Wazo zuri la biashara katika ufugaji

TEAM 666

JF-Expert Member
Dec 7, 2017
4,330
8,420
Nunua vifaranga vya kuku chotara then wakuze ndani ya miezi 6-7 unauza kwa bei ya kila kuku sasa hv 14,000 Jogooo 20,000.

Anza na kuku kidogo upate uzoefu ila katika plan hiii unatakiwa uwe mbinifu and smart unaweza piga pesa ndefu.

[HASHTAG]#ubunifu[/HASHTAG] 1. Lima mwenyewe mahindi then baada ya mavuno tengeneza chakula, ambacho utakitengeneza kupitia formula ambazo unaweza kuzipata bila kutumia ghalama nyingi hii itakufanya project yako ikuzalishia faida kubwa.

# Kwenye issue ya madawa haina ghalama kubwa sana kama ukiwapa chanjo katika muda muafaka.

# Kua smart sana muda wote hakikisha kuku unawapa maji safi na salama wape chakula kupitia ratio za ukuaji wao.

c015e033a1f4936043259c4b55a174b8.jpg


Wape mboga mboga

Lat say ukiwa na kuku 3,000 ambao umewakuza ndani ya miezi 6-7 kwa bei ya sasa ni mpunga mrefu.

Demand kubwa sana Tanzania ya kuku huwezi hangaika kupata soko

Vijana wengi hawataki kuchangamkia fursa ya ufugaji kwa kuogopa kuonekana ''Muhenga'' wanataka kushinda kwenye masocial Media kufatilia ''ubuyu'' alf madame wengi siku izi hawataki boyfriends mfugaji

Sasa wewe tumia huuu uzaifu upige pesa

All the best..
 
Wazo zuri sana ubarikiwe
Nunua vifaranga vya kuku chotara then wakuze ndani ya miezi 6-7 unauza kwa bei ya kila kuku sasa hv 14,000 Jogooo 20,000.

Anza na kuku kidogo upate uzoefu ila katika plan hiii unatakiwa uwe mbinifu and smart unaweza piga pesa ndefu.

[HASHTAG]#ubunifu[/HASHTAG] 1. Lima mwenyewe mahindi then baada ya mavuno tengeneza chakula, ambacho utakitengeneza kupitia formula ambazo unaweza kuzipata bila kutumia ghalama nyingi hii itakufanya project yako ikuzalishia faida kubwa.

# Kwenye issue ya madawa haina ghalama kubwa sana kama ukiwapa chanjo katika muda muafaka.

# Kua smart sana muda wote hakikisha kuku unawapa maji safi na salama wape chakula kupitia ratio za ukuaji wao.

c015e033a1f4936043259c4b55a174b8.jpg


Wape mboga mboga

Lat say ukiwa na kuku 3,000 ambao umewakuza ndani ya miezi 6-7 kwa bei ya sasa ni mpunga mrefu.

Demand kubwa sana Tanzania ya kuku huwezi hangaika kupata soko

Vijana wengi hawataki kuchangamkia fursa ya ufugaji kwa kuogopa kuonekana ''Muhenga'' wanataka kushinda kwenye masocial Media kufatilia ''ubuyu'' alf madame wengi siku izi hawataki boyfriends mfugaji

Sasa wewe tumia huuu uzaifu upige pesa

All the best..
 
Mkuu umewahi kufuga?

Maisha ni rahisi sana kwa kalami

Nimejihusisha na kilimo kwa muda sasa kilichonitokea kimekomba mpaka akiba yangu yote bila faida ya kueleweka

Anyway wazo zuri sana ila lazima ufunge kamba kweli kweli

Usije kuwaleta hao mara paaap wote wanakufa
 
Kuku elfu 3!!!!???? Sina hakina kama ni practical "Siku ya 1- 28 chakula ni Tani 1.5, unamiezi 5 ya ziada gharama ya chakula itakua kiasi gani? Hiyo ni ktk nyanja 1."

"Hii inaitaji watu waliojipanga kuwekeza, na sio wachangamkia fursa " ama tuivunje mpaka kiwango ambacho ni practical"
 
Haya mambo bwana, tatizo wahamasishaji wote huweka factors zote constant kama PIE.
Wahamasishaji siku zote wanaweka faida mbele, bila kuwaonya watu juu ya changamoto zinazoweza kutokea na jinsi gani kupambana nazo.

Binafsi nimefuga kuku wa kienyeji unafikia muda unakata tamaa licha ya juhudi zote gharama za chanjo + chakula.

Haya mambo ni mazuri lakini yanahitaji elimu ya kutosha.

Kila la kheri wafugaji wenzangu na wale watarajiwa.

;)
 
Kwa kuandika ni rahisi sana tena mno. Ila kwa Practocal ni ngumu sana
Mkuu sijuw kwanini unapenda kukatisha watu tamaa hasa linapo kuja swala la fursa

Ahahah akuna jambo rahisi linapokuja swala la kutafuta pesa.

iyo ni idea nimeandika tu hakuna mahala nilipo andika ni project Simple.

alf ww unatabia za kike, unapenda kuaminisha watu kila kitu ni kigumu kwasababu ww kinakushinda.

Pambana na hali yako
 
Mkuu umewahi kufuga?

Maisha ni rahisi sana kwa kalami

Nimejihusisha na kilimo kwa muda sasa kilichonitokea kimekomba mpaka akiba yangu yote bila faida ya kueleweka

Anyway wazo zuri sana ila lazima ufunge kamba kweli kweli

Usije kuwaleta hao mara paaap wote wanakufa

wakifa ingiza tena
 
Mkuu sijuw kwanini unapenda kukatisha watu tamaa hasa linapo kuja swala la fursa

Ahahah akuna jambo rahisi linapokuja swala la kutafuta pesa.

iyo ni idea nimeandika tu hakuna mahala nilipo andika ni project Simple.

alf ww unatabia za kike, unapenda kuaminisha watu kila kitu ni kigumu kwasababu ww kinalushinda.

Pambana na hali yako
Kiuhalisia alichokisema mkuu hapo juu kina maana sana,

Ni rahisi sana kuongea haya mambo,

Ni rahisi kutoa Idea hata 100 ila sasa kuzi-implement ndo mziki

Nikikuuliza wewe hapo umewahi fanya hivho ulichokiandika utajibu hapana
Na hapo ndo utata huja sasa

Anyway ni vizuri tukumbushane
 
Kuku elfu 3!!!!???? Sina hakina kama ni practical "Siku ya 1- 28 chakula ni Tani 1.5, unamiezi 5 ya ziada gharama ya chakula itakua kiasi gani? Hiyo ni ktk nyanja 1."

"Hii inaitaji watu waliojipanga kuwekeza, na sio wachangamkia fursa " ama tuivunje mpaka kiwango ambacho ni practical"
Ahhahaa ndio maana wabongo tunaendelea kubaki masikini.......endele ivyo ivyo kuamini huwezi.


Et chakula tani 1.5 nyau weee
 
Unaweza ukaoa mke kwa mahali nyingi na ukatobewa bure

wakifa ingiza tena wengine

Huna akili ya uwekezaji lazima ubaki mweupe
Ha ha ha mkuu bhana,

Huenda mpaka sasa nimefanya ujasiliamali kuliko wewe

Halafu sidhani kama ni busara na akili kuanza kuambizana sima akili

Unafahamu vipi kama sina akili?

Mambo ya kutombewa kwenye ujasiliamali yanaingiaje?

Hapo tu naona kabisa ilitakiwa ubaki kule majukwaa ya MMU ili uongelee vizuri hayo mambo

By the way ukiwa katika majukwaa kama haya kuwa serious kidogo na hii mijadal ya huku ndo maisha yenyewe
 
Mkuu sijuw kwanini unapenda kukatisha watu tamaa hasa linapo kuja swala la fursa

Ahahah akuna jambo rahisi linapokuja swala la kutafuta pesa.

iyo ni idea nimeandika tu hakuna mahala nilipo andika ni project Simple.

alf ww unatabia za kike, unapenda kuaminisha watu kila kitu ni kigumu kwasababu ww kinakushinda.

Pambana na hali yako
Ndo uwezo wako wa kuwaza umeshia?Hilo Pambana na hali yako ndo uwezo wako umekomea?

Usha wahi fuga hata njiwa? au unafugia Jamiiforum? nazani humu ndo kuna Banda lako la kuku.

Endelea kufuga basi soon utauza.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom