A
Anonymous
Guest
Mimi ni Mfanyakazi wa Shule ya Msingi Gisela N/P School (Private) iliyopo Kipunguni B Ukonga Ilala hapahapa Dar es Salaam, tunadai mishahara ya miezi 3 mfululizo, ya tangu mwezi wa 7 mpaka mwezi huu unaoenda wa kuwa wa 11, 2023.
Sambamba na hilo tuna malimbikizo ya mishahara yetu ya nyuma tangu Mwaka 2019 na ikiwemo ya kipindi cha Corona.
Vile tuna madai ya malimbikizo ya maingizo ya fedha zetu katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Tunaomba Mamlaka za Serikali ziingilie kati ili tupate mishahara yetu maana tuna hali mbaya sana.
Sambamba na hilo tuna malimbikizo ya mishahara yetu ya nyuma tangu Mwaka 2019 na ikiwemo ya kipindi cha Corona.
Vile tuna madai ya malimbikizo ya maingizo ya fedha zetu katika Mfuko wa Hifadhi ya Jamii (NSSF).
Tunaomba Mamlaka za Serikali ziingilie kati ili tupate mishahara yetu maana tuna hali mbaya sana.