Blackperson
Member
- Feb 29, 2024
- 36
- 30
.
Poleni sana. Mbaya zaidi utakuta uliipigia kura ccm.Habari za jioni.
Kuna ajira zilitolewa na Tamisemi mkataba mwaka huu 26 January.
Waajiriwa wapya waliripoti kwenye vituo vyao vya kupitia Halmashauri zao mbalimbali wakiwa na idadi 295.
Ajira Hizi zinasimamiwa na Mradi unaoitwa Tanzania maternal and child initiative project (TMCHP) unaofadhiliwa na World Bank chini ya wizara ya afya na Tamisemi.
Changamoto iliyokuja kuonekana hadi leo tar 17/3.
Hatujalipwa malipo ya mwezi wa pili na hela ya kujikimu ilhali tuko makazini na tunatambulika kama watumishi wa umma.
Mstakabali wa malipo haueleweki hadi leo tumebaki njia panda.
Wanasiasa wanatutumia wanavyotakaKweli hujalipwa mpaka umepagawa Hadi umeosogeza tarehe.
Sijawahi piga kura Maisha yanguPoleni sana. Mbaya zaidi utakuta uliipigia kura ccm.
Hilo nalo ni tatizoSijawahi piga kura Maisha yangu