Urembo, Mitindo na Utanashati (Lifestyle)

JF Lifestyle: Mijadala kuhusiana na masuala ya Urembo, Mitindo na Utanashati kwa ujumla wake
Kama heading inavyojieleza wapendwa nahitaji ushauri wa lotion nzuri ya kupaka ambayo haina cream. Nahitaji kuwa soft zaidi ngozi yangu sio ya mafuta na wala sio kavu haina chunusi kwa hiyo ni...
1 Reactions
22 Replies
17K Views
Jamani wadada msaidieni mwenzenu huku michirizi mikononi inamtoka kwa kasi sana. Kama kuna tiba au mafuta ya kupaka. Na weupe alio nao ndo balaa. Ni mikononi tu wala nyuma ya magoti hana hata...
0 Reactions
7 Replies
5K Views
Jamani Jamani naomba mnishauri nifanyeje mwenzenu ni wiki mbili tu zimepita tangu niritachi nywele zangu kwa dawa ya radiant. Nilifululiza kusuka kama miezi mitatu hivi Sa majuzi nilipofumua...
3 Reactions
26 Replies
18K Views
Looking for a perfect well crafted customer suit's for your wedding????? or of An Event??? Worry not!!!!!! 2017 is almost here, we're now receiving and accepting 2017 Booking. "We take our...
0 Reactions
1 Replies
898 Views
Orodha ni ndefu lakini si vibaya mkaongezea, ila mie naanza na hawa hapa! 1a. Ummy Mwalimu 1b. Angela Kairuki 2a. Mary Nagu 2b. Jenister Mhagama 3. Zhakia Meghji 4. Shamsa Mwangunga 5. Salome...
0 Reactions
26 Replies
11K Views
Jamani nisaidieni(boy) na tatizo la uso kuwa na mafuta mengi unaopelekea kuwa na chunus zisizo isha je nitumie mafuta gani ama njia gani ili yaishe au kumaliza chunusi mana nimetumia mafuta mengi...
1 Reactions
3 Replies
3K Views
International Fashion Academy is inviting applications for Fully-funded Scholarships. Scholarships are available for pursuing the undergraduate and postgraduate program. More info ~> IFA Paris...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Habari zenu wapenda urembo, Nimekutana na Matangazo kuhusu haya mafuta katika mitandao ya kijamii ikionesha watumiaji wa mafuta haya wakiwa na nywele ndefu kupita kiasi, Je ni kweli, naomba...
0 Reactions
4 Replies
4K Views
Habari wadau Kuna suala linasikitisha sana kuona vijana wanapotea sana especially ma model wa kiume kua mashoga hivi hii inasababishwa na nini??
2 Reactions
5 Replies
3K Views
SABABU ZA KUFELI KWA MATIBABU YA CHUNUSI NA MAMBO YA KUFANYA ILI KUZITIBU KABISA Umewahi kutumia vipodozi kutibu chunusi au tatizo jingine na kukosa matokeo unayoyataka kisha ukabadilisha na...
0 Reactions
3 Replies
3K Views
Umewahi kutumia vipodozi kutibu chunusi au tatizo jingine na kukosa matokeo unayoyataka kisha ukabadilisha na kuanza kutumia vya aina nyingine? Hujawahi kumuona mtu mwingine akifanya hivyo? Bila...
0 Reactions
2 Replies
4K Views
Habari. Naomba kujua uzuri wa haya mafuta nataka nianze kuyatumia. Ngozi yangu si kavu Sana wala si ya mafuta Sana. Natunguliza shukrani.
0 Reactions
10 Replies
3K Views
The Sunny Art Award is an international art prize hosted by Sunny Art Centre, London. This fine art competition is a global platform giving an opportunity to any emerging and established artist to...
0 Reactions
0 Replies
829 Views
Hivi ni kwanini hawa jamaa ni ndugu, umasikini na uchafu yaani mazingira ya wanapoishi machafu, mavazi wanayovaa machafu na hata muonekano wa mwili ni mchafu tu kwanini iko hivi. Ina maana huwezi...
0 Reactions
12 Replies
4K Views
Kuna T-shirts zipo Hapa Tanzania zimeanza kuingia sokoni za Kupinga Kristo. Kanye Wst Msanii wa Marekani ameamua kuanzisha dini yake na kujiita YESU wa dini yake. Alichokifanya ni kubadili neno...
5 Reactions
12 Replies
4K Views
Kwa wale ambao nywele zao zinakatika au unataka kuimarisha tu nywele. Chukua kiini cha yai changanya na asali. Osha nywele zako kisha paka hii mask, kaa nao kwa muda wa dakika 30 hadi 40 kisha...
1 Reactions
5 Replies
3K Views
Curls, Coils and Kinks made a few jaw - dropping appearances at the Show. Models of color ditched extensions and wore natural hair. Maria Borges from Angola repped her home Country Angola's...
10 Reactions
138 Replies
19K Views
Habari za mihangaiko ya siku nzima wakuu Hoja yangu haina umuhimu Sana lakini nahitaji msaada. Kwanza napenda kuwashukuru sana kwa kupoteza muda wenu na kuchangia mada yangu. Leo ndio siku ya...
0 Reactions
6 Replies
3K Views
Mambo zenu JF, Napenda kuwashukuru members wote walionitia moyo katika kipindi kigumu nilichokua napitia. Nawashukuru kwa michango yenu ya kimawazo, sina cha kuwalipa nawaombea tu kwa Mungu...
4 Reactions
10 Replies
2K Views
Back
Top Bottom