Ndugu zangu wakulima hii jamii ya watu wanajiita wafugaji hasa wa kabila la kimasai wamekuwa ni kero sana kwan mara nyingi wamekuwa na tabia zisizo za kiungwana mara nyingi huingiza mifugo yao...
Wakuu habarini za asubuhi kama kichwa cha habari kinavypjionesha hapo juu ningeomba kupata msaada kuhusu ni wapi naweza kupata mashine ya kubangua karanga na gharama zake.
Natanguliza shukrani zangu.
Kama wewe ni mfugaji au una mpango wa kuanza mradi wa ufugaji samaki ,sasa unaweza kupata vifaranga vya samaki aina ya kambale kwa bei poaa kabisa ya sh 400. Pia tunatoa elimu ya ufugaji wa samaki...
Ni aibu!aibu!aibu!mtu kapokea milion 25 kama faida ya jasho lake la ukulima na kisha miezi minne mbele anasema kwa sauti pana kijiweni.....'SINA HELAAA DAH'....sasa unataka upewe nin...
Hallo,
Guys kama mmnakumbuka nilikuwa nikitafuta mashamba tangu mwaka jana November hatimaye Week iliyopita nimepata viji heka vitano maeneo ya msolwa ukitoka chalinze kama unaelekea morogoro...
Hbari ndugu,
Kama nilivyoeleza hapo juu nina ekari 6 na ningependa kuituma kujiongezea kipato kuliko kiwa shamba pori. Naulizia zao ambalo naweza kulima na likawa na tija. Sina tatizo la mtaji.
Nmekutana na post hii huyu mzaz alipost wapo ikulu
naomben mniambie wanafugwaje?
na ni ruhusa mtu yeyote kuw naye nchini ama had uwe na license?
sielewi kitu mnijuze
UGONJWA WA KUHARA DAM
(Coccidiosis) KWA KUKU:
Na Dr Khalfan 0752367114
Ugonjwa huu husababishwa na vimelea aina ya Protozoa na hushambulia kuku wote wakubwa na
wadogo ila huathiri zaidi kuku...
Hatuna presha wala hofu asbh tukiamka kazi kubwa kufungua tu mlango kuku hao wanasepa zao jioni wakishaingia tunafunga,hatujui kinga wala tiba hatujawahi kununua chochote dukani kwa ajili ya kuku...
Niko mkoani Dodoma kama mjasiliamali wa kilimo ila kuna fursa mbili nimezichungulia.
1:Blue kopa: tani moja hap wanauza laki 1
2:Madini chuma(mawe haya yana naswa na sumaku)
Kwa yeyote ambay...
Nakuja tena kwenu nikawasihi wale wote wanaaogopa kuanza kilimo hasa Kwa kipind hiki ambacho tunatarajia kuanza msimu wa masika, wataalamu wapo kwa ajili ya kukusaidia na kupunguza adha za...
Nchini china wametengeneza mfumo wa ufatiliaji maendeleo ya kuku kupitia blockchain. Mfumo utasaidia wateja kutouziwa kuku waliokufa au waliokwisha muda wao wa kukaa sokoni na badala yake mnunuzi...
Hi,Am leaving here in Sinza -DSM
Am looking for some people who are ready for Farming business especially Fish Farming to work together for easy achievement,As we know team work is better and...
Mwaka jana nilipokua likizo nilishangazwa na ladha ya machungwa, karibu machungwa yote niliyoyanunua jijini Dar es salaam ladha yake haitafautiani na ile ya malimao.
Baada ya utafiti mdogo...
Mimi ni miongoni mwa watu ambao wanafikiria ni kwa namna gani tunaweza kuhakikisha tunavuna maji ya mvua kwa namna ambayo tunaweza kuyatumia kwenye shughuli zetu za kilimo hasa huko vijijini.
Ni...
Wakuu habari ya ijumaa samahani kama kuna vijana ambao ni mafighter tufanye kilimo cha uyoga hapa dsm nimefanya research inaonekana kinalipa sana ila wakulima ndio shida hivyo kama upo dsm...
Wakaazi wa wilaya ya Kilwa mkoa wa Lindi wanategemea zao la korosho kama zao kuu la biashara na kusahau mazao mengine yanayoweza kubadili maisha yao kiuchumi. Sababu kuu ni kukosa mafunzo na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.