DOKEZO Threads

Anonymous
DOKEZO 
Mapema jana(Novemba 30, 2023), wagonjwa tuliokuja hapa hospitalini kutibiwa tulikutana na kadhia ya kutukanwa na muhudumu aliyekuwa chumba cha wagonjwa wa nje(OPD) wanaotibiwa kwa bima. Mhudumu...
1 Reactions
1 Replies
607 Views
Anonymous
DOKEZO 
Hivi karibuni kulitokea nafasi ya ajira za Shirika la Uzalishaji Mali la Jeshi la Polisi ambapo zaidi ya Wananchi 1,000 walituma maombi ya ajira. Lakini wakati mchakato unaendelea, sisi tuliopata...
0 Reactions
4 Replies
779 Views
Anonymous
DOKEZO 
Wananchi tulioathiriwa na Mradi wa Umeme wa Rusumo Hydroelectric Power Project baada ya busting bado hatujapewa fedha za kuhama ili kupisha mchakato huo wa umeme. Maafis wa Serikali wanaendelea...
0 Reactions
0 Replies
869 Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni Mkazi wa Muheza, Kijiji cha Ngomeni, Kambi ya Mikoroshini Mkoani Tanga, tunaomba Serikali Kuu na Mamlaka zenye nafasi ya kutusaidia kufikisha salamu kwa Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Mimi ni jirani ninayeishi Kata ya Matevezi au Ngaramtoni ya chini, Arusha Manispaa. Nimekuwa nikisikia kelele za yowe mara nyingi Waraibu wakiadhibiwa katika Kituo hiki kinachomilikiwa na Kijana...
5 Reactions
32 Replies
3K Views
BARD AI
DOKEZO Responded 
===== UPDATES: 01 DEC 2023 ===== Kampuni ya Azam Media Ltd, imebaini vipande vya picha jongefu vinavyosambaa kupitia mitandao ya kijamii vikimuonesha mwigizaji na mtengeneza filamu, Deogratius...
10 Reactions
120 Replies
15K Views
KwetuKwanza
DOKEZO Responded 
Hii ni Shule ya Sekondari BUJUNANGOMA iliyoko Kata Katerero Wilaya ya Bukoba Vijijini, Mkoani Kagera. Wazazi wa wanafunzi wa shule hii wameandika Barua kwa Rais Samia Suruhu Hassan, Waziri Mkuu...
3 Reactions
29 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Wanafunzi wa UDOM college ya informatics wamekua na changamoto kadha wa kadha. 1. Ubovu wa miundombinu hasa choo kwa baadhi ya blocks(1 and 3) hali inayopelekea kushindwa kujisaidia na kupata...
1 Reactions
12 Replies
1K Views
2. Ofisi ya Rais • TAMISEMl tmcpokea barua yenye Kumb. Na. SAD 429/546/11/6 ya tarebe 13 Novemba. 2023 kutoka kwa Katibu Mkuu Kiongozi (IKULU) kuhusu somo ta/wa hapo juu. 3 Ktrtokana na kuwepo...
5 Reactions
12 Replies
910 Views
Anonymous
DOKEZO 
Ratiba ya mabasi hayo yanaanza kutoka Rombo saa 9 usiku na basi la mwisho saa 11 alfajiri. Jambo hili licha ya kuleta usumbufu kwa abiria lakini pia linahatarisha usalama wa abiria kutokana na...
3 Reactions
19 Replies
3K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kwa kipindi kirefu sasa rais wetu, mama Samia Suluhu Hassan amekuwa akihangaika kubuni mbinu mbalimbali kwa lengo la kutatua kero za wananchi. Sisi wananchi wa kata ya Lukobe, Morogoro...
0 Reactions
20 Replies
1K Views
Wadau kulingana na taswira ya jiji la Dar es Salaam kwa sasa, eneo la Mbezi Luis, ni eneo ambalo limekaa kimkakati katika kukuza uchumi wa Dar es Salaam na nchi kwa ujumla, cha kushangaza...
2 Reactions
4 Replies
1K Views
Anonymous
DOKEZO 
Nimetazama list hii nimebaini majina kadhaa ya watu wenye hadi zao Mjini ambao nao wamenyang’anywa mashamba ya Kilimo cha Korosho baada ya kutoyaendeleza, kwanza kabisa namba mmoja ni Waziri Mkuu...
8 Reactions
72 Replies
12K Views
Anonymous
DOKEZO 
Kuanzia mapokezi, Dirisha la Malipo - hapa ndo pana shida mnooo😭😭, unayezilipa shida ni kurudi tena ili risiti iingizwe kwenye mfumo. Unaeza kaa hata masaa ma tatu hafi 10.na ukirudi tena siku...
1 Reactions
2 Replies
649 Views
Naandika uzi huu kwa uchungu na majonzi makubwa. Siku za hivi karibuni nikiwa mkoa wa ugenini mishale ya usiku nilianza kujisikia hovyo sana kwa ghafla tu. Hali ilianza kubadilika mida ya saa...
78 Reactions
233 Replies
12K Views
Anonymous
DOKEZO 
Wakazi wa kulwa pande tuna kero kubwa juu ya barabara hii. Kila siku tunapigwa kalenda tu kwamba itajengwa kwa kiwango cha lami lakini hakuna utekelezaji. Serikali itambue wajibu wake, sio...
0 Reactions
1 Replies
716 Views
Roving Journalist
DOKEZO Responded 
Huu ndio muonekano wa Shule ya Msingi Kugulunde iliyopo katika Kitongoji cha Mahande, Kata ya Mtii, Wilaya ya Same Mkoani Kilimanjaro. Shule hii ya Serikali haina miundombinu inayoridhisha...
1 Reactions
7 Replies
2K Views
Siku kadhaa nyuma nilipata kutembelea eneo la leaders club aisee uchafu niliokuta na miundombinu chakavu ni Ile Ile ambayo niliiacha miaka ya 90 Hadi mwanzoni mwa 2000 kuendelea mpaka 2013-2015...
0 Reactions
0 Replies
481 Views
Anonymous
DOKEZO Responded 
Kituo cha Afya Zamzam kilichopo Manispaa ya Bukoba huku Mkoani Kagera kinatoa huduma mbovu sana upande wa afya, hasa kwa Wanawake Wajawazito. Haijalishi kama una kadi ya Bima au la, bado huduma...
3 Reactions
4 Replies
2K Views
Anonymous
DOKEZO 
Sisi baadhi ya Wakulima wa Vijiji vya Mwitikira, Ndaleta, Katikati na Ngabolo Wilayani Kiteto Mkoani Manyara tunapenda kujibu na kutoa ufafanuzi juu ya kinachoendelea kuhusu wenzetu kadhaa...
0 Reactions
1 Replies
551 Views
Back
Top Bottom