1. Miaka ya 1995 baadhi ya watu walianza kusema kuwa hizi hybrid seeds zinashambuliwa sana na magonja kuliko mbegu za asili.
2. Miaka ya hivi karibuni wadudu wanaoshambulia mazao wamekuwa tishio, hata kwa mazao ambayo miaka ya nyuma hayakuwa yakishambuliwa na wadudu. Kwa mfano mahindi.
3. Wakukima wengi wanaamini hizi mbegu za kisasa zimechangia kueneza wadudu, au ni dhaifu sana dhidi ya wadudu.
4. Je wataalamu wa mbegu na kilimo kwa ujumla mna majibu gani?
2. Miaka ya hivi karibuni wadudu wanaoshambulia mazao wamekuwa tishio, hata kwa mazao ambayo miaka ya nyuma hayakuwa yakishambuliwa na wadudu. Kwa mfano mahindi.
3. Wakukima wengi wanaamini hizi mbegu za kisasa zimechangia kueneza wadudu, au ni dhaifu sana dhidi ya wadudu.
4. Je wataalamu wa mbegu na kilimo kwa ujumla mna majibu gani?