Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
bila kusahau age 28,kiatu navaa namba 15 kubwa je nifanye zoezi gani ili nifikie kilo hata 60
1 Reactions
39 Replies
6K Views
Siku hizi kumekuwa na kawaida ya kungarisha meno yaliyoungua yanakuwa meupeee ..jamani ni wapi wanatoa hizo huduma na gharama zake plzzz kwa anaejua
1 Reactions
27 Replies
12K Views
Necklaces Nzuri (princes&queen necklaces) kwa Tsh 15000 pekee
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Moja ya hasara ya mwanamke aliye hodari na kazi za nyumbani ni viganja vya mikono kuwa vigumu au vikavu.Kama unafua na maji na sabuni,kuosha vyombo,kusafisha nyumba,kubadili watoto nepi au...
2 Reactions
7 Replies
40K Views
Kama ulishakutana na watasha somewhere wakikupitia utasikia harufu moja very amaizing je inaitwaje kama inauzwa madukani tuambiane .............
5 Reactions
119 Replies
22K Views
Habari zenu wana JF Naomba mnisaidie ni powder gani inafaa kwa Uso wenye ngozi ya kawaida kwani nilikuwa napaka nikipaka powder napata rashes . Powder nilizopaka ni: =Ponds =Royal =Mac =Family...
2 Reactions
5 Replies
9K Views
Salama wadau? Anayejua bei ya hili vazi naomba aniambie. Pia naomba ushauri, vipi linafaa au linapendeza kwa harusi?
2 Reactions
31 Replies
6K Views
Ni nani huwadanganya enyi wanawake yakwamba eti kujichubua ndio unakuawa mrembo na mwenye mvuto? Kiukweli ewe unayechubua ukikutana na mwalimu wa sanaa yaani nipishe na upite mbali kabisa...
4 Reactions
5 Replies
2K Views
Habari, Kuna mambo yanaendelea hapa duniani ni yakushangaza kwa wenye kutafakari, Cha kushangaza zaidi ni mambo hayo kukumbatiwa pasi na kuhojiwa, Kunielewa nini ninamaanisha, cheki attachment...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Dawa za kulainisha nywele (relaxer) zimekuwa zinapendwa na wanawake wengi wa Afrika kwa kuwa zina uwezo wa kulainisha nywele na kumfanya apendeze na awe wa kuvutia. Hata hivyo, wataalamu wa afya...
2 Reactions
2 Replies
4K Views
Naomba kufahamishwa kama madawa nazani yatakua ya kichina ambayo watu wanatumia kupunguza mwili je yana madhara yoyote kwa mwili? Na kipi bora kati ya kufanya mazoezi ili upunguze mwili na...
1 Reactions
8 Replies
2K Views
Jamani nyie wanawake wa kidigitali mnatuharibia kizazi chetu cha baadaye. Huu uvaaji wenu mnawafundisha nini watoto wenu. Si bora mkae uchi sasa kieleweke. Miaka mingi mlikuwa mkisingizia ni...
1 Reactions
38 Replies
19K Views
Benefits of Apple CiderVinegar 1.Stimulates scalp to promote hair growth 2.Cleanses hair without stripping natural oils 3.Removes build-up from chemical products 4. Helps hair retain moisture for...
2 Reactions
7 Replies
8K Views
Namba za mawakala hazipatikani, meseji hazijibiwi, au ndio alikusanya mikwanja akasepa na kijiji. Tupeane ushuhuda wakuu, kama kuna yeyote aliyetumia udongo na ukamsaidia alete ushuhuda hapa, au...
1 Reactions
52 Replies
7K Views
Wadau amani iwe juu yenu, ninataka kufuga sharafa ziwe ndefu kabisa, naitaji kujua mafuta gani nitumie ili ndevu zikue zinyooke zisiwe kipilipili kama zilivyo hivi sasa, natanguliza shukran
0 Reactions
15 Replies
21K Views
Wembamba wa nywele zangu unazifanya ziwe za kipili pili. Nawaza kama zingeweza kuongezeka unene zikawa 'stout' hili lingesaidia zinyooke na ningeweza kufuga afro.... Sasa nawauliza nifanye nini...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Salama wana jukwaa? Naomba kila mwenye picha ya vazi lolote la harusi atupie hapa. Yote ya kike na ya kiume. Itakuwa msaada zaidi ukisema ulinunua duka lipi. Na wale wenaouza haya mavazi watupie...
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Mshukuru muumba kwa vile jinsi alivyokuleta duniani. Usilazimishe lami ifanane na ugali. Hiki ndiyo kitachachokutokea kama ukilazimisha lami ifanane na ugali Just stay natural.
1 Reactions
6 Replies
2K Views
Kama picha inavyojieleza hili swali hata mimi nimejiuliza lakini jibu nimepata;
2 Reactions
4 Replies
2K Views
Naukubali mwili wangu jinsi ulivyo ila naomba ushauri ni jinsi gani naweza kuongeza muonekano wangu maana mwili wangu mimi ni mwembamba kiasi kwamba nikivaa masharti nahisi hayanikai vizuri, wale...
1 Reactions
21 Replies
7K Views
Back
Top Bottom