Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Habari wana jf, Mimi ni binti wa miaka 23. Napenda kuwa model na vigezo ninavyo. Mwenye kujua au anaeweza nisaidia ili niwe model please aje pm [emoji120] [emoji120]. Asante.
1 Reactions
13 Replies
5K Views
Nashindwa kuelewa either ni kutaka kuonekana wazuri mbele ya jamii au nini. Wakati kwenye maisha halisi ni tofauti kabisa. Yaani imefikia point watu hawajikubali jinsi walivyo mpaka wajichubue...
2 Reactions
28 Replies
7K Views
Naomba kujuzwa perfume hio inayoweza kukaa katika nguo hata miezi au mwaka haitoki mm ni mvivu kununua mara kwa mara perfume ambayo ukipakaa anaisikia wa pembeni tu
2 Reactions
72 Replies
14K Views
Heri ya mwaka mpya 2017. Nimekuwa najiuliza sana kwanini wanaume wengi hupenda kunyoa ndevu zote kidevuni? Binafsi nilipokuwa mdogo nilisubiri muda mrefu ili niote ndevu,na mara baada ya...
4 Reactions
59 Replies
10K Views
Habari zenu JF MEMBERS, Mimi ni kijana wa kiume niliye na mwili wa kawaida sana! Sasa nimepanga kuingia gym ili nipate kuwa na reasonable body structure, kupunguza mafuta mwilini na kujenga afya...
0 Reactions
2 Replies
3K Views
Habari wana JF, Napenda sana kuwa model, najua humu kuna watu mbali mbali wanaweza nisaidia ili kutimiza ndoto yang ya kuwa model. Tafadhali kwa yyte yule mwenye uhitaji wa model either mwenye...
0 Reactions
9 Replies
4K Views
Habari wanajamvi hususani kona hii ya urembo, mitindo na utanashati, Msaada jamani uso wangu unajaa sana mafuta. Mfano naweza nisipake chochote kile ila dk 2 tu unajaa mafuta tena kama jua...
0 Reactions
10 Replies
3K Views
Kujiandaa kwa ujio wa mtoto ni kuna changamoto zake. Mtoto ni vema akawa na chumba chake ili kumjengea hali ya kujitegemea akiwa angali mdogo na pia kurahisisha uhifadhi wa vitu vyake bila...
2 Reactions
31 Replies
11K Views
Habari wana JF, Naomba mnisaidie nywele zangu ni nyepesi sana na zinakatika sana ninapochana hata dawa nikiweka lazima upande mmoja igome. Naombeni msaada nitumie dawa gani ya nywele na mafuta?
0 Reactions
6 Replies
5K Views
Najua zipo rangi za midomo nyingi na za kuvutia zaidi lakini Rangi hizi ndizo zinanivutia sana na ndizo rangi za midomo za kima dada/mama zilizonivutia zaidi kwa mwaka 2016. Nikikutana na...
1 Reactions
22 Replies
12K Views
Habari wakuu, Baadhi ya watu hawajui kutofautisha matumizi ya perfume na body spray?! Je wewe wajua?
2 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari za majukumu wana jf, Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi. Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba...
3 Reactions
28 Replies
4K Views
Mwaendeleaje na hali? Kuna vipele vigumu na wakati mwingine huwa vidogo vidogo huota pembeni mwa lips au kuzunguka lips na ukijaribu kuvi binya huwa na maumivu makali kidogo. Kuna treatment/...
0 Reactions
1 Replies
4K Views
Napenda kuvaa vizuri na kuwa smart kuvaa ni sanaa na damu ya mtu kama hauna damu ya kupenda kuvaa siku zote kuvaa itakuwa ni ziada sio kitu muhimu kwako.. Utatafuta excuse zote ila ukweli ni...
13 Reactions
86 Replies
15K Views
Wadau Nahitaji kujua salon nzuri ambazo wananyoa nywele na kuzistyle vizuri kwa hapa dar. Na pia bei zao zipoje. Nataka style kama hizi tuuu [emoji116]
3 Reactions
40 Replies
38K Views
Vinyozi wengi mnaonuka midomo mnakera sana wateja wenu jitahidini kuwa wasafi wa kinwa hata mnashindwa kununua kapipi kifua ka mia au PK kuchangamsha mdomo kwelih ata kama hali ni ngumu sio ivyo...
3 Reactions
22 Replies
3K Views
Mambo ya lipstick.. Mikoba,mikoba ..mascaras brushes ni product ya kitimoto.. Je uislam unasemaje juu ya hili.. Ni sawa kwa mbibie kupaka lip shine inyotokana na nguruwe..
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hivi ni kweli hii kitu inafanya kazi au ndo muendelezo wa kuwaibia watanzania wajuzi mtuambie
0 Reactions
14 Replies
2K Views
Habari wanaJF, Kwa sababu ya kuvaa viatu virefu vya kutumbukiza muda mrefu vidole vyangu vimepata sugu. Kuvaa viatu vya wazi mbele sipendi sababu ninavaa no 40 so vidole huwa vinatokeza sana...
0 Reactions
34 Replies
25K Views
Back
Top Bottom