Hizi camera/make up zitawamaliza dada zetu

kajojo

JF-Expert Member
Jun 9, 2012
2,937
5,430
Nashindwa kuelewa either ni kutaka kuonekana wazuri mbele ya jamii au nini. Wakati kwenye maisha halisi ni tofauti kabisa.
Yaani imefikia point watu hawajikubali jinsi walivyo mpaka wajichubue wengine kuji edit ndo waweke picha zao kwenye mitandao.

Ijulikane kwamba tunaishi kwenye jamii ya watu wale wale tunao watumia picha za mtandao sasa siku mkikumbuna laivu inakua tafrani.

1483962130833.jpg
1483962137311.jpg
1483962141844.jpg
 
Ndo mana sa ivi nkikuta mdada mzur kwenye mtandao hata sishtuki kabisa nabaki tu kuwashangaa wanao wapapatikia mitandaoni
 
Ila lulu hiyo picha aliyovaa nguo nyeusi haijamtendea haki, ana rangi nzuri hata ukimuona live
 
Kila mtu insta ni mzuri hana mabonde mabonde na chunusi kama barabara ya changarawe.

Sio kwa wadada tu hata wanaume nao ndo zao kujisoftisha rais wao ray na maji yake.
 
Huyo dada mmewr sijui haoniii aisee anatisha sweet fell alieleta make up Mungu anamuona
 
As usual ....bila kuwaponda wadada bado JF haijanoga. Kwani hakuna wakaka wanaojichubua na ku-edit picha kujitia u-fake?


katika 300 wapo 2 chek wa juu kampita hata mzungu sijui atakuwa anatoka bara gani hapa duniani!!!
 
Tuache unafiki, nyie ndo wasifia ndo maana wamefikia huko, akitupia picha ya hivyo nyie ndo wakwanza kumsifia unafikiri wenye vichwa vya panzi wataacha kuiga?? Mtu akirushia picha ya hivyo na mwanaume akimkosoa au akakosa comments wengine wala hawataangaika. Tuwe wakweli na tuachage unafiki
 
Back
Top Bottom