itakiamo JF-Expert Member Joined Nov 1, 2014 Posts 1,087 Reaction score 1,896 Feb 12, 2018 #1 Habari zenu wana jamiiforum, nahitaji mawasiliano hususani sanduku la posta na email ya kampuni ya kilimo ya Sumry Rukwa.
Habari zenu wana jamiiforum, nahitaji mawasiliano hususani sanduku la posta na email ya kampuni ya kilimo ya Sumry Rukwa.
MSAGA SUMU JF-Expert Member Joined May 25, 2015 Posts 6,705 Reaction score 21,851 Feb 12, 2018 #2 Cheki na mtu wa nguvu Millard Ayo,vp unataka ukanunue ile stock yote ya mahindi?
itakiamo JF-Expert Member Joined Nov 1, 2014 Posts 1,087 Reaction score 1,896 Feb 13, 2018 Thread starter #3 Naomba unisaidie namba sake (Millard Ayo)
PatriceLumumba JF-Expert Member Joined Mar 9, 2016 Posts 426 Reaction score 584 Feb 13, 2018 #4 itakatikiamo said: Habari zenu wana jamiiforum, nahitaji mawasiliano hususani sanduku la posta na email ya kampuni ya kilimo ya Sumry Rukwa. Click to expand... HABARI, Jaribu haya mawasiliano ya zamani ya kampuni ya mabasi na sanduku laposta la dar. Kwa kupitia mawasiliano haya nadhani utampata. Sumry Bus Services Ltd. Kipata Street, Dar es Salaam, Tanzania +255 -22-2180169 ,+255-787- 005060,+255- 715- 777230/717 www.Sumrybusservice.com P. O. Box : 20739 Region: Dar es salaam LUMUMBA
itakatikiamo said: Habari zenu wana jamiiforum, nahitaji mawasiliano hususani sanduku la posta na email ya kampuni ya kilimo ya Sumry Rukwa. Click to expand... HABARI, Jaribu haya mawasiliano ya zamani ya kampuni ya mabasi na sanduku laposta la dar. Kwa kupitia mawasiliano haya nadhani utampata. Sumry Bus Services Ltd. Kipata Street, Dar es Salaam, Tanzania +255 -22-2180169 ,+255-787- 005060,+255- 715- 777230/717 www.Sumrybusservice.com P. O. Box : 20739 Region: Dar es salaam LUMUMBA