Mambo vipi wadau, nimekuja mbele yenu kuwaomba ushauri. Biashara ya kukodisha magari kwa dar es salaam ni kati ya biashara zinazolipa sana. kwa wale wadau wanaoishi iringa au waliowahi kufika iringa. Je nikianzisha biashara kama hii ya kukodisha magari kwa mji wa iringa italipa au. naombeni mawazo yenu na pia kuna chochote cha kuongezea. natanguliza shukrani