Wanaonyoa ndevu zote!

Ulongupanjala

JF-Expert Member
Apr 9, 2013
7,663
12,286
Heri ya mwaka mpya 2017.

Nimekuwa najiuliza sana kwanini wanaume wengi hupenda kunyoa ndevu zote kidevuni?

Binafsi nilipokuwa mdogo nilisubiri muda mrefu ili niote ndevu,na mara baada ya kuota,huwa sitaki kabisa kunyoa zote maana naona nitakuwa naenda kinyume na aliyenipa ndevu kwa umri husika na kuamini kuwa nitazitunza kwa kuzikata kiasi na kuacha ndevu kama pambo la kidevu.

Nimekuwa nashangaa mwanaume kunyoa ndevu zote mara chache huhisi labda sheria za kazi zao au labda walipenda wazaliwe wanawake,kwa ufupi huwa nakosa majibu.

Mwenye majibu,naomba anisaidie.
 
Heri ya mwaka mpya 2017.

Nimekuwa najiuliza sana kwanini wanaume wengi hupenda kunyoa ndevu zote kidevuni?

Binafsi nilipokuwa mdogo nilisubiri muda mrefu ili niote ndevu,na mara baada ya kuota,huwa sitaki kabisa kunyoa zote maana naona nitakuwa naenda kinyume na aliyenipa ndevu kwa umri husika na kuamini kuwa nitazitunza kwa kuzikata kiasi na kuacha ndevu kama pambo la kidevu.

Nimekuwa nashangaa mwanaume kunyoa ndevu zote mara chache huhisi labda sheria za kazi zao au labda walipenda wazaliwe wanawake,kwa ufupi huwa nakosa majibu.

Mwenye majibu,naomba anisaidie.
Kwahiyo mkuu hapo ulipo hata Nywele za VUTU unyoi. Utaenda kinyume na aliyekupa. Haya tumekuelewa
 
Heri ya mwaka mpya 2017.

Nimekuwa najiuliza sana kwanini wanaume wengi hupenda kunyoa ndevu zote kidevuni?

Binafsi nilipokuwa mdogo nilisubiri muda mrefu ili niote ndevu,na mara baada ya kuota,huwa sitaki kabisa kunyoa zote maana naona nitakuwa naenda kinyume na aliyenipa ndevu kwa umri husika na kuamini kuwa nitazitunza kwa kuzikata kiasi na kuacha ndevu kama pambo la kidevu.

Nimekuwa nashangaa mwanaume kunyoa ndevu zote mara chache huhisi labda sheria za kazi zao au labda walipenda wazaliwe wanawake,kwa ufupi huwa nakosa majibu.

Mwenye majibu,naomba anisaidie.
Ukipatacho kwa kukihangaikia au bila kutarajia lazima ukishobokee. Sisi ambao ndevu ni jadi yetu hatuzishobokei kihivyo..
 
Ukipatacho kwa kukihangaikia au bila kutarajia lazima ukishobokee. Sisi ambao ndevu ni jadi yetu hatuzishobokei kihivyo..
Ndevu jadi yako,ina maana umezaliwa na kuota ndevu? Au ulizaliwa na ndevu? Kama vile ulivyozaliwa na ma...lio?
Naamini kila mwanaume alisubiria ndevu kwa muda,hadi alipofika umri wa kuota.
 
Heri ya mwaka mpya 2017.


Binafsi nilipokuwa mdogo nilisubiri muda mrefu ili niote ndevu,na mara baada ya kuota,huwa sitaki kabisa kunyoa zote maana naona nitakuwa naenda kinyume na aliyenipa ndevu kwa umri husika na kuamini kuwa nitazitunza kwa kuzikata kiasi na kuacha ndevu kama pambo la kidevu.



Mwenye majibu,naomba anisaidie.

Ushaa sema kuwa ni pambo, hasa wadhani kila mtu anapenda pambo hupendalo???

By the way wengine nature za kazi hawatakiwa kufuga mindevu,, wengine huamini ku shave ndio defntion ya usafi
 
Uislam umetaka muislam wa kiume aache ndevu!akifanya hivyo hiyo itakuwa ni ktk amali njema na Allah atamlipa ujira juu ya Ibada hiyo!wito waislam wa kiume tusinyoe ndevu ili tutekeleze ibada hii!
Imani zakuokota ndevu na mungu wapi na wapi!!
 
Aliyeziumba ndevu alikuwa na maana yake,kwangu mimi naweza kusema pambo lakini ndevu zina maana nyingi zaidi.
 
Unawalenga misukule wakasimamao nyuma ya mibuyu ile mitatu duniani ama sisi tulio kinyume nao?
 
Heri ya mwaka mpya 2017.

Nimekuwa najiuliza sana kwanini wanaume wengi hupenda kunyoa ndevu zote kidevuni?

Binafsi nilipokuwa mdogo nilisubiri muda mrefu ili niote ndevu,na mara baada ya kuota,huwa sitaki kabisa kunyoa zote maana naona nitakuwa naenda kinyume na aliyenipa ndevu kwa umri husika na kuamini kuwa nitazitunza kwa kuzikata kiasi na kuacha ndevu kama pambo la kidevu.

Nimekuwa nashangaa mwanaume kunyoa ndevu zote mara chache huhisi labda sheria za kazi zao au labda walipenda wazaliwe wanawake,kwa ufupi huwa nakosa majibu.

Mwenye majibu,naomba anisaidie.
Kwa maaskari huku ni sheria sasa sijui tufanyeje
 
Kuna wanyoaji wa kwa mujibu wa miongozo ya kazi zao mfano askari hawapaswi kuwa na ndevu na hapa ni askari yeyote unayemjua,lakini pia kuna ufichaji wa identity ya mtu, mfano kachero anaruhusiwa kufuga ndevu sababu wakati unategemea kumuona mtu asiyekuwa na ndevu kuja kukuchunguza,unakuta kumbe yule mwenye madevu usiyemtilia shaka ndio anakuchunguza bila kujijua. Binafsi huwa nanyoa hadi mustachi ni utashi wangu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom