Kilimo, Ufugaji na Uvuvi

Pata Ushauri wa Jinsi ya Kujiajiri katika Kilimo, Ufugaji na Uvuvi, n.k
naomba kwa anaejua ukulima wa uyoga nahitaji msaada kwa hili natamani sana ukulima wa zao la uyoga napenda iwe ajira yangu kupitia uyoga sababu huku nakotoka vijana wamejikita zaidi kwa ufugaji...
1 Reactions
16 Replies
6K Views
Kuku wangu wamepatwa na ugonjwa nisiouelewa,yaani baadhi ya sehem kichwani wanakua kama wanamadonda,salsa sijui dawa gani nitumie
1 Reactions
0 Replies
638 Views
kama ionekanavyo picha. Naomba kujua huo ni ugonjwa gani? Umeharibu shamba zima. Nawaza kuyakata ili nilishe ng'ombe ili humo nipande mahindi mengine. Kitu gani nifanye ili ugonjwa usijirudie...
0 Reactions
11 Replies
2K Views
Kuna shida ya chakula duniani na wataalamu wanajaribu kushinda hiyo vita kwa kutumia tekinolojia inayoaminika kuwa itafanya vyakula viwe vingi na uzalishaji wake uwe mwingi. Je Africa kama bara...
0 Reactions
5 Replies
4K Views
Nina kuku wa kienyeji wachache lakini kila wakitaga mayai yanaliwa na sijui nani anayala. Nimeziba matundu makubwa makubwa yote bandani lakini bado,inaweza kua nyoka?? Au mnyama gani mdunchu...
2 Reactions
64 Replies
10K Views
  • Redirect
habari ndugu zangu mimi ni kijana niliemaliza ujenz wa mabanda yangu ya kuku nilikua naomba msaada kwasababu sehem nlikuepo haina umeme nltaka kutumia koloboi naomba ushauri kwa mtu yoyote ambaye...
1 Reactions
Replies
Views
habari wana JF. ningependa kushea idea mbalimbali na wauzaji wa Pumba laini za mchele au mahindi popote walipo Tanzania. Tujuzane bei mbalimbali za sehem husika. Nitashukuru zaidi kama...
0 Reactions
8 Replies
9K Views
Habari wadau, Napenda kujua vitunguu maji vinakomaa kwa siku ngapi?
1 Reactions
4 Replies
3K Views
  • Redirect
Habari wakuu, Naomba ushauri kuhusu kilimo cha kunde wakuu nataka kulima Mkuranga kijiji kinaitwa Malela. Hapo kijijini maji yapo kwa ajili ya umwagiliaji. Naombeni ujuzi.
1 Reactions
Replies
Views
Awali ya yote kabla ya serikali kusitsha upigaji chapa kwa Mifugo Halmshauri ya mvomero ilishafanya zoezi hilo kwa asilimia fulani na walikusanya fedha za kutosha na walidai ni gharama za...
1 Reactions
1 Replies
971 Views
  • Redirect
Naomba kuelekezwa namna ya kufuga nguruwe kisasa na kibiashara
0 Reactions
Replies
Views
Wanajamvi poleni na harakati za kujikwamua na mbinyo wa maisha. Nawasilisha kwenu yeyote au kama una kijana aliye serious na kilimo na Ufugaji basi ani PM. Eneo la shughuli hii ni Mkuranga miundo...
0 Reactions
0 Replies
1K Views
Nauza tilapia fresh kutoka mwanza kwa order, per week naweza supply 150 kg, na dagaa wasafi kutoka mwanza, samaki waliokaushwa kwa chumvi au moshi kwenda mikoani
1 Reactions
5 Replies
1K Views
  • Redirect
Nahitaji ushauri juu ya kilimo cha vitunguu maji
0 Reactions
Replies
Views
Mwenye utaalam au uzoefu na hiki kilimo naomba msaada.. Ili kujua namna ya kulima, soko na faida zake. Nina heka moja nataka kupanda tu miti ya maparachichi kwa kisasa..
0 Reactions
0 Replies
2K Views
Habari Kwa wajasiriamali wenzangu walioko Dar na maeneo jirani, karibuni kujifunza Biashara, Kilimo na Ufugaji kupitia group letu la Whatsapp.Kuna kuhusu upatikanani wa Mashamba na Msimu upi haswa...
0 Reactions
0 Replies
774 Views
  • Redirect
Hello jamiiforums member leo nimeona niwaletee habari njema ihusuyo kilimo cha kisasa yaani GREEN HOUSE or NET HOUSE kwa sasa kwenye kampuni yetu tunazalisha net za green house zenye ukubwa wa...
2 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
Wadau msaada wenu mimi nina nia ya kuanza kilimo..nimevutiwa na vitunguu wasiwasi wangu ni kuanza ndani ya kipindi hiki cha mwezi wa tisa ilhali wakulima wengi hulima mwei wa 5 - 8! Naomba...
3 Reactions
Replies
Views
  • Redirect
habari zenu wapendwa,nimekuwa na shauku ya kulima mahindi kama robo heka kwa njia ya umwagiliji wa kutumia maji ya bomba lakini sifahamu namna ya umwagiliaji wa mahindi unavo kuwa naomba...
0 Reactions
Replies
Views
mwenye idea/ wazo/ uzoefu na mabanda ya kuku.... Nataka kujenga banda la kuku 100 ila sina idea kabisaa... Plz guys help me on
0 Reactions
2 Replies
1K Views
Back
Top Bottom