Search results

  1. othiambo

    Barabara ya Kilwa kipande cha Mzinga Kongowe kinatumaliza

    Wasalaam wakuu, mpaka muda huu nina huzuni ya nafsi baada ya kuiona maiti ya bajaji iliyogongwa na roli la cement mzinga, njia ile wallah finyu barabara ni mbovu, vyombo vinavyopita pale ni vyenye uzito wa hali ya juu kuliko ubora wa barabara malori ni mengi maswali yamenijaa kichwani najiuliza...
  2. othiambo

    Mama zetu wa Leo na uchawi

    Habari ndugu zangu Mimi si mwandishi mzuri Ila naamini itasomeka tu. Kama kichwa cha habari hapo juu kisemavyo, Kiuhalisia kabisa hapo mwanzo ilikua ni jambo la kawaida sana kusikia mzee fulani anatisha sio wa kumpinga au kumchokoza leo mambo haya yamegeuka tena yamekua na madhara makubwa...
  3. othiambo

    Harmonize ni Moto wa kuotea mbali

    Kiukweli wamepita wasanii wengi Tanzania wenye weredi na ubunifu mkubwa walitunga tungo zenye kubamba haswaa ila katika kizazi hichi tulicho sasa wapo wengi wanafanya vizuri Ila huyu mmakonde Harmonize ni mbunifu kwakweli mimi hii wimbo wake wa MTAJE bila kuangalia ujumbe imetulia sana.
  4. othiambo

    Hivi vitambulisho vya Askari/ Wanajeshi vina kazi gani kwa raia?

    Hali zenu waungwana. Hili swali huwa najiuliza sana na sipati majibu, hivi hawa watu vitambulisho hivi vimekua ndio kimbilio na nguzo ya utemi kwa wananchi? Sababu ya swali langu ni jana kipindi narudi nyumbani kufika kituoni magari hakuna; ghafla ikaja daladala ikitangaza nauli 500 katikati...
  5. othiambo

    Happy birthday to me

    Namshukuru sana M/MUNGU mwingi wa rehma na baraka kwa kuniwezesha kufikia leo tarehe ambayo kwa uwezo wake nilikuja dunia shukran za dhati ziende kwa wzazi wangu wawili............Wallah nina furaha sana.
  6. othiambo

    Katika tasnia ya vichekesho hawa wako vizuri lakini...?

    Habari zenu wakuu. Kwakweli katika tasnia ya vichekesho hapa bongo wapo vijana wanafanya vizuri sana, kama RINGO na TIN WHITE hawa vijana wanakipaji kwakweli, laiti kama tasnia hii ingewekewa mkazo hawa vijana wangekua mbali sana..kila siku najiuliza tatizo liko wapi mbona hawafiki mbali...
  7. othiambo

    Je, Mila hii we ungeiweza? Siku ya kwanza kufanya mapenzi na mkeo familia yako lazima iwepo

    Habari wakuu, Nchini Singapore kuna utamaduni wa kwamba siku ya kwanza ya kumuingilia mkeo lazima familia yako iwepo,tena wakikuamasisha jinsi ya kuingiliana na kukufundisha mchezo huu,mimi binafsi ingenishinda,je wewe ungeichukuliaje kama nawe ungekua miongoni mwa watu wa mnaofuata utamaduni huo?
  8. othiambo

    Vimwana wa kaole enzi hizo.

    Hao ni baadhi ya wanawake waliowahi kutikisa katika kundi la kaole enzi hizo,we yupi alikua anakuvutia?
  9. othiambo

    Wimbo gani wa mapenzi ukiusikia unahisi kama umeimbiwa wewe?

    Habari wakuu, Kwako wimbo gani wa mapenzi kila ukiusikiliza, ima uwe wa furaha au huzuni unahisi unakulenga moja kwa moja? Kwangu mimi wimbo wa Isha mashauzi, NIMLAUMU NANI? unanigusa mno tena nikiusikia namwaga na chozi hasa pale anaposema 'Nimlaumu nani balaa langu mwenyewe, mpenzi...
  10. othiambo

    Haya matangazo ya maleria yananiumiza sana moyo wangu

    Habari zenu wapendwa, Takriban miezi minne sasa nimekua nikisikia matangazo tofauti tofauti yaliyoandaliwa kwaajili ya kuelimisha jamii kwamba SI KILA HOMA NI MALERIA. Hili linaniumiza kwasababu; 1.Ndugu zetu wengi wamepoteza maisha kwa sababu ya watu kushadadia...
  11. othiambo

    Nashauri Kalapina aungwe mkono katika harakati za kupambana na dawa za kulevya

    Nashauri kaka huyu aungwe mkono kwa hali na mali ili kuwaokoa wenzetu,pia kuzuia kabisa hizi dawa zsiingie nchini.
  12. othiambo

    msaada kuhusu ufadhili taasisi ya benjamin mkapa(BMAF)

    habar wandugu,naomba kujuzwa jinsi ya kupata ufadhili BMAF.
  13. othiambo

    Msaada kuhusu moderm

    Habari zenu wakuu,nina moderm yangu ya voda imenigomea mnara aupandi kabsa, tatizo linaweza likawa nin na nifanyaje?
  14. othiambo

    Yuko wapi Josline wa Wakali Kwanza?

    Habari zenu wandgu,leo nimeiskia nymbo ya umewezaje josln ft jide yn ni bonge la ngoma ikanifanya nimkumbk,yup wap now.
  15. othiambo

    Hodiii wanajamvi

    nafurahi Leo nami nimeingia rasmi katika jukwaa hili la kupmbanua akili naomba ushirikiano wenu
Back
Top Bottom