Habari zenu wakuu, Jamani nina ndugu yangu ana magunia mengi ya vitunguu almost 300 ametunza store.
Tunaomba anayejua soko zuri la vitunguu nje ya nchi mfano commoro na kwa ndani kama Zanzibar...
naomba kuuliza taratibu za chanjo kwa kuku wa kienyeji,nafahamu kuna newcastle gumboro na antibiotics zingine ammprollium,otc 20,vitalyte,esb lakini mpangilio wa hizi chanjo mbili siuelewi nawapa...
Hi wana jf,msaada jinsi ya kutengeneza huu ubuyu usio na mapeke(mbegu)
========================
======================================
Zanzibar Spices said
Ni kwamba unachukua Unga wa Ubuyu...
Habari, Nina shamba nimelima vitunguu specific kwa kuuza majani yake. Tafadhali naomba msaada wa soko lake la uhakika. Kwa sasa iliyo tayari ni nusu Heka... Shamba lipo Rudewa-Kilosa. Mwenye...
Habari ndugu zangu,
Naomba mwenye uzoefu na kilimo cha vitungu maji tusaidiane na nia ya kulima mwaka huu zao hilo 0717 209059 pia whatsap ipo hiyo namba.
Natanguliza shukrani kwa mtakaojitolea.
Natumai mmeamka salama.
Naomba msaada tafadhali,
Kama kuna mtu anayefaham kikundi/vikundi vya wakulima wa Vanilla (associantions/AMCOS) katika mikoa ya Morogoro wilaya yoyote, Mkoa wa Mbeya na...
Ninahitaji kampuni inayo fanya shughuli ya utafiti na uchimbaji maji.
Kazi zinazo takiwa kufanyika:
1. Kufanya survey na kushauri,
2. Kuchimba Kisima.
Asante. Josam
KWA YEYEYOTE MKULIMA AU MFANYABIASHA ANAYETAKA KUWEKEZA KWENYE KILIMO CHA MKONGE NA ANAITAJI KUPATA USHAURI FAIDI ZA KILIMO CHA MKONGE NA UZALISHAJI NA KAMA UNAWEKEZA TANGA TUNAWEZA KUKUSAIDIA...
Habari wakuu, natumaini mnaendelea vizuri na majukumu ya kila siku.
Nataka nilime kitunguu swaumu lakini sijajua ni maeneo gani zao hili linakubali, naomba ambaye anafanya kilimo hiki anisaidie...
Naomba nianze kwa kushukuru sana JF kwa posts nyingi zinazohusu mambo ya ujasiriamali na hususan ufugaji. Nimejifunza mengi sana hapa. Pia nashukuru mitandao mingine kama vile Mkulima Young na...
Naombeni mbinu za ukulima wa Mtama unaofaa kutengeneza via
Je upatikanaji wa Mbegu upo vipi Maana hata aina siifahamu nia aina gani ya mtama inayofaa kulimwa ktk mkoa wa pwani
Na je mtama...
Habari zenu wanajanvi, e bhana nahitaji msaada kwa raia wanaojihusisha na kilimo cha vitunguu maji, mim ni mgeni yaani ndio nimeanza hiki kilimo cha vitunguu. Nimeanza na ekari moja ili iwe kama...
FAIDA ZA KILIMO CHA MKONGE
Mkonge hauitaji uangalizi wa juu kama mazao mengine , ni uwekezaji wa mda mrefu ambao unaingiza ghalama kubwa mwanzoni tu baada ya hapo unakuwa unatengeneza faida, soko...
Msaada jamani mwenye uzoefu na biashara za matango. Nina heka 1 ya tango inaanza kuvunwa mwezi wa 5 mwishoni. Mwenye kuhitaji au mwenye kufahamu wanunuzi tuwasiliane 0652 228 888.
Nimefungua biashara ya Mgahawa sehemu flani hapa jijini Dar es Salaam, nimeweka wafanya kazi 3; mmoja kwa ajili ya chips na wa2 kwa ajili ya chakula kwa sababu biashara yenyewe bado changa. Eneo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.