Hydroponics kwa kuku

Hydroponics kwa kuku

Kimla

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2008
Posts
3,953
Reaction score
7,001
Ndugu marafiki, mie ninafuga kuku wa nyama kloiler lakini chakula shida siunajua mahindi yamepanda n.k. Sasa nimesikia hydroponics zinapunguza gharama za chakula cha kuku kwa asilimia 50%. Je nikweli? pili je ninani dar anatoa huduma hiyo?
Asante
 
Mkuu;
Unapunguza gharama kwa sababu unatakiwa uwalishe kwa mpango hiyo hydrponic feeds. Yaani wasile mfululizo bali kila baada ya 2 dys lisha chakula kingine eg pumba ya mchele na mahindi
 
Kama mahindi hamna acha kufuga hayo ma-hydroponic mtatuua jamani
Uliza kwanza ujue hydroponics fodder ni nini! Usikurupuke!
Ni uoteshaji wa mbegu mbalimbali bila kutumia udongo!
Mimi hutumia mtama, mahindi, ulezi na ngano na situmii mbolea yeyote ya kiwandani.
Ni swala la kuziloweka, baada ya muda unazihamisha unazifunika katika chombo kinachopitisha hewa kwa kuzimwagia maji Mara kwa Mara baada ya siku 6 hadi 8 zinarefuka na tayari ni majani kwa ajili ya kuwapa Kuku! Inakupunguzia muda wa kutembea mtaani kutafuta mchicha na Chinese kwa ajili ya Kuku.
 
Kuroiler navyojua ni Kuku(hybreed) wa nyama na mayai...kuna kuroiler wa nyama pekee?
Nahitaji muongozo kwa mzoefu.

Post sent using JamiiForums mobile app
 
Uliza kwanza ujue hydroponics fodder ni nini! Usikurupuke!
Ni uoteshaji wa mbegu mbalimbali bila kutumia udongo!
Mimi hutumia mtama, mahindi, ulezi na ngano na situmii mbolea yeyote ya kiwandani.
Ni swala la kuziloweka, baada ya muda unazihamisha unazifunika katika chombo kinachopitisha hewa kwa kuzimwagia maji Mara kwa Mara baada ya siku 6 hadi 8 zinarefuka na tayari ni majani kwa ajili ya kuwapa Kuku! Inakupunguzia muda wa kutembea mtaani kutafuta mchicha na Chinese kwa ajili ya Kuku.
Trei ya saizi gani inatosha kuotesha mtama wa kilo 1 Mkuu?
Nataka nitengenezeshe trei zangu mwenyewe
 
Uliza kwanza ujue hydroponics fodder ni nini! Usikurupuke!
Ni uoteshaji wa mbegu mbalimbali bila kutumia udongo!
Mimi hutumia mtama, mahindi, ulezi na ngano na situmii mbolea yeyote ya kiwandani.
Ni swala la kuziloweka, baada ya muda unazihamisha unazifunika katika chombo kinachopitisha hewa kwa kuzimwagia maji Mara kwa Mara baada ya siku 6 hadi 8 zinarefuka na tayari ni majani kwa ajili ya kuwapa Kuku! Inakupunguzia muda wa kutembea mtaani kutafuta mchicha na Chinese kwa ajili ya Kuku.
jibu zuri
 
Kuroiler navyojua ni Kuku(hybreed) wa nyama na mayai...kuna kuroiler wa nyama pekee?
Nahitaji muongozo kwa mzoefu.

Post sent using JamiiForums mobile app
Kwa hii sentensi tu "kuroiler navyojua mimi ni kuku (Hybreed) wa nyama na mayai" inamaana ushalijibu swali lako tayari.

Nyama + mayai = nyama au mayai au Vyote.
 
Back
Top Bottom