BABU KIDUDE
JF-Expert Member
- Nov 3, 2010
- 1,587
- 918
Habari wakuu wa ninampango wakuamishia Mipango yangu ya kilimo Wilayani panagni mkoa wa Tanga, mwezi huu ninampango wa kutembela huko sijawaifika. So please najua Jamiiforum ni kisima cha kila kitu. Mwenye Tarifa za upatikanaji wa msahamba panagni haswa kwenye Bonde la mto pangani mashamaba yoyote yalio au yanayofikiwa na maji please tupeane taarifa