naomba kwa anaejua ukulima wa uyoga nahitaji msaada kwa hili
natamani sana ukulima wa zao la uyoga napenda iwe ajira yangu kupitia uyoga sababu huku nakotoka vijana wamejikita zaidi kwa ufugaji...
kama ionekanavyo picha. Naomba kujua huo ni ugonjwa gani?
Umeharibu shamba zima. Nawaza kuyakata ili nilishe ng'ombe ili humo nipande mahindi mengine. Kitu gani nifanye ili ugonjwa usijirudie...
Kuna shida ya chakula duniani na wataalamu wanajaribu kushinda hiyo vita kwa kutumia tekinolojia inayoaminika kuwa itafanya vyakula viwe vingi na uzalishaji wake uwe mwingi. Je Africa kama bara...
Nina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala.
Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu...
habari ndugu zangu mimi ni kijana niliemaliza ujenz wa mabanda yangu ya kuku nilikua naomba msaada kwasababu sehem nlikuepo haina umeme nltaka kutumia koloboi naomba ushauri kwa mtu yoyote ambaye...
habari wana JF.
ningependa kushea idea mbalimbali na wauzaji wa
Pumba laini za mchele au mahindi popote walipo
Tanzania.
Tujuzane bei mbalimbali za sehem husika.
Nitashukuru zaidi kama...
Habari wakuu,
Naomba ushauri kuhusu kilimo cha kunde wakuu nataka kulima Mkuranga kijiji kinaitwa Malela.
Hapo kijijini maji yapo kwa ajili ya umwagiliaji. Naombeni ujuzi.
Awali ya yote kabla ya serikali kusitsha upigaji chapa kwa Mifugo Halmshauri ya mvomero ilishafanya zoezi hilo kwa asilimia fulani na walikusanya fedha za kutosha na walidai ni gharama za...
Wanajamvi poleni na harakati za kujikwamua na mbinyo wa maisha. Nawasilisha kwenu yeyote au kama una kijana aliye serious na kilimo na Ufugaji basi ani PM. Eneo la shughuli hii ni Mkuranga miundo...
Nauza tilapia fresh kutoka mwanza kwa order, per week naweza supply 150 kg, na dagaa wasafi kutoka mwanza, samaki waliokaushwa kwa chumvi au moshi kwenda mikoani
Mwenye utaalam au uzoefu na hiki kilimo naomba msaada.. Ili kujua namna ya kulima, soko na faida zake. Nina heka moja nataka kupanda tu miti ya maparachichi kwa kisasa..
Habari
Kwa wajasiriamali wenzangu walioko Dar na maeneo jirani, karibuni kujifunza Biashara, Kilimo na Ufugaji kupitia group letu la Whatsapp.Kuna kuhusu upatikanani wa Mashamba na Msimu upi haswa...
Hello jamiiforums member leo nimeona niwaletee habari njema ihusuyo kilimo cha kisasa yaani GREEN HOUSE or NET HOUSE kwa sasa kwenye kampuni yetu tunazalisha net za green house zenye ukubwa wa...
Wadau msaada wenu mimi nina nia ya kuanza kilimo..nimevutiwa na vitunguu wasiwasi wangu ni kuanza ndani ya kipindi hiki cha mwezi wa tisa ilhali wakulima wengi hulima mwei wa 5 - 8! Naomba...
habari
zenu wapendwa,nimekuwa na shauku ya kulima mahindi kama robo heka kwa njia ya umwagiliji wa kutumia maji ya bomba lakini sifahamu namna ya
umwagiliaji wa mahindi unavo kuwa naomba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.