Kilimo cha Hydroponic na Aquaponics

Kilimo cha Hydroponic na Aquaponics

Nyenyere

JF-Expert Member
Joined
Sep 9, 2010
Posts
14,842
Reaction score
10,765
Wakuu amani kwenu, hii ni technology mpya ya kilimo (walau machoni pangu). Naomba kama kuna mdau yeyote mwenye ufahamu wa aina hii ya kilimo anifahamishe. Nahitaji kuwekeza kwenye aina hii ya kilimo. Karibuni.
 
Mkuu Usijali watakuja Wajuvi, hata hivyo unaweza kuingia Youtube ukafundishwa kwa video. Zipo saaana
 
Wakuu amani kwenu, hii ni technology mpya ya kilimo (walau machoni pangu). Naomba kama kuna mdau yeyote mwenye ufahamu wa aina hii ya kilimo anifahamishe. Nahitaji kuwekeza kwenye aina hii ya kilimo. Karibuni.
Tanzania ina Aridhi kubwa sana. Ukipanda Gari toka Dar hadi Morogoro ni Aridhi isiyo kuwa mtu.

Hizi Techinolojia ni kwa nchi zenye uhaba sana wa Aridhi. Nchi kama India wanatumia sana na baadhi ya nchi za ulaya na sana ASIA.

Huwezi lima kwa hydroponic then ushindane na wa Oppen Field.
 
Tanzania ina Aridhi kubwa sana. Ukipanda Gari toka Dar hadi Morogoro ni Aridhi isiyo kuwa mtu.

Hizi Techinolojia ni kwa nchi zenye uhaba sana wa Aridhi. Nchi kama India wanatumia sana na baadhi ya nchi za ulaya na sana ASIA.

Huwezi lima kwa hydroponic then ushindane na wa Oppen Field.

Ardhi ni kweli ipo kubwa sana tatizo ni water hizo zingine mbwembwe tu
 
Nenda pale Mbweni JKT utawakuta SUMAJKT wanafanya kazi hiyo na kuuza hiyo teknolojia.
 
Back
Top Bottom