI ni katika magereza yenye ngome kubwa zaidi ukiondoa gereza la Segerea na...
  13. fakhbros

    Ndoa na mkono wa sweta

    Nimezaliwa katika jamii ya wafugaji Utamaduni wa jamii yangu hapakuwa na mtu aitwae Ngariba Makuzi yangu hayakuwahi kunifahamisha kuwa binadamu akishazaliwa kuna fundi ambae uyarekebisha maumbile sahihi ya Mungu kwa kudondosha mkono wa Sweta. Elimu yangu ya kidato cha kwanza pale Mirambo...
  14. fakhbros

    Kwanini ndoa zilizo chacha uathiri ndoa za watoto katika ukubwa wao?

    Nilikutana Jesca mwaka 1999 katika chuo cha ualimu Tabora (Tabora TTC) Mahusiano yetu yalizaa ndoa baada ya miaka mitatu baadae.. Pamoja nakuwa katika mahusiano hayo nilikuja kugundua Jesca nae alikuwa ni muathirika kama Mimi hasa kutokana na yeye kuwa na mzazi mmoja kama mimi Jesca alikuwa...
  15. fakhbros

    The Gods Must be Crazy imepigwa picha Tanzania?

    Katika hii movie ukiitazama kwa umakini inakupa majibu sahihi Juu ya utaifa wako na hali ya uzalendo ulio nao katika moyo wako Ila usichokifaham katika movie hii ni kwamba ilichezwa nchini Tanzania lakini wengi uamini kuwa ilichezwa Botwasana Yawezekana wengi katika vijana wa .com hawaijui...
  16. fakhbros

    Kinyago kilichogeuka malkia

    Pesa zilizotolewa kama Sadaka kwa waheshimiwa na Brother Ruge naamini kuna sehemu zilisaidia. Pesa hizo japo Leo mamlaka inadai zile ni pesa za haramu lakini mamlaka haisemi uharamu wa mshiko huo unatokana na kitu gani kama mahakama ndio ilimpatia umiliki halali brother Ruge baada yakuwepo...
  17. fakhbros

    Tafuta usahihi wa picha hii

    Haya bwana kazi kwako..
  18. fakhbros

    UDART huduma zenu ni duni

    Nimekuwa mtumiaji wa Huduma za UDART maarufu kama usafiri wa mwendokasi. Binafsi Huduma za taasisi hii kiukweli zinatolewa chini ya kiwango tofauti na nchi nyingine duniani ambako huduma za namna hii zimekuwa zikifanyika.. Tukianza na Huduma ya CARD Pamoja na kuwepo huduma hii katika taasisi...
  19. fakhbros

    TRA boresheni mifumo yenu ya kukusanya mapato; nimeshindwa kulipa kodi siku ya nne

    Ni siku ya NNE nikijitahidi kuhakikisha napata ÀNKARA yangu ili nilipie kodi ya Kibanda changu lakini mfumo duni wa computer za mamlaka ya mapato Tanzania zimeshindwa kutatua tatizo hili la usumbufu unaojitokeza kwa watanzania ambao wameonyesha dhamira ya kulipia majengo yao Mamlaka imeonyesha...
  20. fakhbros

    Kauli za rais ni kuwadhalilisha waliopata mimba za utotoni, tusijadili mimba bali watia mimba

    Naamini mtazamo wa raisi Magufuli haiwezi kuitwa sheria ya nchi Naamini kama itatokea mtoto wa hakimu au advocate akapata ujauzito na mwalimu mkuu akawa na kiherehere cha kumfukuza shule hiyo itakuwa imekula kwake sababu mtu kupata mimba sio kosa la kikatiba Kusema ukipata mimba umenajisi...
Back
Top Bottom