DOKEZO Wanafunzi Chuo Kikuu Huria: Malalamiko dhidi ya utendaji wa Wakufunzi wetu

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
A

Anonymous

Guest
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Kwenda kwa:
Makamu Mkuu wa Chuo
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

YAH: MALALAMIKO YETU WANAFUNZI KUHUSU MATOKEO


Husika na kichwa cha habari

Sisi ni Wanafunzi wa Department of Mathematics, Information and Communication Technology kwa ngazi mbalimbali Certificate, Diploma na Degree tunaleta tena malalamiko kwako kuhusiana na uongozi wa hii idara ni mwendelezo wa malalamiko ya mwaka jana tarehe 22-09-2022 ambapo tulilalamika ukamtuma Prof. Matobola Joel Mihale kutusikiliza na kweli tulifanya zoom meeting tarehe 7-10-2022.

Akasikia malalamiko yetu na matokeo yake Head of ICT, Dr Rojas aliondolewa na kupewa Dr Juliana lakini mambo hayajabadilika ni yaleyale, Walimu wapo mbali na Wanafunzi (wapo busy na mambo yao binafsi) yaani hawajali hata kidogo utadhani kuna uadui kati ya wanafunzi wa Walimu (vita kati ya walimu na wanafunzi) simu hawapokei wala ujumbe huwa hawajibu kabisa.

Mwaka jana 07-10- 2022 tulipofanya kikao na Pro Mihale aliahidi kurudisha mrejesho lakini mpaka leo hajaonekana tena, inatupa mashaka sana kama Wanafunzi kuwa hiki chuo hakijali Wanafunzi hata kidogo wala Dr Juliana tukimwambia hashughuliki na chochote sana sana ni Mr Ombeni pekee ndiyo anajali wanafunzi.

Watu wanalalamika kuhusu matokeo yao, mtu anaweza kufanya somo moja zaidi hata ya mara 3 bila kuwekewa matokeo, mbona wenzetu wa faculty zingine hawalalamiki na matokeo yao wanawekewa kwa wakati?

Sisi wa ICT ndiyo ilitakiwa tuwe mfano bora wa matumizi ya TEHAMA lakini ndiyo mfano mbovu kabisa. Je, hao Walimu kazi yao nini sasa na wanalipwa mishahara kwa kazi gani?

Tuonamba TCU na wewe muitishe kikao na Wanafunzi kupitia zoom meeting msikie kero za Wanafunzi sababu hii inaleta taswira mbaya sana kwa chuo, Mwanafunzi akilalamika matokeo yake anaambiwa aende Head Quarter, hivi kweli ndiyo utaratibu?

Yaani Mwanafunzi atoke Musoma/Kigoma au Kagera akafuatilie matokeo ya somo moja na ada amelipa? Regional Centre nazo huwa hazina msaada wowote zaidi ya kutoa control number za malipo ya mitihani hata tukipeleka malalamiko yetu hakuna kinachobadilika na huwezi kuona hata faida ya hizi Regional Centre.

Tunaomba wizara ya Elimu na TCU waingilie kati tunaona wewe kama Makamu Mkuu wa chuo labda unawaonewa haya hawa Walimu lakini wanaharibu sana ‘image’ ya chuo ukimtoa Mr Ombeni wengine wote hawana sifa za kuwa Walimu wa Chuo Kikuu kama hiki tena department of ICT ambako ndiyo Dunia ilipo kwenye TEHEMA.

Ushauri wetu ni kama wa mwaka jana (2022) Walimu wote wahamishwe isipokuwa Mr Ombeni akichelewa hata kuweka matokeo lazima awe na sababu za msingi hawa wengine hata kupokea simu wanaona kero na wakipokea kauli ni mbaya (poor customer care) na wakiahidi ahadi zao ni uongo, huwa tunajiuliza kazi zao ni zipi sasa? Mbona Mr Ombeni anafanya kwa wakati?

Tunaomba msaada wa mamlaka husika zitusaidie tumechoshwa na urasimu wa hawa walimu wetu.

Tunaomba kuwasilisha

Nakala

Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Waziri wa Elimu
TCU- Tanzania
TAKUKURU Makao makuu
Abdul Nondo
Jamii Forums - Tanzania
 

Achieni madaraka, mliko mkakae vyuoni, msome muwe competent. Hii ya Open University, inaonekana ni elimu ambayo hata ufafanuzi wa jambo kutoka kwa walimu kwenda kwa clients ambao ni wanachuo, sidhani kama uko effective. Hivi madaktari nao husoma Open University?

Hebu kasomeni vyuoni (siyo Open University), acheni hofu ya kupokwa madaraka na viposhoposho hivyo,happy mlipo. Halafu andiko lako ni political oriented. Nondo anakujaje hapo?

Chuo chenu hakina autonomy, hadi mnamuweka sijui Rais, mara waziri mkuu?
 
Nondo si ulishahitimu UDSM B.A ya education leo Unaenda open kwa nini afu umeandika B.A au unarisit.

Anyway pengine unawasemea watu kila la kheri
 

Achieni madaraka, mliko mkakae vyuoni, msome muwe competent. Hii ya Open University, inaonekana ni elimu ambayo hata ufafanuzi wa jambo kutoka kwa walimu kwenda kwa clients ambao ni wanachuo, sidhani kama uko effective. Hivi madaktari nao husoma Open University?

Hebu kasomeni vyuoni (siyo Open University), acheni hofu ya kupokwa madaraka na viposhoposho hivyo,happy mlipo. Halafu andiko lako ni political oriented. Nondo anakujaje hapo?

Chuo chenu hakina autonomy, hadi mnamuweka sijui Rais, mara waziri mkuu?
Na wewe unaongea usichokijua Open university imetoa elimu kwa credible individual na wamefanya mambo yanyoeleweka kuibeza taasisi hii ni kwa kuwa huijui.
 
JF thread kama hizi mara nyingine sio za kuzishabikia.Chuo chochote kina miongozo na sheria za mitihani.Je hao wanafunzi walifuata sheria za Chuo husika???
Kusikiliza Upande mmoja na kuachia thread iende hewani sio sawa kabisa..
Ikiwa Mimi ni mmojawapo wa wanafunzi niliokwisha soma The Open University of Tanzania najua miongozo Yao na hatua za malalamiko.Hizi Regional Centre huripoti Makao makuu kuwasilisha changamoto za Wanafunzi kila siku pale zinapotokea.
Maxence Melo
@mods
Paw
Active
Diversity
Mhariri
YinYang
 
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Kwenda kwa:
Makamu Mkuu wa Chuo
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

YAH: MALALAMIKO YETU WANAFUNZI KUHUSU MATOKEO


Husika na kichwa cha habari

Sisi ni Wanafunzi wa Department of Mathematics, Information and Communication Technology kwa ngazi mbalimbali Certificate, Diploma na Degree tunaleta tena malalamiko kwako kuhusiana na uongozi wa hii idara ni mwendelezo wa malalamiko ya mwaka jana tarehe 22-09-2022 ambapo tulilalamika ukamtuma Prof. Matobola Joel Mihale kutusikiliza na kweli tulifanya zoom meeting tarehe 7-10-2022.

Akasikia malalamiko yetu na matokeo yake Head of ICT, Dr Rojas aliondolewa na kupewa Dr Juliana lakini mambo hayajabadilika ni yaleyale, Walimu wapo mbali na Wanafunzi (wapo busy na mambo yao binafsi) yaani hawajali hata kidogo utadhani kuna uadui kati ya wanafunzi wa Walimu (vita kati ya walimu na wanafunzi) simu hawapokei wala ujumbe huwa hawajibu kabisa.

Mwaka jana 07-10- 2022 tulipofanya kikao na Pro Mihale aliahidi kurudisha mrejesho lakini mpaka leo hajaonekana tena, inatupa mashaka sana kama Wanafunzi kuwa hiki chuo hakijali Wanafunzi hata kidogo wala Dr Juliana tukimwambia hashughuliki na chochote sana sana ni Mr Ombeni pekee ndiyo anajali wanafunzi.

Watu wanalalamika kuhusu matokeo yao, mtu anaweza kufanya somo moja zaidi hata ya mara 3 bila kuwekewa matokeo, mbona wenzetu wa faculty zingine hawalalamiki na matokeo yao wanawekewa kwa wakati?

Sisi wa ICT ndiyo ilitakiwa tuwe mfano bora wa matumizi ya TEHAMA lakini ndiyo mfano mbovu kabisa. Je, hao Walimu kazi yao nini sasa na wanalipwa mishahara kwa kazi gani?

Tuonamba TCU na wewe muitishe kikao na Wanafunzi kupitia zoom meeting msikie kero za Wanafunzi sababu hii inaleta taswira mbaya sana kwa chuo, Mwanafunzi akilalamika matokeo yake anaambiwa aende Head Quarter, hivi kweli ndiyo utaratibu?

Yaani Mwanafunzi atoke Musoma/Kigoma au Kagera akafuatilie matokeo ya somo moja na ada amelipa? Regional Centre nazo huwa hazina msaada wowote zaidi ya kutoa control number za malipo ya mitihani hata tukipeleka malalamiko yetu hakuna kinachobadilika na huwezi kuona hata faida ya hizi Regional Centre.

Tunaomba wizara ya Elimu na TCU waingilie kati tunaona wewe kama Makamu Mkuu wa chuo labda unawaonewa haya hawa Walimu lakini wanaharibu sana ‘image’ ya chuo ukimtoa Mr Ombeni wengine wote hawana sifa za kuwa Walimu wa Chuo Kikuu kama hiki tena department of ICT ambako ndiyo Dunia ilipo kwenye TEHEMA.

Ushauri wetu ni kama wa mwaka jana (2022) Walimu wote wahamishwe isipokuwa Mr Ombeni akichelewa hata kuweka matokeo lazima awe na sababu za msingi hawa wengine hata kupokea simu wanaona kero na wakipokea kauli ni mbaya (poor customer care) na wakiahidi ahadi zao ni uongo, huwa tunajiuliza kazi zao ni zipi sasa? Mbona Mr Ombeni anafanya kwa wakati?

Tunaomba msaada wa mamlaka husika zitusaidie tumechoshwa na urasimu wa hawa walimu wetu.

Tunaomba kuwasilisha

Nakala

Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Waziri wa Elimu
TCU- Tanzania
TAKUKURU Makao makuu
Abdul Nondo
Jamii Forums - Tanzania
Hivi ninyi mnakwenda kusoma masomo magumu ya sayansi yanayohitaji maelekezo ya Moja kwa Moja practical,VIFAA na maabara kweli mnasoma kwa distant leaning?Haya pambaneni na Hali zenu, mtihami hao jamaa ni mabingwa wa kutunga mawe bila kujali umesoma bila mwalimu
 
Wanafunzi wa Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

Kwenda kwa:
Makamu Mkuu wa Chuo
Chuo Kikuu Huria cha Tanzania

YAH: MALALAMIKO YETU WANAFUNZI KUHUSU MATOKEO


Husika na kichwa cha habari

Sisi ni Wanafunzi wa Department of Mathematics, Information and Communication Technology kwa ngazi mbalimbali Certificate, Diploma na Degree tunaleta tena malalamiko kwako kuhusiana na uongozi wa hii idara ni mwendelezo wa malalamiko ya mwaka jana tarehe 22-09-2022 ambapo tulilalamika ukamtuma Prof. Matobola Joel Mihale kutusikiliza na kweli tulifanya zoom meeting tarehe 7-10-2022.

Akasikia malalamiko yetu na matokeo yake Head of ICT, Dr Rojas aliondolewa na kupewa Dr Juliana lakini mambo hayajabadilika ni yaleyale, Walimu wapo mbali na Wanafunzi (wapo busy na mambo yao binafsi) yaani hawajali hata kidogo utadhani kuna uadui kati ya wanafunzi wa Walimu (vita kati ya walimu na wanafunzi) simu hawapokei wala ujumbe huwa hawajibu kabisa.

Mwaka jana 07-10- 2022 tulipofanya kikao na Pro Mihale aliahidi kurudisha mrejesho lakini mpaka leo hajaonekana tena, inatupa mashaka sana kama Wanafunzi kuwa hiki chuo hakijali Wanafunzi hata kidogo wala Dr Juliana tukimwambia hashughuliki na chochote sana sana ni Mr Ombeni pekee ndiyo anajali wanafunzi.

Watu wanalalamika kuhusu matokeo yao, mtu anaweza kufanya somo moja zaidi hata ya mara 3 bila kuwekewa matokeo, mbona wenzetu wa faculty zingine hawalalamiki na matokeo yao wanawekewa kwa wakati?

Sisi wa ICT ndiyo ilitakiwa tuwe mfano bora wa matumizi ya TEHAMA lakini ndiyo mfano mbovu kabisa. Je, hao Walimu kazi yao nini sasa na wanalipwa mishahara kwa kazi gani?

Tuonamba TCU na wewe muitishe kikao na Wanafunzi kupitia zoom meeting msikie kero za Wanafunzi sababu hii inaleta taswira mbaya sana kwa chuo, Mwanafunzi akilalamika matokeo yake anaambiwa aende Head Quarter, hivi kweli ndiyo utaratibu?

Yaani Mwanafunzi atoke Musoma/Kigoma au Kagera akafuatilie matokeo ya somo moja na ada amelipa? Regional Centre nazo huwa hazina msaada wowote zaidi ya kutoa control number za malipo ya mitihani hata tukipeleka malalamiko yetu hakuna kinachobadilika na huwezi kuona hata faida ya hizi Regional Centre.

Tunaomba wizara ya Elimu na TCU waingilie kati tunaona wewe kama Makamu Mkuu wa chuo labda unawaonewa haya hawa Walimu lakini wanaharibu sana ‘image’ ya chuo ukimtoa Mr Ombeni wengine wote hawana sifa za kuwa Walimu wa Chuo Kikuu kama hiki tena department of ICT ambako ndiyo Dunia ilipo kwenye TEHEMA.

Ushauri wetu ni kama wa mwaka jana (2022) Walimu wote wahamishwe isipokuwa Mr Ombeni akichelewa hata kuweka matokeo lazima awe na sababu za msingi hawa wengine hata kupokea simu wanaona kero na wakipokea kauli ni mbaya (poor customer care) na wakiahidi ahadi zao ni uongo, huwa tunajiuliza kazi zao ni zipi sasa? Mbona Mr Ombeni anafanya kwa wakati?

Tunaomba msaada wa mamlaka husika zitusaidie tumechoshwa na urasimu wa hawa walimu wetu.

Tunaomba kuwasilisha

Nakala

Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Spika wa bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Mhe Waziri wa Elimu
TCU- Tanzania
TAKUKURU Makao makuu
Abdul Nondo
Jamii Forums
Nondo wa nini hapo? Hivi huwa mnasoma au mnajisomea, ?
 
IMG_20240327_003505_180.jpg
 
Back
Top Bottom