DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
Habari Wana Jamii Forums naomba kuwasilisha hoja yangu ili kupaza sauti, mamlaka zisikie na ikiwezekana hatua zichukuliwe haraka. Sisi Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza...
10 Reactions
56 Replies
8K Views
DogoWaNjombe
DOKEZO Responded 
Mfamasia Neema J. Nagu kutoka Wizara ya Afya anasema kuna dawa za aina mbili zinazouzwa kwenye Duka la Dawa, zipo ambazo hazitolewi bila cheti kama Panadol na zile za mafua na nyinginezo. Anasema...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea. Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta...
31 Reactions
91 Replies
8K Views
Anonymous
DOKEZO 
Habari! Napenda kuleta kero yangu ili mnisaidie kufikisha kwa wahusika wa Chuo cha DIT. Kuna kero kubwa hususani kwa wanafunzi waliopata mkopo kupitia Bodi ya mkoppo ya elimu ya juu (HESLB) pale...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Miss Zomboko
DOKEZO Responded 
Nchi kuwa na Ofisi au Kitengo cha Umma Cha msaada wa Sheria (Public Pro Bono Office/ Department) ni muhimu ili kuhakikisha Upatikanaji sawa wa Haki. Ofisi ya kutoa msaada wa Kisheria (Pro Bono...
2 Reactions
1 Replies
652 Views
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto. Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la...
17 Reactions
126 Replies
11K Views
Natumaini mu-wenye afya njema. Poleni na mapambano ya kila siku. Ni mara yangu ya kwanza kuandika katika jukwaa hili hasa baada ya kuwa nasoma maandiko mengi tu ya wadau mbalimbali yanayohusu...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO 
Ni kweli kwamba vyuo vikuu vinahitaji viongozi wenye ujuzi wa usimamizi rasilimali watu na utawala wa biashara ili kusimamia uendeshaji wa chuo na kuendeleza uvumbuzi na bidhaa mpya kwa ajili ya...
0 Reactions
6 Replies
939 Views
Anonymous
DOKEZO 
SHERIA MPYA ILIVYOWAKOSESHA WANAFUNZI WA UDOM HAKI YAO. Chuo kikuu dodoma,UDOM. 25/11/2022 uongozi wa chuo kikuu cha dodoma( UDOM) katika ndaki ya TIBA ulitoa sheria mpya kwamba mwanafunzi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni Mfanyakazi wa Shule ya Msingi Gisela N/P School (Private) iliyopo Kipunguni B Ukonga Ilala hapahapa Dar es Salaam, tunadai mishahara ya miezi 3 mfululizo, ya tangu mwezi wa 7 mpaka mwezi...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Hivi karibuni serikali imefanya uamuzi bora kabisa wa kuruhusu magari ya abiria ( mabasi) kutoa huduma masaa 24. Hili ni jambo bora na la kupongezwa kwani linachochea ukuaji wa uchumi kwa watoa...
0 Reactions
2 Replies
756 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo...
12 Reactions
49 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO 
Wana JF salama humu ndani, mimi ni mwanachama wa siku nyingi lakini ni nadra kuniona nikitumia jukwaa hili la Fichua Uovu, nimeona malalamiko mengi yanayowekwa huku yanafanyiwa kazi na mamlaka...
2 Reactions
19 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mtaani kwetu maeneo ya Chamazi Dovya kwa Nzala jirani na Shule ya JB (Dar es Salaam) kuna dampo ambalo sio rasmi, limekuwa kero kwa muda mrefu kwa sisi wakazi wa maeneo hayo, pia lina athari...
1 Reactions
3 Replies
638 Views
Roving Journalist
DOKEZO Responded 
TAARIFA YA KUSUDIO LA KUPUNGUZA WAFANYAKAZI (BAADHI) TAREHE 16/10/2023 KWA: VAPI MERKEZI INSAAT VE SANAYI AS TABORA MAKUTOPORA Rejea kichwa cha habari hapo juu Baada ya kufikiria kwa uangalifu...
4 Reactions
17 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Hali hii ya vyoo vya Wanaume bandarini Bukoba Mkoani Kagera ni kama hivyo unavyoona kwenye picha, hali ipo hivyo zaidi ya mwezi sasa vimeharibika havina huduma ya maji na vinatumika bila...
0 Reactions
1 Replies
717 Views
Anonymous
DOKEZO 
Sisi ni Wanafunzi tuliohitimu katika Taasisi ya Uhasibu Tanzania (TIA) Campus ya Dar es Salaam tuna madai ya kutorejeshewa malipo tuliyolipa kabla ya kuingiziwa fedha za Bodi ya Mikopo (HESLB)...
0 Reactions
0 Replies
621 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Sina haja ya kutaja jina langu wala kuandika maelezo mengi, lakini kwa ufupi mimi ni Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM). Kwakweli suala la kunguni UDOM limekuwa linasumbuwa na lina kera...
15 Reactions
97 Replies
10K Views
Hv ninavyoandika hapa hilo (waliloligeuza Dampo kienyeji) linaungua kuanzia saa 10 alhasiri yani ni 'Mimoshi' kwa kwenda Mbele mpk sasa waathirika zaidi n nyumba zilizokaribun na hapo nk...
1 Reactions
0 Replies
460 Views
Back
Top Bottom