TUFANYE HAYA ZIARA ZA KUTEMBELEA MFUGAJI/MKULIMA
Siku za hivi karibuni watu wamekuwa na mwamko wa kutembelea kujifunza kwa watu wengine.Kujifunza kilimo na pia ufugaji.
Watu hutembelea kujifunza...
Guys igweeee, naomba kujua jinsi ya kupata greenhouse kwa ajili ya shamba la ekari moja. Ni greenhouse ngapi? Moja Lina cover ukubwa gani? Je ekari moja zitakiwa ngapi?je greenhouse package yake...
Nimeipata Mahali idea hii hivyo si vibaya nikashea na wengine kwa njia moja ama nyingine itawasaidia.
Kutengeneza GreenHouse kwa Kutumia makopo ya maji na take away inakarimu muda na garama za...
Habari mimi ni mgeni humu,ninaungana nanyi ktk kilimo,mm tayari nina eka 7 za matikiti katikati ya mwezi ujao nitaanza kuvuna eka 2 za mwanzo lakini huku ninakolimia kuna changamoto nyingi...
Habari zenu, wana JF ...
Ni mara yangu ya kwanza kuanzisha uzi humu ndani, ingawa nimekuwa mchangiaji mara chache kwenye nyuzi za wengine, hususan kwenye jukwaa la MMU.
Kuna rafiki yangu mmoja...
Habarini za leo wanajukwaa.Mimi ni mkazi wa mwanza.Natafuta shamba wilaya ya misungwi.Mwenye taarifa yoyote nakmba aje PM.
Post sent using JamiiForums mobile app
Nahitaji kuanzisha kiwanda kidogo chakutengeneza chakula cha kuku bleed za kienyeji kuku chotala,malawi,nk………
ninamtaji wa milion 7
nilazima nijisajili (TBS) NIWE NA (KAMPUNY)?
Je viloba...
Mimi ni mkulima wa mboga naisi wilaya ya Temeke Dar es salaam ninalima mboga mboga kwa wingi hasa mchicha katika mazingira mazuri masafi na kumwagilia maji masafi ya kisima pia situmii mbolea za...
napenda kuuliza zile tractor za millin 20-35 ukitaka kuikopa ikiwa na tela lake panoja na PTO water pump itagarim sh ngapi kwd miaka mitatu? na je marejesho kwa mwez inaweza kuwa Tsh ngapi...
Habari za humu ndani vijana wenzangu wa kitanzania. Tafadhali changamkieni fursa ya ufadhili kwenye miradi ya kilimo kutoka Ireland.
Government of Ireland Africa Agri-food Development Program...
Kulikuwa na wimbi kubwa la matangazo na mauzo ya mayai ya ndege mdogo aina ya kware. Mayai yake yalisifiwa sana na kushawishi watu wengi kuyatumia. Wapo hata walioanza na kuimarika katika ufugaji...
Wakuu habari
Mimi ni kijana wa kitanzania mwenye malengo lukuki kuhusu kilimo na ufugaji hapa nchini,
Nimeamua kujitosa kwenye kilimo na ufugaji hapa Arusha!
Ninachokitafuta kutoka kwenu ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.