Chuo kikuu cha Kampala nchini Tanzania (KIUT) kimekuwa na utaratibu au mazoea ya kukwepa kulipa wafanyakazi walioacha kazi au kuondoka chuoni hapo mishahara ambayo haikulipwa kipindi walipokuwa...
Kinachoendelea Shule ya Sekondari Mpanda Day, Manispaa ya Mpanda Mkoa wa Katavi ni kinyume cha Sheria, Serikali imetangaza elimu bure kidato cha kwanza mpaka cha nne, lakini Wanafunzi wa kidato...
Kinachofanyika Kibaha Kidimu ni dhuruma ya mabavu ya waziwazi, watu wanapokonywa umiliki wa maeneo yao hata baada ya kuyamiliki kwa zaidi ya miaka ishirini na kuambiwa wayanunue, wakati wapo watu...
Hbr za asbh ndg zangu wanaJF,
Naomba kuingia kwenye mada moja kwa moja kuhusu hili suala la vituo maalum mkoa wa Mwanza hususan mwanza jiji.
Ndg wanaJF vituo hivi vya elimu maalumu kwa Mwanza...
Kahama ni moja ya miji inayokua kwa kasi sana nchini. Pamoja na hilo, nadhani pia ni moja ya miji michafu sana nchini. Mitaro mingi ya barabarani inatiririsha maji machafu ya bafuni na yakwenye...
Merchandising executive kwa jina la Perumal aliyepo kiwanda cha A to Z katika kampuni ya Red Earth amekuwa na tabia endelevu ya kuwatukana, kuwabagua, kuwadhalilisha na kuwaonea watanzania...
Jiji la Dodoma limekuwa na miundombinu mibovu ya mitaro na machemba haswa eneo la Area C.
Tunahitaji Serikali ishughulike na kurekebisha mitaro na machemba kumalizika haswa kabla janga la mvua...
Wakuu ,heshima mbele.
Niende moja kwa moja kwenye mada itakayokuwa na maswali kadhaa.
Je nani hasa alikua akifadhili ofisi /kazi za 41 . Maana ofisi /kazi hii ilihitaji gharama kubwa je pesa...
Nimekuwa nikipata shida sana kupata baadhi ya Huduma kutoka kwa Wakala wa Usajili Ufilisi na Udhamini – RITA (Insolvency and Trustee Registration Agency).
Mfano, wanasema baadhi ya huduma...
Wakuu , heshima mbele.
Niende moja kwa moja kwenye mada.
Kiukweli TANESCO hili shirika unaweza kudhani pengine tukibadili viongozi wa juu ndio inaweza kuwa mwisho wa matatizo ila pengine naona...
Hospitali ya Vijibweni Kigamboni ndani ya Dar es Salaam kuna kero ya vyoo ambayo ni hatari kwa watumiaji.
Vyoo hivyo vya ni vichafu kwa ndani, vinanuka harufu kali mno kuna uchakavu mwingi pia...
Mapema jana(Novemba 30, 2023), wagonjwa tuliokuja hapa hospitalini kutibiwa tulikutana na kadhia ya kutukanwa na muhudumu aliyekuwa chumba cha wagonjwa wa nje(OPD) wanaotibiwa kwa bima.
Mhudumu...
Hivi karibuni kulitokea nafasi ya ajira za Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi ambapo zaidi ya Wananchi 1,000 walituma maombi ya ajira.
Lakini wakati mchakato unaendelea, sisi tuliopata...
Wananchi tulioathiriwa na Mradi wa Umeme wa Rusumo Hydroelectric Power Project baada ya busting bado hatujapewa fedha za kuhama ili kupisha mchakato huo wa umeme.
Maafis wa Serikali wanaendelea...
Mimi ni Mkazi wa Muheza, Kijiji cha Ngomeni, Kambi ya Mikoroshini Mkoani Tanga, tunaomba Serikali Kuu na Mamlaka zenye nafasi ya kutusaidia kufikisha salamu kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan...
Mimi ni jirani ninayeishi Kata ya Matevezi au Ngaramtoni ya chini, Arusha Manispaa.
Nimekuwa nikisikia kelele za yowe mara nyingi Waraibu wakiadhibiwa katika Kituo hiki kinachomilikiwa na Kijana...
=====
UPDATES: 01 DEC 2023
=====
Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigizaji na mtengeneza filamu, Deogratius...
Hii ni Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA iliyoko Kata Katerero Wilaya ya Bukoba Vijijini, Mkoani Kagera.
Wazazi wa wanafunzi wa shule hii wameandika Barua kwa Rais Samia Suruhu Hassan, Waziri Mkuu...
Wanafunzi wa UDOM college ya informatics wamekua na changamoto kadha wa kadha.
1. Ubovu wa miundombinu hasa choo kwa baadhi ya blocks(1 and 3) hali inayopelekea kushindwa kujisaidia na kupata...
2. Ofisi ya Rais • TAMISEMl tmcpokea barua yenye Kumb. Na. SAD 429/546/11/6 ya tarebe 13 Novemba. 2023 kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi (IKULU) kuhusu somo ta/wa hapo juu.
3 Ktrtokana na kuwepo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.