Zifutazo ni BAADHI tu ya fursa ambazo zinapatikana katika sekta ya mifugo na mnyororo wake wa thamani. Jipimie inayoweza kukufaa zaidi na uifanyie kazi katika kujitanua kibiashara na kujiongezea...
nimekaa na kufikiri sana kuhusu mazao yetu mengi tunayo lima ni ya msim mmoja tu, huvuni kwa mwendelezo, lakini nimesikia kuna nyanya zinaitwa tree tomato zinalimwa sana kenya na pia huku kwetu...
Habari watanzania wenzangu.
naomba mwenyeuzowefu katika uzalishaji na biashara ya mhogo anisaidie, natamani kama utaweka cost analysis kuanzia shambani ikiwezekana hadi usindikaji na masoko ya...
Habarini... jamani mwenye uelewa kuhusu bei ya chini zaidi ya gunia la mahindi au/na mpunga kwa mkoa wowote naomba anijulishe,ninataka fanya uhifadhi wa tani kadhaa kwa sasa,hivyo nikinunua mahala...
Habari watanzania wenzangu.
naomba mwenyeuzowefu katika uzalishaji na biashara ya mhogo anisaidie, natamani kama utaweka cost analysis kuanzia shambani ikiwezekana hadi usindikaji na masoko ya...
Wanajamvi kwema?
Katika harakati zangu za kupambana na maisha nimejichanga changa sana mpaka nimepata vijisenti vya kununua shamba mkoani.
Shamba nililonunua linahitaji usafi wa hali ya juu...
Kuna mtu ameshafanya forex business kutumua Toro atupe uzoefu wake?
Mi nimejaribu trial mode yake naona kuna uwezekano wa kupata vidola vichache ukiwa makini. Swali ni kwamba ukishaweka hela yako...
(A) JINSI YA KUTENGENEZA MCHWA KWA YA KUPATA PROTINI YA ZIADA fuata hatua zifuatazo
1:Changanya kinyesi kikavu cha ngo'mbe na majni makavu / Mabua ya mahindi/Maranda ya mbao
2:Mwagia maji...
PLAN: Fuga kuku watano kienyeji upate 200 kwa miezi sita
MUUNGWANA BLOG / 19 hours ago

Hebu anza na kuku Watano (5) tu Majike wenye Rika/Umri mmoja (au wanaokaribiana).
Watunze vizuri kwa...
Nasisi sasa tuikatae kwani inasababisha Kansa sasa Waziri husika akanyie kazi hili.
Below are 15 articles of the fight in Africa, Europe, Japan and Russia banning Monsanto Genetically Modified...
KWA TUNAO ZALISHA BIDHAA ZENYE MTAZAMO TOFAUTI KWA WALAJI JE TUNAFANYAJE?
Ni ukweli ulio wazi kabisa kuna basdhi ya product either Watanzania hatuna utamaduni wa kula au kuna upotoshaji.
1...
wote wa jukwaa la Ujasiriamali, nichukue fursa hii kuwatakia kila la heri katika sikukuu ya Mwaka mpya na sikuu ya Krismasi.
Katika safari ya Ujasirimali kuna Changamoto nyingi sana tena mno, na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.