Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
Kilimo cha kutegemea mvua hakifai kokote duniani.Angalia nchi kama Misri, Israeli, Ethiopia na Sudan ambazo zinakumbwa na ujangwa uliopitiliza, wanalima mno kisasa kwa umwagiliaji toka mto Nile...
0 Reactions
3 Replies
2K Views
Miti aina ya paina imefikisha kuchana mbao ipo njombe ninaiuza Namba angu 0763773826
0 Reactions
0 Replies
891 Views
  • Redirect
Haya wahusika wa mtoni maeneo ya Migori karibuni biashara ya samaki kambale, perege, mchena na wengineo. Bei ni shiling ngapi toka kwa wachuuzi?
0 Reactions
Replies
Views
[emoji40] [emoji40]
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wadau, Napenda kufahamu ni vipi wakulima wa kahawa wanavyofaidika na ukulima wao, katiika mikoa inayotoa hii kahawa na zipi challenge zao kubwa. Pia,napenda kufahamu wapi zabibu inatoka vizuri na...
0 Reactions
1 Replies
2K Views
  • Redirect
Habari za leo watanzania na wageni kwa ujumla wenu. Natamani sana ufugaji wa nguruwe wenye tija lkn sijaweza fuga mpaka sasa kutokana na ukosefu wa mtaji. Nimefanya utafiti wa kutosha juu ya...
3 Reactions
Replies
Views
Habari za muda huu wanafamilia ya Jamii Forum na heri ya mwaka mpya pia, Wakuu,kipato hakikidhi mahitaji ya muhimu na msingi hasa kwa kutegemea mshahara.Hivyo nimeona naweza nikageukia kilimo...
0 Reactions
5 Replies
2K Views
habarini za majukumu,samahani ningeomba kujuzwa kama honey king wananunua asali kwa wauzaji wadogo na kama ndio wananunua kwa bei gani?na kama kuna mtu mwenye mawasiliano yao anisaidie maana...
0 Reactions
2 Replies
2K Views
Eneo langu Kubwa Ila halina fensi Sasa natamani kufuga kuku 50-100 Naombeni ushauri na gharama za ujenzi wa banda la kuku
0 Reactions
4 Replies
3K Views
wakuu nna automatic incubator lakini cjapata kifaranga hata kimoja cha bata mara mbili mfululizo lakini mayai ya kuku yanatoka vizuri tu naombeni msaada wakuu
0 Reactions
8 Replies
1K Views
Asalaam kama ulivyosoma hapo nje mkuu, mi kijana katika kutafuta maisha nikaona niguse kila mahali nitafute mtaji kwanza mwenye utaalamu au anaejua kuhusu kilimo hicho anielekeze
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Wakuu habari zenu... Kwa heshima na taadhima naomba kupata darasa kuhusu ufugaji wa nyuki kwa ajili ya asali. Kwa wale wa Tabora, Arusha au popote pale kwenye kilimo hiki naomba msaada...
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Ndugu zangu naomba msaada nimefuga kanga na kuku upande wa kuku hakuna tatizo ndipo nikaona nijiongeze kufuga kanga. Ni eneo kubwa sana wanapata chakula cha kutosha tatizo wanataga vichakani bila...
1 Reactions
10 Replies
24K Views
  • Redirect
Heshima kwenu wakuu Kutokana na bei ya korosho kukaa vizur nimepata wazo la kupanda mikorosho maeneo ya Rufiji. Kwa anayejua idadi ya niche ya mikorosho kwa heka moja anisaidie na distance kati...
1 Reactions
Replies
Views
jaman wana jamvi aiseee huku kwetu ukame umezid sana hadi mazao tuliyoyalima yameanza kukauka kutokana na ukosefu wa mvua mungu awe nasii
0 Reactions
1 Replies
987 Views
Ndugu zangu napenda kuwataarifu kuwa mvua zimeanza ,karibia kila kona ya tanzania,nyanda za kusini,kanda ya ziwa, pwani,kanda ya kati, kazikazini na kwingineko. kazi kwenu. mi tayari niko kwa shamba
1 Reactions
2 Replies
810 Views
Hello team, nahitaji kufanya biashara ya ununuzi wa choroko so ningependa kujua hasa msimu wa mavuno unaanza lini na ni mikoa ipi hasa choroko upatikana kwa wingi ili nianze kujipanga mapema...
0 Reactions
3 Replies
985 Views
habari za mihangaiko wanajamvi
2 Reactions
1 Replies
2K Views
wana wiki 2 jee nitibu na dawa gani?
0 Reactions
13 Replies
4K Views
Kwa wale walio na mtaji mdogo na wanajiuliza watauzungushaje mimi ni Mjasiriamali ambae nauza viatu vya kimasai jumla kuanzia pea 10 kwa shilingi elfu 13 na rejareja vinauzwa kuanzia elfu 17 mpaka...
1 Reactions
21 Replies
10K Views
Back
Top Bottom