A
Anonymous
Guest
Sijui shida ni nini. Huku south Africa, botwasana, Námibia huwezi oná bodaboda. Zimejaa zile toyota hiace Kila mahali.
Sisi tuliondoa hiace mjini miaka hiyo. Sasa tumesajili bodaboda na bajaji.
Solution ni simple. Waache kusajili bodaboda na bajaji. Waacha kuimport. Hiz zilizopo zifanye route za mitaani Ndani, yaan mfanoukishuka kimara korogwe BRT. Boda na bajaji ndo zichukue watu huko mitaani.
Bodaboda na bajaji zisitumie barabara kubwa yoyote kufanya biashara.
kuhusu Uber na bolt. Hao wasajiliwe. Wavae vizibao, wavae Kila kitu kinachopaswa kuwepo wakati wa kuendesha pikipiki. Ikiwemo helmet mbili na wafuate sheria kama wanavyofanya Rwanda.
LATRA ni wazembe sana. Kusajili Daladala. Hiv vicoster vinazidiwa na watu wanabanana. Wafikirie kusajili mabasi yanayoweza kubeba hata watu 50 mijini na yawe mapana ili watu wasibanane kama sasa. Tena yawe na AC na viti vya kutosha na ikiwezekane wamiliki waweke WIFI. Wapandishe nauli Hata kidogo lakini mtu atoe nauli kulingana na huduma
TUjipende watanzania. Hakuna mtu atakuja kututatulia matatizo yetu
SIDHANI KAMA KUNAHITAJIKA BAJETI YOYOTE KUFANYA HIVI
Sisi tuliondoa hiace mjini miaka hiyo. Sasa tumesajili bodaboda na bajaji.
Solution ni simple. Waache kusajili bodaboda na bajaji. Waacha kuimport. Hiz zilizopo zifanye route za mitaani Ndani, yaan mfanoukishuka kimara korogwe BRT. Boda na bajaji ndo zichukue watu huko mitaani.
Bodaboda na bajaji zisitumie barabara kubwa yoyote kufanya biashara.
kuhusu Uber na bolt. Hao wasajiliwe. Wavae vizibao, wavae Kila kitu kinachopaswa kuwepo wakati wa kuendesha pikipiki. Ikiwemo helmet mbili na wafuate sheria kama wanavyofanya Rwanda.
LATRA ni wazembe sana. Kusajili Daladala. Hiv vicoster vinazidiwa na watu wanabanana. Wafikirie kusajili mabasi yanayoweza kubeba hata watu 50 mijini na yawe mapana ili watu wasibanane kama sasa. Tena yawe na AC na viti vya kutosha na ikiwezekane wamiliki waweke WIFI. Wapandishe nauli Hata kidogo lakini mtu atoe nauli kulingana na huduma
TUjipende watanzania. Hakuna mtu atakuja kututatulia matatizo yetu
SIDHANI KAMA KUNAHITAJIKA BAJETI YOYOTE KUFANYA HIVI