Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kama kichwa cha habari kilivojieleza naomba kufahamishwa maeneo wanapofanya waxing kwa dar na Dodoma na gharama zake please.
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Hakika mazoezi yanapunguza mwili hasa ukizingatia maelekezo ya mwl. Asante sana DODOMA BUNGE GYM. Uzee sasa basi
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Habari zenu wana jf, Bila kuwachosha na salamu nyingi naomba niende moja kwa moja kwenye swala langu, Siku si nyingi zijazo nami naenda ukweni kwa utambulisho rasmi (Si kutoa mahari) kwa wenzetu...
0 Reactions
29 Replies
16K Views
Mwenye uelewa jinsi ya kutengeneza rough dredz na mafuta yanayotumika anijuze tafadhali.
0 Reactions
6 Replies
9K Views
Naombeni wadada tushee idea ya stlyle nzuri za kusuka msimu huu wa sikukuu. Maweaving naona kama yanachosha pia joto sana rasta nazo vilevile. Tutoke vipi? Naomba tupeane ushauri hapa
0 Reactions
45 Replies
12K Views
Jamani wanaume hivi huwa hamuoni aibu kutembea kifua wazi na manywele kifuani kama msitu?,hivi yenyewe huwa hayanyolewi? Unamkuta mkaka yupo busy comfortable kifua wazi na minywele yake kifuani...
1 Reactions
59 Replies
11K Views
Wakuu rafiki angu anatafuta pearls...vile vidude ambavyo vinatumika kutengenezea mapambo ya wanawake kama necklaces ama bracelets..... Hajui huwa vinapatikana maduka yapi....mwenye kujua tafadhali
0 Reactions
4 Replies
2K Views
Wapendwa, Heri ya mwaka mpya! Naomba nisaidieni mwenzenu, Nimehangaika sana kutafuta Hair remover, ile dawa ya kuondolea nywele na vinyweleo mwilini, unapaka sehemu unayotaka kuondoa...
0 Reactions
21 Replies
9K Views
Nataka niagize mafuta haya ya Ngozi kutoka UK kwa ajili ya biashara , je ni mazuri?
0 Reactions
3 Replies
8K Views
Wadau, Natafuta darasa la mitindo (fashion design) na hair styles and design la muda mfupi kama mwezi au miezi mitatu. Mwenye kujua naomba anipe direction na contact zao kama pia anazo darasa...
1 Reactions
0 Replies
2K Views
walianza dada zetu kufanya operation za makalio, ikiaminika uzuri sio sura uzuri makalio. sasa na akinababa limehamia kwetu tumeona nondo kunyanyua zimekua nzito bora operation ya vifua Bandia...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
Naskiliza EA Radio muda huu. Zembwela na wenzake studio wanajadili kushamiri kwa mahusiano holela miongoni mwa vijana, pia wanazungumzia tabia ya vijana kupenda kulelewa na majimama. Mgeni...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Miaka ya tisini hadi 2000 mwanzoni mashindano ya miss Bantu yalishika kazi sana, lakini 'sasa naona hakuna kabisa shindano hilo sijui wadau wamepotelea wapi. Nilikua naenjoy sana kuona...
3 Reactions
7 Replies
2K Views
Wakuu, sivuti sigara, bangi lakini lips zangu zimekua black zinanikera sana. Msaada please!
0 Reactions
15 Replies
4K Views
Habari zenu, Nimejaribu kufanya utafiti kidogo nikagundua asilimia kubwa ya wanaume wanaovaa SAA za mkononi huwa hazisomi majira. Sasa hii inaumuhimu gani wa kuvaa kitu ukaonekana mtanashati...
4 Reactions
59 Replies
7K Views
Habarin Wakuu Nahitaji msaada kwa yeyote alioko mwanza Mm ni mgeni kwenye maswala ya kuchora tattoo naomba msaada kwa yeyote anaye fahamu wanapo chorea Anipe ramani nataka kuchora jina la mwanangu
1 Reactions
13 Replies
3K Views
Hakuna boxer zinazohifadhi uchafu kama za mpira yaanI huwa zina uvundo saana ni bora mtu ununue cotton kuliko hizo otherwise utaishia kunuka. Wakina dada muwe makini mtalamba uchafu mpaka mpate...
0 Reactions
13 Replies
8K Views
Kila siku mamilioni ya wanawake hujipaka lipstick bila kufikiria hata kidogo – wanachojali wao ni muonekano na urembo wao. Kikubwa wasichofahamu ni kwamba baadhi ya lipsticks zimegunduliwa kuwa...
0 Reactions
6 Replies
8K Views
Back
Top Bottom