DOKEZO Hospitali ya Ekenywa inalazimisha wagonjwa wa NHIF kununua dawa hospitalini kwao

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Hospitali ya Ekenywa wanalazimisha wateja wa Bima hasa NHIF kununua dawa kwao.

Ukienda kutibiwa wanakwambia hii dawa haipo kwenye bima; ukienda Kwa mfamasia ukimuomba akuandikie jina la dawa hawataki. Ukirudi kwa Daktari pia naye anakwambia ukipata pesa njoo uchukue na dawa zao ni ghali sana tofauti na gharama ya kawaida.
 
Hospitali ya Ekenywa wanalazimisha wateja wa Bima hasa NHIF kununua dawa kwao.

Ukienda kutibiwa wanakwambia hii dawa haipo kwenye bima; ukienda Kwa mfamasia ukimuomba akuandikie jina la dawa hawataki. Ukirudi kwa Daktari pia naye anakwambia ukipata pesa njoo uchukue na dawa zao ni ghali sana tofauti na gharama ya kawaida.
Siku hizi hospital nyingi wanatumia mifumo..dawa haziandikwi kwenye kadi.
 
Hospitali ya Ekenywa wanalazimisha wateja wa Bima hasa NHIF kununua dawa kwao.

Ukienda kutibiwa wanakwambia hii dawa haipo kwenye bima; ukienda Kwa mfamasia ukimuomba akuandikie jina la dawa hawataki. Ukirudi kwa Daktari pia naye anakwambia ukipata pesa njoo uchukue na dawa zao ni ghali sana tofauti na gharama ya kawaida.
Tatizo hilo lipo hospitali zote binafsi, usiponunua dawa kwao hawakupi cheti cha dakitari kikionesha vipimo vyako na dawa ya kutumia.
 
Screenshot_20231129-162249.png
 
Hospitali ya Ekenywa wanalazimisha wateja wa Bima hasa NHIF kununua dawa kwao.

Ukienda kutibiwa wanakwambia hii dawa haipo kwenye bima; ukienda Kwa mfamasia ukimuomba akuandikie jina la dawa hawataki. Ukirudi kwa Daktari pia naye anakwambia ukipata pesa njoo uchukue na dawa zao ni ghali sana tofauti na gharama ya kawaida.
Mkuu
Siyo Ekenywa pekee, hospitali.nyingi wanafanya hayo na sidhani kama dawati la Afya hawajui hayo.....
 
Hao jamaa ni noma sana aisee,,

Nilimpeleka mtoto wangu kuangaliwa masikio.
Gharama zao ni balaa na nusu.

Kuandikisha kadi 20000/
Kumwona dokta 40000/

Sikio la mtoto niligjaramia 120,000.,

Kutokana na kukamua wanaichi amenunuwa nyumba zote zilizomzunguka..

Iwekwe sheria kali kwa watu ambao hawataki kupokea wagonjwa wa wanachama na NHIF
 
Hao jamaa ni noma sana aisee,,

Nilimpeleka mtoto wangu kuangaliwa masikio.
Gharama zao ni balaa na nusu.

Kuandikisha kadi 20000/
Kumwona dokta 40000/

Sikio la mtoto niligjaramia 120,000.,

Kutokana na kukamua wanaichi amenunuwa nyumba zote zilizomzunguka..

Iwekwe sheria kali kwa watu ambao hawataki kupokea wagonjwa wa wanachama na NHIF
Ni soko huria mkuu,
Ukiona wana gharama kubwa nenda kwingine tu an
 
Hao jamaa ni noma sana aisee,,

Nilimpeleka mtoto wangu kuangaliwa masikio.
Gharama zao ni balaa na nusu.

Kuandikisha kadi 20000/
Kumwona dokta 40000/

Sikio la mtoto niligjaramia 120,000.,

Kutokana na kukamua wanaichi amenunuwa nyumba zote zilizomzunguka..

Iwekwe sheria kali kwa watu ambao hawataki kupokea wagonjwa wa wanachama na NHIF
Nimependa sana gharama zao. Zitafanya raia tujue kuwa bila uongozi unaowajibika maisha yanakuwa magumu.
 
Nimependa sana gharama zao. Zitafanya raia tujue kuwa bila uongozi unaowajibika maisha yanakuwa magumu.
Kabisa mkuu..

Tena baada ya kunipiga gharama zote hizo wakanipa ushauri wa bure kwamba nimsajili mtoto na bima ya afya NHIF itanipunguzia makali ya gharama.

Kumbe ni utapeli mtupu.
 
Katika afya kuna huduma kama 3 hivi
1. Ni medical consultation (Ushauri wa kitabubu)...huyu anakusikiliza, anaweza kukuandikia vipimo vya kufanya na unaenda kufanya kwenye maabara yoyote iliyoidhinishwa na unarudisha vipimo. Anakupa ushauri na kukuandikia dawa ambazo unaenda kununua duka lolote la dawa ambalo limeidhinishwa. Utamlipa consultation fees mnamalizana.
2. Huduma ya maabara/vipimo. Huyu anapokea wagonjwa kutoka kwa consultants na kufanya vipimo then ana mrudishia majibu consultant. Unamlipa gharama za vipimo mnamalizana.
3. Huduma ya kuuza dawa a.k.a pharmacy. Huyu hupokea prescriptions (List ya dawa), iliyoandaliwa na consultant. Unamlipa gharama za dawa mnamalizana.
4. Kuna hospitali ambazo hutoa huduma zote hapo juu. Mara nyingi kwa sababu huduma zote hutolewa pamoja anaweza kuwa ameweka punguzo kwenye huduma fulani fulani na mwisho wa siku inakuwa rahisi kuliko kama ungeenda sehemu tatu tofauti, kama nilivyoeleza hapo juu. Pia kwa sababu huduma zote ziko sehemu moja ni inarahisisha huduma kwa mgonjwa na kupunguza usumbufu wa kwenda na kurudi.

Kuhusu bei ya dawa, inategemea na source (chanzo) cha dawa zake. Dawa aina moja zinaweza kuwa na bei tofauti kulingana na brand. Panadol ya Kenya na panadol ya Tanzania bei yake si sawa. Hivyo inategemea na brand anazotumia. Je ni kutoka Ulaya, marekani, India, china, Tanzania au Kenya.

Pia kwa nini hakuandikii dawa ukanunue sehemu nyingine. Ni kwasababu huduma yote anaitoa kama package moja. Ni sawa sawa na hotel ambayo wana uza chakula kwa style ya Bufee...huwezi kwenda kuchukua sehemu ya chakula halafu ukataka ulipe kidogo.

Lakini pia kama utawaeleza kuwa wewe unataka consultation peke yake watakupa gharama.za consultation peke yake ambazo mara nyingi zitakuwa juu kuliko gharama ya package nzima.

Lakini pia hawatoi orodha ya dawa kwa sababu mbali mbali kama kutunza siri za wagonjwa na kulinda afya ya mgonjwa. Hospital zina jukumu la kutunza siri za wagonjwa. Pia akikuandikia dawa ukaondoka nayo unaweza kutumia vibaya. Labda ukanunua dawa nusu dose usipone au ukanunua dawa zisizo na kiwango usipone, au ukapata tatizo lolote la kiafya wakaingia matatizoni.
 
Hao jamaa ni noma sana aisee,,

Nilimpeleka mtoto wangu kuangaliwa masikio.
Gharama zao ni balaa na nusu.

Kuandikisha kadi 20000/
Kumwona dokta 40000/

Sikio la mtoto niligjaramia 120,000.,

Kutokana na kukamua wanaichi amenunuwa nyumba zote zilizomzunguka..

Iwekwe sheria kali kwa watu ambao hawataki kupokea wagonjwa wa wanachama na NHIF
Mbona NHIF wanapokea mkuu. Ila jamaa wapo vizuri sana kwenye issue za masikio. Huduma zao ni bora sana.
 
Mbona NHIF wanapokea mkuu. Ila jamaa wapo vizuri sana kwenye issue za masikio. Huduma zao ni bora sana.
Kipindi hiki nilikuwa sijasajili bima ya mtoto NHIF.

ila kuna mkuu amelalamika hapankwamba hawapokei NHIF kwa baadhi ya dawa.
 
Back
Top Bottom