Upatikanaji wa Hydroponic fodder Dar es salaam

Upatikanaji wa Hydroponic fodder Dar es salaam

Tito Philipo Titus

New Member
Joined
Dec 2, 2017
Posts
3
Reaction score
1
Habari zenu,
Naomba kuuliza ni wapi kwa hapa Dar naweza kupata Hydroponic fodder
kwa anayefahamu au kama kuna mtu yoyote anahusika na hiyo issue naomba anicheck.
0712354526 Nipo Kimara Stopover
 
Habari zenu,
Naomba kuuliza ni wapi kwa hapa Dar naweza kupata Hydroponic fodder
kwa anayefahamu au kama kuna mtu yoyote anahusika na hiyo issue naomba anicheck.
0712354526 Nipo Kimara Stopover
Sorry unamaanisha yale majani yaliyooteshwa kwa ajili ya mifugo au? Na kama ndivyo wahitaji nunua au tengeneza mwenyewe?
 
Habari zenu,
Naomba kuuliza ni wapi kwa hapa Dar naweza kupata Hydroponic fodder
kwa anayefahamu au kama kuna mtu yoyote anahusika na hiyo issue naomba anicheck.
0712354526 Nipo Kimara Stopover
Ideally, Hydroponic fodder unaotesha mwenyewe rather than kununua, lakini labda unachohitaji ni ile rack ya kuwekea, containers za kuoteshea na barley ama nafaka utayotumia, kisha maelekezo ya ulowekaji, umwagiliaji na uvunaji ndani ya siku 7/8 kama miongozo inavyoonesha.
 
Ideally, Hydroponic fodder unaotesha mwenyewe rather than kununua, lakini labda unachohitaji ni ile rack ya kuwekea, containers za kuoteshea na barley ama nafaka utayotumia, kisha maelekezo ya ulowekaji, umwagiliaji na uvunaji ndani ya siku 7/8 kama miongozo inavyoonesha.
Yeah exactly nnachohitaji ni mahali wanapouza hizo Rack za kuwekea pamoja na zile Trays za kuoteshea
 
Habari zenu,
Naomba kuuliza ni wapi kwa hapa Dar naweza kupata Hydroponic fodder
kwa anayefahamu au kama kuna mtu yoyote anahusika na hiyo issue naomba anicheck.
0712354526 Nipo Kimara Stopover
Nicheki nikuelekeze njia rahisi ya kutengeneza hyo kitu na mbegu bora na cheap za kutumia 0716527104 Zile tray zao ni ghali Sana so nicheki Nikupe info
 
Back
Top Bottom