DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
Miaka ya nyuma tokea nchi ipate uhuru huu mwaka bajeti ya kutoa mikopo Kwa WANAFUNZI WA degree ilikuwa kubwa sana, ilikuwa TZS bilioni 700+. Serikali ikakatangaza WANAFUNZI wanaonza degree (fresh...
2 Reactions
3 Replies
848 Views
Abdul-Aziz Carter
DOKEZO Responded 
Naitwa Abdul-Aziz Carter Mwanafunzi wa chuo kikuu cha Dar es salaam (UDSM): Octoba 20,2023 Mkurugenzi Mtendaji wa Bodi ya mikopo (HESLB) Abdul-Razaq Badru aliishukuru serikali kwa kutenga Bilioni...
3 Reactions
23 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni mwandishi katika moja ya magazeti hapa Nchini Tanzania na memba wa miaka mingi wa Jamii Forums, katika majukumu yangu nimefanikiwa kupata nafasi ya kuandika makala na habari mbalimbali za...
19 Reactions
55 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO 
Ukiniambia hapa hakuna mazingira ya RUSHWA BASI NASTAHILI KUWEKWA HOSPITALI YA AKILI MIREMBE. Iko hivi: Niliomba kupatiwa huduma ya umeme mara mbili na kupewa nambali hizi kama rejea ya maombi...
1 Reactions
15 Replies
1K Views
Tunaishukuru Serikali yetu inatoa fedha nyingi sana kwa TARURA ili iendeleze barabara zetu hasa za Vijijini. Kwa mtindo wa sasa labda siyo wote unapotakiwa kupata kazi lazima utoe rushwa to the...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Habari wana JF,leo napenda niongelee ubabaishaji wa halmashauri zetu kwenye kuwapa stahiki zao waajiriwa. Tunakumbuka mwezi wa 6 mwaka huu 2023 serikali iliajiri watumishi wapya kada ya afya na...
0 Reactions
1 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Habari Wana Jamii Forums naomba kuwasilisha hoja yangu ili kupaza sauti, mamlaka zisikie na ikiwezekana hatua zichukuliwe haraka. Sisi Wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Afya na Sayansi Shirikishi...
2 Reactions
2 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Natambua kuwa wengi mmeiona hii taarifa: Geita: Mkuu wa Wilaya aagiza TAKUKURU wachunguze safari za Mkurugenzi Mamlaka ya Uteuzi inatakiwa kuwa makini na huyu DC Cornel Magembe. Ni mtu anacheza...
10 Reactions
56 Replies
8K Views
JanguKamaJangu
DOKEZO Responded 
Mfamasia Neema J. Nagu kutoka Wizara ya Afya anasema kuna dawa za aina mbili zinazouzwa kwenye Duka la Dawa, zipo ambazo hazitolewi bila cheti kama Panadol na zile za mafua na nyinginezo. Anasema...
3 Reactions
0 Replies
2K Views
Hawa ni wamachinga wakifanya biashara zao barabarani bila kujali hatari inayoweza kutokea. Ni kweli kwamba kila Mmoja wetu ana haki ya kujitafutia riziki, lakini riziki ya namna hii yaweza kuleta...
31 Reactions
91 Replies
8K Views
Anonymous
DOKEZO 
Habari! Napenda kuleta kero yangu ili mnisaidie kufikisha kwa wahusika wa Chuo cha DIT. Kuna kero kubwa hususani kwa wanafunzi waliopata mkopo kupitia Bodi ya mkoppo ya elimu ya juu (HESLB) pale...
1 Reactions
9 Replies
2K Views
Miss Zomboko
DOKEZO Responded 
Nchi kuwa na Ofisi au Kitengo cha Umma Cha msaada wa Sheria (Public Pro Bono Office/ Department) ni muhimu ili kuhakikisha Upatikanaji sawa wa Haki. Ofisi ya kutoa msaada wa Kisheria (Pro Bono...
2 Reactions
1 Replies
635 Views
Mbunge wa Ukonga akagua daraja lililojengwa kwa Bilioni 17.6 katika kata ya Ulongoni B huko Gongolamboto. Daraja hilo litakuwa na mchango mkubwa kwa wananchi wa Ulongoni katika gurudumu la...
17 Reactions
126 Replies
11K Views
Natumaini mu-wenye afya njema. Poleni na mapambano ya kila siku. Ni mara yangu ya kwanza kuandika katika jukwaa hili hasa baada ya kuwa nasoma maandiko mengi tu ya wadau mbalimbali yanayohusu...
7 Reactions
27 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO 
Ni kweli kwamba vyuo vikuu vinahitaji viongozi wenye ujuzi wa usimamizi rasilimali watu na utawala wa biashara ili kusimamia uendeshaji wa chuo na kuendeleza uvumbuzi na bidhaa mpya kwa ajili ya...
0 Reactions
6 Replies
927 Views
Anonymous
DOKEZO 
SHERIA MPYA ILIVYOWAKOSESHA WANAFUNZI WA UDOM HAKI YAO. Chuo kikuu dodoma,UDOM. 25/11/2022 uongozi wa chuo kikuu cha dodoma( UDOM) katika ndaki ya TIBA ulitoa sheria mpya kwamba mwanafunzi...
1 Reactions
7 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni Mfanyakazi wa Shule ya Msingi Gisela N/P School (Private) iliyopo Kipunguni B Ukonga Ilala hapahapa Dar es Salaam, tunadai mishahara ya miezi 3 mfululizo, ya tangu mwezi wa 7 mpaka mwezi...
7 Reactions
16 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Hivi karibuni serikali imefanya uamuzi bora kabisa wa kuruhusu magari ya abiria ( mabasi) kutoa huduma masaa 24. Hili ni jambo bora na la kupongezwa kwani linachochea ukuaji wa uchumi kwa watoa...
0 Reactions
2 Replies
734 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Serikali iangalie ifanye jambo kuhusu Mradi wa SGR hali inapoelekea sio nzuri, wakati wafanyakazi wenzetu wakipambana na Mkandarasi Yapi Merkezi kuhusu kuondolewa kazini, huku sisi ambao bado tupo...
12 Reactions
49 Replies
4K Views
Anonymous
DOKEZO 
Wana JF salama humu ndani, mimi ni mwanachama wa siku nyingi lakini ni nadra kuniona nikitumia jukwaa hili la Fichua Uovu, nimeona malalamiko mengi yanayowekwa huku yanafanyiwa kazi na mamlaka...
2 Reactions
19 Replies
2K Views
Back
Top Bottom