Natafuta business mentor and partner

Natafuta business mentor and partner

Nick Furry

Senior Member
Joined
Sep 23, 2016
Posts
182
Reaction score
185
Heloooo...Naitwa Nick...nipo Morogoro mjini...ni mwanafunzi wa shahada ya sayansi, uzalishaji na teknolojia ya wanyama (Agricultural Animal science and production)..Mungu akipenda mwezi huu naweza nikahitimu.
Baada ya kuhitimu nina mpango wa kuanza kufuga kuku wa kisasa (broilers and layers) na wa kienyeji (locals) hapa Morogoro...banda nishapata (approx. 1500 chicken capacity)..nina incubator ndogo (120-140 eggs capacity)..nina mtaji wa sh. 800,000/= (cash on hand)......nina ujuzi wa menejimenti ya mifugo almost kila aspect (feeds formulation.., diseases diagnosis, control and treatment...biosecurity measures...housing..breeding...etc)
ninachokitaka hapa jukwaan ni mentor anayefanya na mwenye uzoefu wa hii biashara kwa hapa morogoro...at least awe na kuku 1000 (commercially)..namuhitaji sana mtu wa namna hii coz nataka nipate elimu ya mtaani kuhusu ujasiriamali....haitojalisha elimu alonayo cha msingi awe ana ujuzi wa hii biashara hasa upande wa masoko.
Pia nahitaji business patner...awe muhitimu wa diploma au shahada ya biashara (bussines administration, accountant, procurement, agribusiness, economics....etc)....awe anaishi Morogoro and awe na ujuzi wa kutafuta na kusimamia masoko....will be better kama ataweza kuwekeza at least tsh 600,000/=....
Mainly ni huyo Mentor ndo namihitaji zaidi..pleaseeee...nipo tayari kufanya kazi kwake for one month just to learn.
0755764161...that is my phone number
 
Patner nipo ila sina diploma wala Shahada. But nafanya mega projects za kilimo na mifugo wilayani kilosa
 
Patner nipo ila sina diploma wala Shahada. But nafanya mega projects za kilimo na mifugo wilayani kilosa
That is good too...unaweza kunipa namba yako ya simu?..PM...and izo mega project unafanya katika mifugo au mazao (crops)?...unaweza kunielewesha japo kidogo
 
Wazo Zuri sana mkuu!! hiyo ndiyo Ajira!!! Perfect idea
 
Thanx mkuu

Hongera sana ,hujasoma kwa kukariri umeelika.MUNGU atakuwa upande wako usimwache,thibitisha kwa vitendo ubora wa elimu yako.

Kama mahali ulipo unaweza kupata eneo la kuanzisha bustani ya mbogamboga itakufaa sana.Masalia ya kuku ni chakula cha bustani na masalia ya bustani ni chakula cha kuku.Tembelea akina mama wauzaji wa mboga mboga Morogoro sokoni watakujulisha ni aina ipi ya mboga inatakiwa na lini inahitajika zaidi.

Angalia pia uwezekano wa kutuma mboga zako Dar.Kwani gharama ya kusafirisha mzigo kutoka Dar hadi Morogoro ni rahisi na ya uhakika.Sijahama kwenye wazo lako,kuku watazalisha samadi usihangaike pa kuiweka bali ikuzalishie fedha.

Hongera mno kwa matumizi mazuri ya muda na akili.
 
Hongera sana ,hujasoma kwa kukariri umeelika.MUNGU atakuwa upande wako usimwache,thibitisha kwa vitendo ubora wa elimu yako.

Kama mahali ulipo unaweza kupata eneo la kuanzisha bustani ya mbogamboga itakufaa sana.Masalia ya kuku ni chakula cha bustani na masalia ya bustani ni chakula cha kuku.Tembelea akina mama wauzaji wa mboga mboga Morogoro sokoni watakujulisha ni aina ipi ya mboga inatakiwa na lini inahitajika zaidi.

Angalia pia uwezekano wa kutuma mboga zako Dar.Kwani gharama ya kusafirisha mzigo kutoka Dar hadi Morogoro ni rahisi na ya uhakika.Sijahama kwenye wazo lako,kuku watazalisha samadi usihangaike pa kuiweka bali ikuzalishie fedha.

Hongera mno kwa matumizi mazuri ya muda na akili.
Thanks for the advice...taken...and Mungu akubariki
 
Kuwa na mentor ni jambo zuri sana..ts like havin a compass on a mysterious journey yo bout to take,uamuz huo ni mzuri na unamaana kuwa uko tayari kujifunza..but ni namna gani unampata mtu sahihi..apo ndipo watu hukwama na mara nyingine kuona kuwa watu waliofanikiwa hawataki kusaidia..binafsi nina mentor 9 wawil ni marehem ila stl wananimentor,how? Story ndefu sana..wawili sijawai kuonana nao lakini tunawasiliana sana na tano waliobaki nimeonana nao na tunawasiliana..why weng kias hicho??..ts all bout specialization...my point ni kuwa sumtyms w tend to b kooky kwa hawa watu..unakuta mtu anamfata mtu hey naomba uwe mentor wng au naweza na mm kufanikiwa,mwingine nina mtaji kias fulan nifanye biashara gani?? haiendi ivo! sabab ya uchovu leo nitakupa njia moja, DO YO HOMEWORK..maana yake ni kwmb kama ni kuku soma kila kitu kuhus kuku na ikibid vitab vya uyo mtu unaetaman awe mentor wako na almost all dis succeful ppo tunaowa adore wengi ni authors wazuri wa field zao soma yote then apo ata uki muaproach mtu u tell him i read yo book bout this n that on page blahblahblah, i tried to apply on ma own project but nimekwama sehemu hii so nikapata alternative hii na hii apo uyo mtu kwanz atafurah unafatilia harakati zake but pia atakuona yo ambitious n doer..n i promic u hato kuacha salama..good luck!!
 
Kuwa na mentor ni jambo zuri sana..ts like havin a compass on a mysterious journey yo bout to take,uamuz huo ni mzuri na unamaana kuwa uko tayari kujifunza..but ni namna gani unampata mtu sahihi..apo ndipo watu hukwama na mara nyingine kuona kuwa watu waliofanikiwa hawataki kusaidia..binafsi nina mentor 9 wawil ni marehem ila stl wananimentor,how? Story ndefu sana..wawili sijawai kuonana nao lakini tunawasiliana sana na tano waliobaki nimeonana nao na tunawasiliana..why weng kias hicho??..ts all bout specialization...my point ni kuwa sumtyms w tend to b kooky kwa hawa watu..unakuta mtu anamfata mtu hey naomba uwe mentor wng au naweza na mm kufanikiwa,mwingine nina mtaji kias fulan nifanye biashara gani?? haiendi ivo! sabab ya uchovu leo nitakupa njia moja, DO YO HOMEWORK..maana yake ni kwmb kama ni kuku soma kila kitu kuhus kuku na ikibid vitab vya uyo mtu unaetaman awe mentor wako na almost all dis succeful ppo tunaowa adore wengi ni authors wazuri wa field zao soma yote then apo ata uki muaproach mtu u tell him i read yo book bout this n that on page blahblahblah, i tried to apply on ma own project but nimekwama sehemu hii so nikapata alternative hii na hii apo uyo mtu kwanz atafurah unafatilia harakati zake but pia atakuona yo ambitious n doer..n i promic u hato kuacha salama..good luck!!
Thanx broo...i'll do my best
 
uko vizuri.
vijana wengi graduates wangekuwa na mentors wasingekuwa wanatangatanga bila matumaini mitaani.

hii ni culture ambayo inapaswa kuhimizwa sana katika jamii.
 
Dah we mtu wa ajabu kweli unatafuta mentor afu kwenye uzi wako unatufundisha namna ya kumpa huyo mentor...
Kwanini usitumie hiyo njia uliyofundisha hapo juu kumpata huyo mentor wako
 
Dah we mtu wa ajabu kweli unatafuta mentor afu kwenye uzi wako unatufundisha namna ya kumpa huyo mentor...
Kwanini usitumie hiyo njia uliyofundisha hapo juu kumpata huyo mentor wako
Sijakuelewa unamaanisha nn mkuu...kwenye uzi uzi wangu nimesema natafuta mentor (sina neno zuri la kiswahili la mentor)...sijaandika jinsi ya kutafuta mentor...ni mm ndiye ninayetafuta mentor
 
Sijakuelewa unamaanisha nn mkuu...kwenye uzi uzi wangu nimesema natafuta mentor (sina neno zuri la kiswahili la mentor)...sijaandika jinsi ya kutafuta mentor...ni mm ndiye ninayetafuta mentor
Uniwie ladhi Sana mkuu nilipofungua uzi post iliyo kuja Mwanzo ni ya mkuu the list. Nikajua Ndio wewe baada ya kuulizia mentor umeanza Kwa kusema kuwa na mentor ni jambo la muhimu and unaeleza namna ya kumpata..

Naomba unisamehe Kwa kukumisslead kwenye uzi wako.
 
Back
Top Bottom