Wanawake mnaotoka shift mjitahidi kujiweka smart

Machakoz

JF-Expert Member
Jun 10, 2016
369
201
Habari za majukumu wana jf,

Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi. Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba anavutia machoni ila tatizo lilikuja baada kuonekana katoka kulala kwa mwanaume maana kila kitu ni vuluvulu kuanzia nywele, usoni ndio usiseme utadhani alikuwa kalala na mrija wa pombe.

Kumbe kila mtu ndani ya gari alikuwa akimjadili kimyakimya maana alipoteremka tu kituo cha njiani kila mtu alikuwa anamjadili kivyake. Naomba wanawake mnaolala shift mjitajidi kujipiga sopsop baada ya kumaliza majukumu ya kula tunda la mti wa uzima.
 
Habari za majukumu wana jf,
Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi.
Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba anavutia machoni ila tatizo lilikuja baada kuonekana katoka kulala kwa mwanaume maana kila kitu ni vuluvulu kuanzia nywele, usoni ndio usiseme utadhani alikuwa kalala na mrija wa pombe.
Kumbe kila mtu ndani ya gari alikuwa akimjadili kimyakimya maana alipoteremka tu kituo cha njiani kila mtu alikuwa anamjadili kivyake.
Naomba wanawake mnaolala shift mjitajidi kujipiga sopsop baada ya kumaliza majukumu ya kula tunda la mti wa uzima.
Itakuwa amekopeshwa na hapo ana stress za pesa ya kula leo.
 
Habari za majukumu wana jf,
Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi.
Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba anavutia machoni ila tatizo lilikuja baada kuonekana katoka kulala kwa mwanaume maana kila kitu ni vuluvulu kuanzia nywele, usoni ndio usiseme utadhani alikuwa kalala na mrija wa pombe.
Kumbe kila mtu ndani ya gari alikuwa akimjadili kimyakimya maana alipoteremka tu kituo cha njiani kila mtu alikuwa anamjadili kivyake.
Naomba wanawake mnaolala shift mjitajidi kujipiga sopsop baada ya kumaliza majukumu ya kula tunda la mti wa uzima.
hahaha sasa kama alilala makaburini wakati anawahudumia wateja wa ngono inakuwaje hahahaha umenichekesha sana
 
Inaelekea una kutana nao mara kwa mara sana,
ila kama sivyo isikute hata katofautiana na mumewe usiku akaamua kwenda kwao hivyohivyo akiwa rafu!
 
Hapa jamaa amemwambia awahi kutoka room anashare na mshkaji, hataki ajue kuwa alikuwa na biashara usiku.
hamna......na mabao ya alfajiri yanavokuwa matamu..!!!!!!!!!!...mwanaume gani atamwachia demu mapema yote hyo....
 
hamna......na mabao ya alfajiri yanavokuwa matamu..!!!!!!!!!!...mwanaume gani atamwachia demu mapema yote hyo....
Mkuu labda mwanaume anaishi kwa rafiki, ameona heri nusu shari kuliko shari kamili.
 
Mkuu labda mwanaume anaishi kwa rafiki, ameona heri nusu shari kuliko shari kamili.
maybe........weee hata niwe naishi geto kwa kaka'angu siwezi kuacha utamu....cha asubuhi kinanoga hakuna mfwano....huyo demu asilimia mia ni muuza PAPA maana wauza UCHI mishemishe zao ni usiku wa manane na alfajiri.....
 
Habari za majukumu wana jf,
Leo Alfajiri, muda wa saa 11 hivi nikiwa ndani ya Hiece nikiwahi majukumu ya kuifukuza shilingi.
Kuna kituo kimoja alipanda dada mmoja, alikuwa mrembo si haba anavutia machoni ila tatizo lilikuja baada kuonekana katoka kulala kwa mwanaume maana kila kitu ni vuluvulu kuanzia nywele, usoni ndio usiseme utadhani alikuwa kalala na mrija wa pombe.
Kumbe kila mtu ndani ya gari alikuwa akimjadili kimyakimya maana alipoteremka tu kituo cha njiani kila mtu alikuwa anamjadili kivyake.
Naomba wanawake mnaolala shift mjitajidi kujipiga sopsop baada ya kumaliza majukumu ya kula tunda la mti wa uzima.
machakoz.msema kweli ni mapenzi wa Mungu.

ulijalbu kumulza yeye mkuu?
 
machakoz.msema kweli ni mapenzi wa Mungu.

ulijalbu kumulza yeye mkuu?
Utaanzia wapi kumuuliza kama alikuwa na stress zake akakujibu vibaya utasemaje? Haya yalikuwa ni mawazo ya wasafiri wenzangu
 
Akili za waswahili ni shida. Yaani wote kwenye daladala mkaanza msema mtu. Wewe unajuaje alikuwa na mwanaume? Au shida zake wazijua?? Ninyi pia wengi wenu mnauza sana sema masoko yako tofauti. Usafi kitu gani?
 
Akili za waswahili ni shida. Yaani wote kwenye daladala mkaanza msema mtu. Wewe unajuaje alikuwa na mwanaume? Au shida zake wazijua?? Ninyi pia wengi wenu mnauza sana sema masoko yako tofauti. Usafi kitu gani?
Watu walikua wateja kwa muda mrefu, hivyo wanajua nani anauza nani hauzi.
 
vijana wanaacha kufikiria how to solve their problemaaaa,,,, wanakuwa wadaku dakuzi....kila mtu na life style yake fara wewe....
 
vijana wanaacha kufikiria how to solve their problemaaaa,,,, wanakuwa wadaku dakuzi....kila mtu na life style yake fara wewe....
Fara ni wewe usijua nyuma yako tena yawezekana akili zako ni ziro, kuna binadamu asiyejadiliwa hapa duniani? Ukiwa na mwonekano tofauti lazima watakujadili tu, sasa ww tembea uchi uone kama hurushwa hewani. Yaelekea hujui magazeti ya udaku kazi yake ni nini kilaza mkubwa weeeee
 
maisha yamebana hivi dogo anawaza ngono tu,..!!
Watu wanakuhisi kutokana na mwonekano wako, wapo wanaonekana kubanwa na maisha na wapo wanaonekana wavuta unga na wapo wanaonekana kama huyo.
Ina maana abiria wote walikuwa hawajui mtu mwenye maisha magumu ana mwonekano gani? Basi gari zima walikuwa wanawaza ngono umeelewa wewe kilaza.
 
Uimuuliza akakujibu anapotoka?au unabwabwaja tu
Wewe kwa kua hujitambui ungekuja kumuuliza, mimi sikutaka kutukanwa asubuhi yote hiyo nani anataka kuianza siku na stress, wewe ukikutana na mtu dizain hiyo wewe muulize yawezekana unajua jinsi ya kuwahoji watu wa type hiyo
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom